Dar aliiweza makondaSabaya ni bonge la kiongozi, mama mpe Ka kitengo hapo Ikulu akunyoshee wahuni, ikipendeza mpe ukuu wa mkoa wa DSM kama miez miwili hivi akusafishie panya road, then umrudishe chawa wako Makala the great
Kwani alikuwa akiishi wapi hapo kabla?Kwa uhuni aliowafanyia watu, huko mtaani sijui kama atakuwa salama
mbowe kapigwa mkwara na mama kaufyataCcm ni wajanja hawalingani kabisa na chama la magaidi lile!
Vipi kwanza mbona sisikii kelele za katiba mpya? Au mwamba alirambishwa nini siku ile pale ikulu kwa hangaya?
Au mmemuachia maria space tu?
Bado ataendelea kuwepo gerezani kutokana na kesi nyingine.Kwamba yupo huru sasa!
Hakika Mungu ni mwema, tena ni mwema mno.
Au ulifikiri ningesema Umoja pary Chama cha kuenzi Mzoga.Wapinzani wapi; hawahawa wanaonunuliwa kila uchwao?
Wewe ndio unapoteza muda praise team ya Lumumba.Usinipotezee muda bhana!
Kwanza si mnapumua baada ya kuinewa sana kwa miaka 5 nyie? Vilio vya nini sasa?
Na katiba mpya vipi mko ukurasa wa ngapi?
Mama kasema Uchaguzi ujao hakuna cha Ballot stuffing.Sisi kina nani?
Si mnapumua baada ya kuinewa sana kwa miaka 5 nyie?
Siteseki na siwezi kuteseka.Unateseka ukiwa wapi?
Tutafika tu. Kuna mmoja enzi za nyerere alimalizana na mbwa akamtia kwenye 109 yake akampeleka polisi akawambia Kuna mbwa kwenye gariKwa uhuni aliowafanyia watu, huko mtaani sijui kama atakuwa salama
Hamna mkuu mi nakunywaga maji tuu chiefMkuu naona cha arusha hakiko sawa sasa unaamua kula cha SWAZI a.k.a Skanka πππ
Halfu huyo Kweka Ni Mtupuuuu.Haki imetendeka dhidi ya lile genge la Hamduni na yule Kweka mkwe wa Mbowe mwendesha mashtaka aliyeamua kuhamia Arusha mpaka akamilishe ahadi.
Wapi nmesema anakula maisha!..?
Yeye mwenyewe alishajisemea anaponda raha duniani.
Sasa wewe unasema anaishi kwa wasiwasi kwani ni mumeo yule hadi ujue jinsi anavyoishi?