Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #81
Sasa imagine hapo wote mnaamini Yesu ndio Masihi lakini ngoma ngumu, sasa vipi ukiingia upande wa Islamic?Dini ina influence kubwa kwenye NDOA/KUOANA.
Naongea kama Mvulana mkatoliki niliye surrender kuoa Msabato.
Dah ๐ ๐ ๐lakini kwa Africa ambako bado tupo kwenye mchakato wa kutoka unyani ili kuwa binadamu kamili dini zina nafasi kubwa sana.
oya wee oya wee nakupenda wewe na huyo bwana yako ๐คฃMi siwezi acha kumpenda mtu kisa dini, nitampenda yeye na hiyo dini yake......
Huo nauita utoto au kutojitambua. Mimi nimeoa Catholic. Nimetokea kwenye jamii ya uislamu japo sikuwa muumini sana wa dini kwetu hamna sala tano. I care less about religion japo nina imani na hofu ya uwepo wa Mungu.Kuna mahusiano na kuna option ya kufunga ndoa.
Mkiwa kwenye option ya kufunga ndoa either wewe ubadili dini au mwanaume aje kwenye dini yako.
Wengi mtanipinga lakini huu ndio ukweli, hakuna mwenye uwezo wa kushindana na ukweli.
Kuna watu wameowana ni Wakristo wote lakini utofauti wa madhehebu unaleta shida, ndio sembuse mwislamu na Mkristo?
wani lazima ulee watoto kwa kufata hizo dini za wakoloniAcha kabisa usijaribu hilo, hata malezi ya watoto kiroho ni mtihani.
I would argue that they have sort of psych issues. Nitawalea watoto wangu ambavyo baba yangu alitulea. He was not scolding us ila alitufanya tuishi maisha ambayo we made our own choices.Watu wajinga kabisa kwenye hizo dini ni wasabatho na Muslims,kuna family moja ya kisabatho ina wanaume 3 wote walioa wanawake wasio wasabatho ni wakatoliki-wake zao hao walibadili dini na kuwa wasabatho.
Maajabu ni kuwa wanawan'gan'gania binti zao waolewe na wasabatho wenzao ilihali wachumba wanao kuja ni Wakatoliki.Mabinti nao akili zao 2 wanaacha kuolewa eti kisa Baba hataki wakatoliki.
Wengi wa Wasabatho na Muslims waliopo Tanzania ni zaidi ya matatizo,wamekazana na hizo dini za kuletewa utadhani wao ni bora kuliko waliozianzisha.
Ushauri wako ni mzuri mno, natamani kila mzazi mwenye kijana wa umri ampatie hili. Ukipuuza hapa hii ni mojawapo ya chanzo cha migogoro mingi kwenye ndoaPenzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana.
Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa.
Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata mwenza wa kuishi na kujenga naye familia hakikisha ni wa imani yako na kama ni imani tofauti basi hakuna mjadala cha kwanza mwanamke ndio abadili imani aje kwako au wewe ubadili imani umfuate mwanamke.
Unaweza usinielewe kwa upofu wa mapenzi utasema mtafunga ndoa bomani, bomu unalolitengeneza ni zaidi ya atomic.
Wazungu ni watu waliostaarabika siku nyingi hizi dini kwao walishagunduwa ni utapeli tu hawana shida, lakini kwa Africa ambako bado tupo kwenye mchakato wa kutoka unyani ili kuwa binadamu kamili dini zina nafasi kubwa sana.
Ukitaka kujuwa ulevi wa dini angalia Tanzania na ulaya, huwezi kukuta ulaya upuuzi wa viongozi wa dini kupewa kipaumbele kwenye shughuri za serikali.
Mwenye masikio na asikie, ukiona huwezi kwenda kwenye imani ya mwenza wako vunja hayo mahusiano mapema utaumia lakini utapowa maisha yataendelea na utapata mwingine.
Hii kuishi kwa ajili ya kuwafurahisha wengine inacost sana future.Imeshawahii kunikutaa hiii tulipigwa vita sanaa sio kwetu sio kwao mwishoe tulimua kukubalii tuโฆโฆ..future ilkuwepo ilatatizo dini daah!!
Mnavyoongea as if watu wa dini moja huwa hawana migogoro.Kusikia kwa kenge mpaka damu zitoke masikioni.
Umenena vyema ili halina mjadala kabisaaa daktariPenzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana.
Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa.
Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata mwenza wa kuishi na kujenga naye familia hakikisha ni wa imani yako na kama ni imani tofauti basi hakuna mjadala cha kwanza mwanamke ndio abadili imani aje kwako au wewe ubadili imani umfuate mwanamke.
Unaweza usinielewe kwa upofu wa mapenzi utasema mtafunga ndoa bomani, bomu unalolitengeneza ni zaidi ya atomic.
Wazungu ni watu waliostaarabika siku nyingi hizi dini kwao walishagunduwa ni utapeli tu hawana shida, lakini kwa Africa ambako bado tupo kwenye mchakato wa kutoka unyani ili kuwa binadamu kamili dini zina nafasi kubwa sana.
Ukitaka kujuwa ulevi wa dini angalia Tanzania na ulaya, huwezi kukuta ulaya upuuzi wa viongozi wa dini kupewa kipaumbele kwenye shughuri za serikali.
Mwenye masikio na asikie, ukiona huwezi kwenda kwenye imani ya mwenza wako vunja hayo mahusiano mapema utaumia lakini utapowa maisha yataendelea na utapata mwingine.
Sasa umeandika nn ?Au kokosa uelewa, England ni sehemu ya UK ๐ ๐ . Kiongozi mkubwa yaani malkia au mfalme ndio anaongoza UK nzima ikiwa England ndani yake.Umeandika pumba nyingi ila PhD inakurekebisha sasa, Anglican church ndio church of England.
Asante ndugu mjumbe ๐Huo nauita utoto au kutojitambua. Mimi nimeoa Catholic. Nimetokea kwenye jamii ya uislamu japo sikuwa muumini sana wa dini kwetu hamna sala tano. I care less about religion japo nina imani na hofu ya uwepo wa Mungu.
Ningesema niweke mgogoro I would have lost the most accurate woman of my life. Kutafta mwanamke wa hivyo ingenichukua muda mrefu sana sababu nilimu mold awe navyotaka mimi. It took a couple of years.
Kiufupi mimi uhusiano ndio kitu cha msingi kuliko hata imani zetu za kidini.
Sijaandika thread ya joke, hili siyo jukwaa la jokes.
My first born anamalizia degree ya pili, my second born yuko high school wote wanaume, tunatowa ushauri serious humu, siku hizi hakuna jando na unyago.
Asiyelielewa hili atakuja kujifunza kwa njia ngumukujitapa kenge we,mbunye na udini wako vina uhusiano gani?
Nijibu hapa hapa au pmNdiyo๐
Primitive idiot kama wewe lazima uone najitapa.Acha kujitapa
Ewaaaaaa๐๐๐oya wee oya wee nakupenda wewe na huyo bwana yako ๐คฃ
Hii ni kweli kabisa doktaPenzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana.
Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa.
Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata mwenza wa kuishi na kujenga naye familia hakikisha ni wa imani yako na kama ni imani tofauti basi hakuna mjadala cha kwanza mwanamke ndio abadili imani aje kwako au wewe ubadili imani umfuate mwanamke.
Unaweza usinielewe kwa upofu wa mapenzi utasema mtafunga ndoa bomani, bomu unalolitengeneza ni zaidi ya atomic.
Wazungu ni watu waliostaarabika siku nyingi hizi dini kwao walishagunduwa ni utapeli tu hawana shida, lakini kwa Africa ambako bado tupo kwenye mchakato wa kutoka unyani ili kuwa binadamu kamili dini zina nafasi kubwa sana.
Ukitaka kujuwa ulevi wa dini angalia Tanzania na ulaya, huwezi kukuta ulaya upuuzi wa viongozi wa dini kupewa kipaumbele kwenye shughuri za serikali.
Mwenye masikio na asikie, ukiona huwezi kwenda kwenye imani ya mwenza wako vunja hayo mahusiano mapema utaumia lakini utapowa maisha yataendelea na utapata mwingine.