Uchaguzi 2020 Leo Mawakala wanaapishwa figisu zimeanza, sahihi za Mawakala zadaiwa kugushiwa. Polisi wachunguza

Uchaguzi 2020 Leo Mawakala wanaapishwa figisu zimeanza, sahihi za Mawakala zadaiwa kugushiwa. Polisi wachunguza

“Wagombea wanaambiwa Mawakala wataapa kwenye Tarafa nk. Hakuna ngazi ya Tarafa kwenye Uchaguzi. Mawakala wanapaswa kuapa ama kwa Msimamizi msaidizi ( kwenye Kata ) au kwa Msimamizi wa Uchaguzi ( Kwenye Jimbo ). Baadhi ya wasimamizi wa Uchaguzi wanasumbua wagombea MAKUSUDI”. Zitto Kabwe.

“Miaka yote katika chaguzi zote Mawakala wetu wanaapishwa makao makuu ya kata na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi. Leo Mkurugenzi anataka tusafirishe watu zaidi ya 1600 kwenda halmashauri maeneo mengine umbali wa km 60 kwa barabara zetu, risk, gharama na usumbufu mkubwa”. John Heche.

“Nimeongea na Mkurugenzi wa tume Dk Mahera akasema anatoa maelekezo kwa msimamizi wa uchaguzi lakini bado msimamizi amegoma. Badala ya uchaguzi kuwa wa wadau unakua mali ya msimamizi ambae alipaswa kuwa facilitator tu. Impunity,ujinga na uhuni”. John Heche.
Kaapishweni mlinde kura, manenomaneno ya nini?
 
“Wagombea wanaambiwa Mawakala wataapa kwenye Tarafa nk. Hakuna ngazi ya Tarafa kwenye Uchaguzi. Mawakala wanapaswa kuapa ama kwa Msimamizi msaidizi ( kwenye Kata ) au kwa Msimamizi wa Uchaguzi ( Kwenye Jimbo ). Baadhi ya wasimamizi wa Uchaguzi wanasumbua wagombea MAKUSUDI”. Zitto Kabwe.

“Miaka yote katika chaguzi zote Mawakala wetu wanaapishwa makao makuu ya kata na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi. Leo Mkurugenzi anataka tusafirishe watu zaidi ya 1600 kwenda halmashauri maeneo mengine umbali wa km 60 kwa barabara zetu, risk, gharama na usumbufu mkubwa”. John Heche.

“Nimeongea na Mkurugenzi wa tume Dk Mahera akasema anatoa maelekezo kwa msimamizi wa uchaguzi lakini bado msimamizi amegoma. Badala ya uchaguzi kuwa wa wadau unakua mali ya msimamizi ambae alipaswa kuwa facilitator tu. Impunity,ujinga na uhuni”. John Heche.

Kama mkurugenzi ameshawajibu analifanyia kazi tulieni bado asubuhi
 
“Wagombea wanaambiwa Mawakala wataapa kwenye Tarafa nk. Hakuna ngazi ya Tarafa kwenye Uchaguzi. Mawakala wanapaswa kuapa ama kwa Msimamizi msaidizi ( kwenye Kata ) au kwa Msimamizi wa Uchaguzi ( Kwenye Jimbo ). Baadhi ya wasimamizi wa Uchaguzi wanasumbua wagombea MAKUSUDI”. Zitto Kabwe.

“Miaka yote katika chaguzi zote Mawakala wetu wanaapishwa makao makuu ya kata na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi. Leo Mkurugenzi anataka tusafirishe watu zaidi ya 1600 kwenda halmashauri maeneo mengine umbali wa km 60 kwa barabara zetu, risk, gharama na usumbufu mkubwa”. John Heche.

“Nimeongea na Mkurugenzi wa tume Dk Mahera akasema anatoa maelekezo kwa msimamizi wa uchaguzi lakini bado msimamizi amegoma. Badala ya uchaguzi kuwa wa wadau unakua mali ya msimamizi ambae alipaswa kuwa facilitator tu. Impunity,ujinga na uhuni”. John Heche.
Hawa wakurugenzi na watendaji wakata, wahache Mambo ya ajabu huko chini wenda wanafanya Mambo haya kwa mashinikizo ya watu wao huko majimboni ,hata makao makuu nec kutohusika,na mbaya zaidi lawama zinaenda moja kwa moja kwa uongonzi juu nec,hii sio fair, na msituletee Mambo yenu kuvuruga amani.

USHAURI
Kama wanakataa kuwaapisha pigini kambi hapo hata ya siku tatu mpaka mjue hayo mamla ya kukataa kuapisha mawakala wanatoa wapi, au wanataka kuchafua viongonzi wao taifa wa nec, au wanatakavuruga amani na uchaguzi katika taifa, haiwezekani mtu mmoja Tena huko chini atake kuvuruga mchakato alafu anyamaziwe,
 
NEC mjue amani ya nchi yetu iko mikononi mwenu. Anayewatuma ana ulinzi na kinga ya kutoshtakiwa, ya kuambiwa changanyeni na akili zenu, shauri yenu.
Amani ya nchi ipo mikononi mwetu sote, sio NEC tu.
 
Hawa wakurugenzi na watendaji wakata, wahache Mambo ya ajabu huko chini wenda wanafanya Mambo haya kwa mashinikizo ya watu wao huko majimboni ,hata makao makuu nec kutohusika,na mbaya zaidi lawama zinaenda moja kwa moja kwa uongonzi juu nec,hii sio fair, na msituletee Mambo yenu kuvuruga amani
USHAURI
Kama wanakataa kuwaapisha pigini kambi hapo hata ya siku tatu mpaka mjue hayo mamla ya kukataa kuapisha mawakala wanatoa wapi, au wanataka kuchafua viongonzi wao taifa wa nec, au wanatakavuruga amani na uchaguzi katika taifa, haiwezekani mtu mmoja Tena huko chini atake kuvuruga mchakato alafu anyamaziwe,
Wanataka sheria ya mikono itumike
 
Ata Lisu anajua anakwenda kuangukia pua, anacho ogopa ni kushindwa kwa aibu.ila hakuna budi ilo kutokea.
 
NEC mjue amani ya nchi yetu iko mikononi mwenu. Anayewatuma ana ulinzi na kinga ya kutoshtakiwa, ya kuambiwa changanyeni na akili zenu, shauri yenu.
Hiyo shauri yenu ina maana gani???!!!
 
Yeyote anayeshabikia CCM ni mjinga. Yaani wewe kwa miaka yako yote hiyo unaamini makao makuu ya kata ni tarafa? Mko wajinga na wabishi. Na ndio mnaoiweka CCM madarakani. Mmoja jana anauliza eti NDC ni nini? Kweli CCM inafaidika sana na ujinga wa watu!
Mbona mnajikanganya? Makao makuu ya kata si tarafa?
 
“Wagombea wanaambiwa Mawakala wataapa kwenye Tarafa nk. Hakuna ngazi ya Tarafa kwenye Uchaguzi. Mawakala wanapaswa kuapa ama kwa Msimamizi msaidizi ( kwenye Kata ) au kwa Msimamizi wa Uchaguzi ( Kwenye Jimbo ). Baadhi ya wasimamizi wa Uchaguzi wanasumbua wagombea MAKUSUDI”. Zitto Kabwe.

“Miaka yote katika chaguzi zote Mawakala wetu wanaapishwa makao makuu ya kata na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi. Leo Mkurugenzi anataka tusafirishe watu zaidi ya 1600 kwenda halmashauri maeneo mengine umbali wa km 60 kwa barabara zetu, risk, gharama na usumbufu mkubwa”. John Heche.

“Nimeongea na Mkurugenzi wa tume Dk Mahera akasema anatoa maelekezo kwa msimamizi wa uchaguzi lakini bado msimamizi amegoma. Badala ya uchaguzi kuwa wa wadau unakua mali ya msimamizi ambae alipaswa kuwa facilitator tu. Impunity,ujinga na uhuni”. John Heche.
Sawa tafute na fukueni vijisababu vya KUSHINDWA! Hakuna anayetarajia CHADEMA washukuru hata wakifanyiwa mazuri namna gani na hasa ukitilia maanani kuwa Lissu ameshawalisha kasumba ya Amsterdam kuwa atashinda na vinginevyo ni vurugu. Mmeshaanza leo kwenye kuapishwa mawakala.
 
Sawa tafute na fukueni vijisababu vya KUSHINDWA! Hakuna anayetarajia CHADEMA washukuru hata wakifanyiwa mazuri namna gani na hasa ukitilia maanani kuwa Lissu ameshawalisha kasumba ya Amsterdam kuwa atashinda na vinginevyo ni vurugu. Mmeshaanza leo kwenye kuapishwa mawakala.
 
Sawa tafute na fukueni vijisababu vya KUSHINDWA! Hakuna anayetarajia CHADEMA washukuru hata wakifanyiwa mazuri namna gani na hasa ukitilia maanani kuwa Lissu ameshawalisha kasumba ya Amsterdam kuwa atashinda na vinginevyo ni vurugu. Mmeshaanza leo kwenye kuapishwa mawakala.

Nawauliza mbona hamtumi picha zozote hapa
Yaani kila kinachoendelea mtupeni taarifa tafadhali
 
Back
Top Bottom