Lengai Ole Sabaya ashinda rufaa na kuachiwa huru na Mahakama Kuu ya Arusha
Sabaya ni bonge la kiongozi, mama mpe Ka kitengo hapo Ikulu akunyoshee wahuni, ikipendeza mpe ukuu wa mkoa wa DSM kama miez miwili hivi akusafishie panya road, then umrudishe chawa wako Makala the great
Dar aliiweza makonda
 
Ccm ni wajanja hawalingani kabisa na chama la magaidi lile!

Vipi kwanza mbona sisikii kelele za katiba mpya? Au mwamba alirambishwa nini siku ile pale ikulu kwa hangaya?

Au mmemuachia maria space tu?
mbowe kapigwa mkwara na mama kaufyata
 
Usinipotezee muda bhana!

Kwanza si mnapumua baada ya kuinewa sana kwa miaka 5 nyie? Vilio vya nini sasa?

Na katiba mpya vipi mko ukurasa wa ngapi?
Wewe ndio unapoteza muda praise team ya Lumumba.

Jambazi kuachiliwa sio ajabu ndio maana hata panya road wanatesa mitaani tu huko na hakuna chochote mlichowafanya.
 
Unateseka ukiwa wapi?
Siteseki na siwezi kuteseka.

Haya kasign pale dirishani kwa Shaka uchukue buku 7 huku ukiendelea na shamrashamra za kupokea majambazi yaliyokuwa na yanakaa ofisini na kupewa walinzi awamu ya 5.
 
Mfumo wetu wa jinai una mnyororo mrefu mpaka kesi kufika mahakamani. Anzia kwenye mfumo wetu wa upelelezi wa kesi hasa teknolojia na nyenzo za kufanyia kazi.
.
Na yote haya mwisho wa siku mahakama itataka proof beyond reasonable doubt hasa kwa serious offenses like murder, armed robbery, treason, terrorism et al.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Vijana watambue akilini mwao kuwa Political will ( utashi wa kisiasa) ni bonge moja la point katika kutatua matatizo yote ya ubinadamu duniani hapa.

Every one should engage in politics
 
Kama akitoka aache ukora,miaka 30 aliyoponea chupu chupu isije msababishia mauti uraiani ikawa Kazi Bure isiyofaa Kitu,
Respect!
 
mnasomesha watu vyuoni (hakimu,Jaji, Mawakili) mnawapa ajira just to be proved morons
 
Wapi nmesema anakula maisha!..?

Yeye mwenyewe alishajisemea anaponda raha duniani.

Sasa wewe unasema anaishi kwa wasiwasi kwani ni mumeo yule hadi ujue jinsi anavyoishi?

Aliposema anasakamwa na makundi ya watu wanaotaka wamuue kwani hakua yeye aliyesema?
 
Back
Top Bottom