Leo Daktari naongea na vijana, ukipata mwenza wa dini/imani tofauti na yako vunja hayo mahusiano mapema

Leo Daktari naongea na vijana, ukipata mwenza wa dini/imani tofauti na yako vunja hayo mahusiano mapema

Kuna mahusiano na kuna option ya kufunga ndoa.

Mkiwa kwenye option ya kufunga ndoa either wewe ubadili dini au mwanaume aje kwenye dini yako.

Wengi mtanipinga lakini huu ndio ukweli, hakuna mwenye uwezo wa kushindana na ukweli.

Kuna watu wameowana ni Wakristo wote lakini utofauti wa madhehebu unaleta shida, ndio sembuse mwislamu na Mkristo?
Huo nauita utoto au kutojitambua. Mimi nimeoa Catholic. Nimetokea kwenye jamii ya uislamu japo sikuwa muumini sana wa dini kwetu hamna sala tano. I care less about religion japo nina imani na hofu ya uwepo wa Mungu.

Ningesema niweke mgogoro I would have lost the most accurate woman of my life. Kutafta mwanamke wa hivyo ingenichukua muda mrefu sana sababu nilimu mold awe navyotaka mimi. It took a couple of years.

Kiufupi mimi uhusiano ndio kitu cha msingi kuliko hata imani zetu za kidini.
 
Watu wajinga kabisa kwenye hizo dini ni wasabatho na Muslims,kuna family moja ya kisabatho ina wanaume 3 wote walioa wanawake wasio wasabatho ni wakatoliki-wake zao hao walibadili dini na kuwa wasabatho.

Maajabu ni kuwa wanawan'gan'gania binti zao waolewe na wasabatho wenzao ilihali wachumba wanao kuja ni Wakatoliki.Mabinti nao akili zao 2 wanaacha kuolewa eti kisa Baba hataki wakatoliki.

Wengi wa Wasabatho na Muslims waliopo Tanzania ni zaidi ya matatizo,wamekazana na hizo dini za kuletewa utadhani wao ni bora kuliko waliozianzisha.
I would argue that they have sort of psych issues. Nitawalea watoto wangu ambavyo baba yangu alitulea. He was not scolding us ila alitufanya tuishi maisha ambayo we made our own choices.

Sio style ya udikteta ambayo inamfanya mtoto anakuwa hana uhuru wa kuamua mustakabali wake.
 
Penzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana.

Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa.

Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata mwenza wa kuishi na kujenga naye familia hakikisha ni wa imani yako na kama ni imani tofauti basi hakuna mjadala cha kwanza mwanamke ndio abadili imani aje kwako au wewe ubadili imani umfuate mwanamke.

Unaweza usinielewe kwa upofu wa mapenzi utasema mtafunga ndoa bomani, bomu unalolitengeneza ni zaidi ya atomic.

Wazungu ni watu waliostaarabika siku nyingi hizi dini kwao walishagunduwa ni utapeli tu hawana shida, lakini kwa Africa ambako bado tupo kwenye mchakato wa kutoka unyani ili kuwa binadamu kamili dini zina nafasi kubwa sana.

Ukitaka kujuwa ulevi wa dini angalia Tanzania na ulaya, huwezi kukuta ulaya upuuzi wa viongozi wa dini kupewa kipaumbele kwenye shughuri za serikali.

Mwenye masikio na asikie, ukiona huwezi kwenda kwenye imani ya mwenza wako vunja hayo mahusiano mapema utaumia lakini utapowa maisha yataendelea na utapata mwingine.
Ushauri wako ni mzuri mno, natamani kila mzazi mwenye kijana wa umri ampatie hili. Ukipuuza hapa hii ni mojawapo ya chanzo cha migogoro mingi kwenye ndoa
 
Penzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana.

Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa.

Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata mwenza wa kuishi na kujenga naye familia hakikisha ni wa imani yako na kama ni imani tofauti basi hakuna mjadala cha kwanza mwanamke ndio abadili imani aje kwako au wewe ubadili imani umfuate mwanamke.

Unaweza usinielewe kwa upofu wa mapenzi utasema mtafunga ndoa bomani, bomu unalolitengeneza ni zaidi ya atomic.

Wazungu ni watu waliostaarabika siku nyingi hizi dini kwao walishagunduwa ni utapeli tu hawana shida, lakini kwa Africa ambako bado tupo kwenye mchakato wa kutoka unyani ili kuwa binadamu kamili dini zina nafasi kubwa sana.

Ukitaka kujuwa ulevi wa dini angalia Tanzania na ulaya, huwezi kukuta ulaya upuuzi wa viongozi wa dini kupewa kipaumbele kwenye shughuri za serikali.

Mwenye masikio na asikie, ukiona huwezi kwenda kwenye imani ya mwenza wako vunja hayo mahusiano mapema utaumia lakini utapowa maisha yataendelea na utapata mwingine.
Umenena vyema ili halina mjadala kabisaaa daktari
 
Umeandika pumba nyingi ila PhD inakurekebisha sasa, Anglican church ndio church of England.
Sasa umeandika nn ?Au kokosa uelewa, England ni sehemu ya UK 😀 😀 . Kiongozi mkubwa yaani malkia au mfalme ndio anaongoza UK nzima ikiwa England ndani yake.

Phd anaandika ''ndiwo'' 😳wewe ni kilaza!

Vyeti fake ndio tatizo.
 
Huo nauita utoto au kutojitambua. Mimi nimeoa Catholic. Nimetokea kwenye jamii ya uislamu japo sikuwa muumini sana wa dini kwetu hamna sala tano. I care less about religion japo nina imani na hofu ya uwepo wa Mungu.

Ningesema niweke mgogoro I would have lost the most accurate woman of my life. Kutafta mwanamke wa hivyo ingenichukua muda mrefu sana sababu nilimu mold awe navyotaka mimi. It took a couple of years.

Kiufupi mimi uhusiano ndio kitu cha msingi kuliko hata imani zetu za kidini.
Asante ndugu mjumbe 😍
 
Acha kujitapa
Sijaandika thread ya joke, hili siyo jukwaa la jokes.

My first born anamalizia degree ya pili, my second born yuko high school wote wanaume, tunatowa ushauri serious humu, siku hizi hakuna jando na unyago.

Asiyelielewa hili atakuja kujifunza kwa njia ngumukujitapa kenge we,mbunye na udini wako vina uhusiano gani?
 
Penzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana.

Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa.

Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata mwenza wa kuishi na kujenga naye familia hakikisha ni wa imani yako na kama ni imani tofauti basi hakuna mjadala cha kwanza mwanamke ndio abadili imani aje kwako au wewe ubadili imani umfuate mwanamke.

Unaweza usinielewe kwa upofu wa mapenzi utasema mtafunga ndoa bomani, bomu unalolitengeneza ni zaidi ya atomic.

Wazungu ni watu waliostaarabika siku nyingi hizi dini kwao walishagunduwa ni utapeli tu hawana shida, lakini kwa Africa ambako bado tupo kwenye mchakato wa kutoka unyani ili kuwa binadamu kamili dini zina nafasi kubwa sana.

Ukitaka kujuwa ulevi wa dini angalia Tanzania na ulaya, huwezi kukuta ulaya upuuzi wa viongozi wa dini kupewa kipaumbele kwenye shughuri za serikali.

Mwenye masikio na asikie, ukiona huwezi kwenda kwenye imani ya mwenza wako vunja hayo mahusiano mapema utaumia lakini utapowa maisha yataendelea na utapata mwingine.
Hii ni kweli kabisa dokta
 
Back
Top Bottom