Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

Kufa ni kufa tu
 
Mh ukiwa na mtazamo uho utofanikiws
 
Watulie nyumbani sio kwenda kuhangaika huko mwisho wa siku watamaniwe na wahuni
 
Kazi ya mwanamke Haina impact kwenye ndoa yanini aranye kazi kati ya 100% ya wanawake, wanawake wenye kisaidia waume zao ni 10%. Kufikiaia miaka ya 80, baada ya hapa ni ngoma
 
Jambo la mtu na mkewe mipango ya maisha yao wanavyotaka kuishi ni juu yao.

Ndoa ina faragha yake. Jambo baya ni mtu kulazimisha au kulazimishwa kitu tu.

Unaweza kujiona unawatetea sana wanawake waweze kufaya kazi, wakati wenyewe hawataki kufanya kazi nje ya nyumba wanataka kufanya kazi nyumbani.

Kifupi haya ni maamuzi ya faragha ya ndani ya ndoa, ambayo, watu wakishakubaliana tu, hayahitaji mjadala, hayahitaji justification. Ukitaka kuyaingilia ndiyo mwanzo wa kuvunja ndoa za watu.

Ni kama mtu akiamua kuwa dini fulani, katika muktadha wa imani, uamuzi huo ni uhuru wa kikatiba na kibinadamu. Ukianza hata kuuhoji uamuzi huo, kwenye muktadha wa imani, unakuwa umevunja faragha ya msingi wa mtu.

Tatizo watu wengi hawajui mipaka, hawajui faragha, hawajui kitu gani kinaweza kuhojiwa na kitu gani hakiwezi kuhojiwa.
 
Kuna wanawake wanapenda kuwa wamama wanyumbani wapo na nmewashuhudia, lkn kama mwanamke ulimkuta akifanya kazi na kwako ukaona si njema hutakiwi kumuachisha na kumuacha nyumbani bali watakiwa kumtafutia mbadala. Naamini katika wote kujishughulisha hata kama mwanaume unakipato, usimkalize mkeo nyumbani.

Hata kama pesa yake haikusaidii kwa sasa, itakusaidia baadae. Kuna vifo kuna magonjwa mke anafaa kuzoea kusimama bila kuwa tegemezi.
 
Kabisa
 
Tunaenda sawa mkuu.
 
Kama tungeona matunda mazuri ya kazi wanayofanya na heshima ikawa kwenye mstari wake baasi tungewaruhusu wakachakarike,

Lakini kitendo cha boss kuheshimiwa na kusikilizwa kuliko mme na bado tunda unapewa Kwa kupangiwa maana kachoka Kwa kupata mda mdogo kupumzika
Upande wangu acha tuendelee kuigawana hiihii nayoitafuta mwenyewe

Hawa viumbe wasahaulifu saana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…