Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Na wewe unajiona una akili? Kila makao makuu ya Tarafa ni makao makuu ya kila kata? Utakuwa Zuzu wa kiwango cha uji!Mbona mnajikanganya? Makao makuu ya kata si tarafa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe unajiona una akili? Kila makao makuu ya Tarafa ni makao makuu ya kila kata? Utakuwa Zuzu wa kiwango cha uji!Mbona mnajikanganya? Makao makuu ya kata si tarafa?
KAMA KUNA MTANZANIA ANAFIKIRI MAMBO YATAENDA VYEMA KWA TUME HII YA MAHERA, ANAJIDANGANYA. MATEGEMEO YA CCM YAKO KATIKA TUME YA MAHERA, NA MMEISHAAMBIWA, TATIZO LA WATANZANIA NI WAGUMU KUAMINI! NGUVU YA UMMA INAPASWA KUANZA MAPEMA!“Wagombea wanaambiwa Mawakala wataapa kwenye Tarafa nk. Hakuna ngazi ya Tarafa kwenye Uchaguzi. Mawakala wanapaswa kuapa ama kwa Msimamizi msaidizi ( kwenye Kata ) au kwa Msimamizi wa Uchaguzi ( Kwenye Jimbo ). Baadhi ya wasimamizi wa Uchaguzi wanasumbua wagombea MAKUSUDI”. Zitto Kabwe.
“Miaka yote katika chaguzi zote Mawakala wetu wanaapishwa makao makuu ya kata na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi. Leo Mkurugenzi anataka tusafirishe watu zaidi ya 1600 kwenda halmashauri maeneo mengine umbali wa km 60 kwa barabara zetu, risk, gharama na usumbufu mkubwa”. John Heche.
“Nimeongea na Mkurugenzi wa tume Dk Mahera akasema anatoa maelekezo kwa msimamizi wa uchaguzi lakini bado msimamizi amegoma. Badala ya uchaguzi kuwa wa wadau unakua mali ya msimamizi ambae alipaswa kuwa facilitator tu. Impunity,ujinga na uhuni”. John Heche.
View attachment 1607088
UPDATES ====•
Mawakala wanne wa Chadema wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo - Sumbawanga mkoani Rukwa, Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila amesema.
#MwananchiUpdates.
John Mnyika: Jitihada za mawasiliano na NEC juzi, jana na leo mpaka muda huu kudhibiti hujuma kwenye uapishaji wa mawakala zimekwama maeneo mengi. Nitazungumza vyombo vya habari HQ saa 8 mchana. Kwa sasa , #PeoplesPower itumike maeneo ambayo hujuma zinaendelea. #SasaBasi
na nyie ibeni akishinda mbowe hakuna wizi ila akishinda wa ccm ndio wiziCCM lini mtajifunza kutenda haki? Hao watu mnaowaibia wamejitoa, wametumia pesa zao kufanya kampeni halafu mwisho wa siku mnafanya ujinga ujinga huo. Mnataka kufanya Tanzania isikalike
chagua magufuli mkuu mitano tenaApproximately 26,500 Tanzanians, including 18,500 children under 5, die each year from diarrhea – nearly 90% of which is directly attributed to poor water, sanitation and hygiene (WASH).
Tundu Lissu amekuja kukukomboa kutoka kwenye Ujinga uliolishwa kwa Miongo hii Mitano
Ni Ujinga na Usaliti kwa Watanzania wenzanguchagua magufuli mkuu mitano tena
mkuu wiki ijayo kama saizi chadema mtakua mmeisha tepeta ha ha ha haMimi nilikuwa CCM tokea miaka ya tisini nimeihama Mwaka 2018 kwa sababu ya Sera za kijinga na kutojua Vipaumbele cha Mtanzania
Mimi sio mshabiki wa Chadema Mimi ni mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Tusipokuwa makini vita vinaweza kuanza leo“Wagombea wanaambiwa Mawakala wataapa kwenye Tarafa nk. Hakuna ngazi ya Tarafa kwenye Uchaguzi. Mawakala wanapaswa kuapa ama kwa Msimamizi msaidizi ( kwenye Kata ) au kwa Msimamizi wa Uchaguzi ( Kwenye Jimbo ). Baadhi ya wasimamizi wa Uchaguzi wanasumbua wagombea MAKUSUDI”. Zitto Kabwe.
“Miaka yote katika chaguzi zote Mawakala wetu wanaapishwa makao makuu ya kata na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi. Leo Mkurugenzi anataka tusafirishe watu zaidi ya 1600 kwenda halmashauri maeneo mengine umbali wa km 60 kwa barabara zetu, risk, gharama na usumbufu mkubwa”. John Heche.
“Nimeongea na Mkurugenzi wa tume Dk Mahera akasema anatoa maelekezo kwa msimamizi wa uchaguzi lakini bado msimamizi amegoma. Badala ya uchaguzi kuwa wa wadau unakua mali ya msimamizi ambae alipaswa kuwa facilitator tu. Impunity,ujinga na uhuni”. John Heche.
View attachment 1607088
UPDATES ====•
Mawakala wanne wa Chadema wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa, katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo - Sumbawanga mkoani Rukwa, Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Rukwa, Shadrack Malila amesema.
#MwananchiUpdates.
John Mnyika: Jitihada za mawasiliano na NEC juzi, jana na leo mpaka muda huu kudhibiti hujuma kwenye uapishaji wa mawakala zimekwama maeneo mengi. Nitazungumza vyombo vya habari HQ saa 8 mchana. Kwa sasa , #PeoplesPower itumike maeneo ambayo hujuma zinaendelea. #SasaBasi
Kama tukishindwa kwa HAKI hapo sawa ila kwa wizi wa Kura Big NOmkuu wiki ijayo kama saizi chadema mtakua mmeisha tepeta ha ha ha ha
Mkuu siku zote huwa tunashinda kwa haki ndio mana last time mlipata hadi wabunge wengi hapa dar ila safari hii tunawakalisha mapema kama saiz tutakua tushamaliza kaziKama tukishindwa kwa HAKI hapo sawa ila kwa wizi wa Kura Big NO
Mbona mnajikanganya? Makao makuu ya kata si tarafa?
Wewe ni mjinga kabisa kwani hujui kuna tarafa ambazo zina kata zaidi ya mbili?Mbona mnajikanganya? Makao makuu ya kata si tarafa?