Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

Duh! Ndo maana mbowe hatoki madarani kwasabu mnamtukuza Kama ndo mwenye akili kuliko wote, hii imesababisa akina lisu wa frustrate wapo wapo tu as if wanafukuza kuku, kwasasa akili ya mdude na lisu zipo sawa hawana tofauti.
Tena tunafanya maandamano mpaka chuo kikuu wampe mwenyekiti PhD.
 
Kinacho nisikitisha sana huyu ni mwalimu wa dini fulani humu JF na wafuasi wake wanamwamini 🚮🚮🚮
 
Tena tunafanya maandamano mpaka chuo kikuu wampe mwenyekiti PhD.
mm najua Mwenyekiti anataka hela tu apige basi , amefanya chama Kama Mali ya ukoo wake Kama alivyo rithishwa anataka naye aje arithishe mtu, mbona kofia ya PhD itagoma
 
Hakuna mpinzani mwenye akili mbovu kiasi hiki....tafuta joho size yako
Wewe bwana, sasa tuwaambie nini wananchi?
Labda tuwaambie sisi maliberali, upinde ruksa kuanzia chekechea mpaka uzeeni.
 
Kwenye hili, kwa nini ujifikirie 'U-CHADEMA',na si 'U - MZEE BUTIKU' na 'U PRO. SHIVJI'?

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 

Nimefika hapo kwenye mishahara inaongezwa nimecheka sana
 
Usimhusishe Mungu kwa Mambo ambayo hayapo, nyie hata Kura elfu tatu hampati
Mpumbavu anasema moyoni mwake hakuna MUNGU,Tangu mwanzo MUNGU aliwachungulia Wanadamu.Aone kama yuko Mtu mwenye akili amtafutaye Mungu,bali Wanadamu wamepotoka kwa sababu ya MADARAKA na PESA.Soma Zaburi utapata akili.
 
mm najua Mwenyekiti anataka hela tu apige basi , amefanya chama Kama Mali ya ukoo wake Kama alivyo rithishwa anataka naye aje arithishe mtu, mbona kofia ya PhD itagoma
Around, mwenyekiti wetu anamihela ya pale disco, arikua anauza kira kitu, limagufuri rikamfungia naiti kirabu ire.
 
Kwenye hili, kwa nini ujifikirie 'U-CHADEMA',na si 'U - MZEE BUTIKU' na 'U PRO. SHIVJI'?

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Ri shivji ongo rire lizànzabari lile.

Libutiku lijanjsnlilr lilikua linaumanhukunlinapuliza, likose bajeti ua kuendesha ukumbi? Alifikiri sisi wajinga.
 
Utawaambia hio yote ni kazi ya JPM. Wakupe chance ya kuboresha zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…