Leo Leo ya Nandy na Koffie Olomide tumepigwa

Leo Leo ya Nandy na Koffie Olomide tumepigwa

Habarini wanajamvi,kiukweli huyu Nandy currently Hamna kitu maana anaforce kunya kwa tembo na mwisho anapasuka......

Aliona Waah ya The African G O.A.T DIAMOND PLATINUMZ imevunja record ya Africa na yeye akataka atbelee Ile upepo Sasa audio tu ni utopolo fc[emoji23][emoji23][emoji23]

Sukari ya ZUCHU ni Mara 100 ya wimbo huu mpya wa NANDY maana hauna maajabu,ZUCHU the East African Queen anampa presha huyu NANDY.

Ko kiukweli currently hakuna msanii wa kike namba moja zaidi ya ZUCHU na pia ZUCHU ni Bora Mara 100 zaidi ya NANDY.

ZUCHU Yuko full package Kwanza ni composer,singer, songwriter,dancer, performer, investor and proficiency both in English and Swahili language rather than any female artist in East Africa.
Sawa Baba levo tumekusikia. Vipi umeshajifungua wale mapacha watatu , uliotutangazia utamzalia mondi?
 
Tatizo Nandy badala ya kukimbia yeye kama yeye anataka kukimbizana.zuchu anakimbia so anajua anaenda wapi na focus yake ni wapi ndo mana ana speed na anafika mbali..,
Nandy anaangalia wengine wanakimbiaje,wanakimbilia wapi halafu anaenda.
Zuchu akitoa wimbo Nandy anatoa,katoa Cheche na mond, Nandy katoa sijui wimbo gani na Ali kiba
Katoa litawachoma,Dada ya kipare anaona kurudia Ali kina yuleyule mmhh anatoa na bill mass
Katoa na Joe boy,Dada ya kipare nae kamkimbilia huyohuyo Joe boy
Mopao kashakuja so ujio wake tena hata hauna kishindo..

Nandy kimbia wewe kama wewe,kuwa mbunifu ufanye ya kipekee kufika mbali
Kwenye biashara washindani ni muhimu lakini Fanya kitu tofauti na ladha tofauti kumzidi mshindani wako sokoni.sio mshindani wako akitoa nawe unarudia kilekile.
 
Tatizo Nandy badala ya kukimbia yeye kama yeye anataka kukimbizana.zuchu anakimbia so anajua anaenda wapi na focus yake ni wapi ndo mana ana speed na anafika mbali..,
Nandy anaangalia wengine wanakimbiaje,wanakimbilia wapi halafu anaenda.
Zuchu akitoa wimbo Nandy anatoa,katoa Cheche na mond, Nandy katoa sijui wimbo gani na Ali kiba
Katoa litawachoma,Dada ya kipare anaona kurudia Ali kina yuleyule mmhh anatoa na bill mass
Katoa na Joe boy,Dada ya kipare nae kamkimbilia huyohuyo Joe boy
Mopao kashakuja so ujio wake tena hata hauna kishindo..

Nandy kimbia wewe kama wewe,kuwa mbunifu ufanye ya kipekee kufika mbali
Kwenye biashara washindani ni muhimu lakini Fanya kitu tofauti na ladha tofauti kumzidi mshindani wako sokoni.sio mshindani wako akitoa nawe unarudia kilekile.
Huu ni upupu
Koffi atapiga show Valentine day na tickets zinakaribia kuwa sold out

Acha kumpangia afanyeje anaangalia penye faida na nyimbo zake zimefanya vizuri
 
Duh Mkuu unasema tumepigwa / umepigwa ?, Je umenunua Copy au umeangalia tu free ?, Kwahio umepigwa nini Bundle zako au ?
 
Wewe jamaa umeingia Youtube umekutana na li wimbo fake et Nandi na cof. Umepoteza mb zako. Uo sio official song acha ushamba
 
Habarini wanajamvi,kiukweli huyu Nandy currently Hamna kitu maana anaforce kunya kwa tembo na mwisho anapasuka......

Aliona Waah ya The African G O.A.T DIAMOND PLATINUMZ imevunja record ya Africa na yeye akataka atbelee Ile upepo Sasa audio tu ni utopolo fc[emoji23][emoji23][emoji23]

Sukari ya ZUCHU ni Mara 100 ya wimbo huu mpya wa NANDY maana hauna maajabu,ZUCHU the East African Queen anampa presha huyu NANDY.

Ko kiukweli currently hakuna msanii wa kike namba moja zaidi ya ZUCHU na pia ZUCHU ni Bora Mara 100 zaidi ya NANDY.

ZUCHU Yuko full package Kwanza ni composer,singer, songwriter,dancer, performer, investor and proficiency both in English and Swahili language rather than any female artist in East Africa.
Jamaa unajua kuchamba wewe.
Ila samahani kwa kukuita jamaa make sikujua jinsia yako
 
Back
Top Bottom