Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,846
Ndio tatizo la kuhubiri AMANI unaacha kutamka HAKI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshachelewa bwashee!Wakuu
Kichwa cha uzi chahusika. Leo hatutaki kusikia sijui Lissu yupo wapi, sijui Lissu kafanya nini. Tunachotaka kusikia ni je mawakala wote wa upinzani wameapishwa au la?
Itakuwa ni ujinga uliopitiliza kumsikiliza Lissu huku jambo la muhimu zaidi likiachwa.
Nitaongea mengine baadae lakini kwa sasa nisiwachoshe.
Gharama za kuwasafirisha,kuwapa posho,unazo?Wakuu
Kichwa cha uzi chahusika. Leo hatutaki kusikia sijui Lissu yupo wapi, sijui Lissu kafanya nini. Tunachotaka kusikia ni je mawakala wote wa upinzani wameapishwa au la?
Itakuwa ni ujinga uliopitiliza kumsikiliza Lissu huku jambo la muhimu zaidi likiachwa.
Nitaongea mengine baadae lakini kwa sasa nisiwachoshe.
Mumeamua kutuulia mawakala wetu, lakini damu zao zitawatesa sana na zitawaondoa madarakani kwa aibu kubwa sana.Gharama za kuwasafirisha,kuwapa posho,unazo?
Wewe una nini cha maana zaidi ya kupost ujinga humu. Utakuwa umerithi ule ugonjwa wa kujinyea nyea toka huko ulikoazima jina la pili.Huyo Lissu wenu mwenyewe yupoyupo tu. Kazi kubwabwaja tu kwenye majukwaa lakini hana lolote la maana
CCM kwa kupora haki hamjamboUmeshachelewa bwashee!
Acha kuongea upuuzi,watu wapo kwenye majonzi.Mumeamua kutuulia mawakala wetu, lakini damu zao zitawatesa sana na zitawaondoa madarakani kwa aibu kubwa sana.
Gharama za kuwasafirisha,kuwapa posho,unazo?
Chato Mawakala wa Chadema Wamekataliwa
Wewe si unalo la kuuza TIGoHuyo Lissu wenu mwenyewe yupoyupo tu. Kazi kubwabwaja tu kwenye majukwaa lakini hana lolote la maana
WameshaanzaNasikia uko chato mawakala 12 wamekataliwa kwa sababu ya kwamba wamefoji sahihi ya katibu wa chama
Lissu ameshakata ticket ya kurudi Ubelgiji. Hata habari ya mawakala hataki kusikia.Ndio tunataka tusikie. Kama hawajaapishwa basi hata habari za Lissu msituambie
Wewe si unalo la kuuza TIGo
Huyo Lissu wenu mwenyewe yupoyupo tu. Kazi kubwabwaja tu kwenye majukwaa lakini hana lolote la maana
Wameshachinja wane tayari....tuko msibaniHapo umenena mkuuu.
Mawakala ndio NEC YETU KWA SASA.
NDIO UHAI WA TAIFA LETU.
NDIO DEMOCRASIA YETU.
HAKI.HAKI.HAKI.HAKI.