mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
100%Mungu anaweza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100%Mungu anaweza.
Duh..!Kweli Allah ni muweza wa yote. Na si ajabu aliruhusu tetemeko hili litokee na kuua maelfu ya watu ili aje aonyeshe uwezo wake kwa kumponya huyu mmoja baada ya miezi mitatu. Matendo na uwezo wake havielezeki! 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Hii habari inapatikana wapi? Au ndo zile za kurushiana whatsapp wewe umeamua uilete huku? Source yake ni wapi.View attachment 2618502
Leo huko Antakya, Uturuki Mtu huyu alitolewa nje. Kutoka chini ya vifusi vy concreti alikuwa hai, miezi mitatu baada ya tetemeko la ardhi kutokea Uturuki, SubhanaAllah Yeye Allah ni muweza wa kila kitu.
No source of information. Mhariri , YinYang ModeratorView attachment 2618502
Leo huko Antakya, Uturuki Mtu huyu alitolewa nje. Kutoka chini ya vifusi vy concreti alikuwa hai, miezi mitatu baada ya tetemeko la ardhi kutokea Uturuki, SubhanaAllah Yeye Allah ni muweza wa kila kitu.
Hayo maandishi ya Kiarabu yana maanisha hivi;View attachment 2618502
Leo huko Antakya, Uturuki Mtu huyu alitolewa nje. Kutoka chini ya vifusi vy concreti alikuwa hai, miezi mitatu baada ya tetemeko la ardhi kutokea Uturuki, SubhanaAllah Yeye Allah ni muweza wa kila kitu.
Vumbi na vipande vya zege pamoja na chuma chakavuAlikuwa anakula Nini?
Kama Mungu aliweza kuoa na kumtesa mwanae kwa dhambi zetu, wakati alikua na uwezo wa kusamehe bila kutoa mwanae kafara si Mungu wa ajabu huyu????Kama ni kweli:
1. Lazima alikuwa kwenye kanafasi kalikokuwa na hewa
2. Lazima alikuwa na source ya chakula - hata kama ni mende, panya, minyoo au nyama za wenzake aliofukiwa nao wakafariki
3. Lazima alikuwa pia na chanzo cha maji.
Kweli Allah ni muweza wa yote. Na si ajabu aliruhusu tetemeko hili litokee na kuua maelfu ya watu ili aje aonyeshe uwezo wake kwa kumponya huyu mmoja baada ya miezi mitatu. Matendo na uwezo wake havielezeki! [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Tunskula kwa sababu tunatumia nguvu, mlo hulingana na nguvu utumiayo hivyo kama umelala tu bila kugeuka wala kuinua kiungo unaweza kuishi bila kula kwa muda mrefu.Alikuwa anakula Nini?
Aiseee[emoji119]View attachment 2618502
Leo huko Antakya, Uturuki Mtu huyu alitolewa nje. Kutoka chini ya vifusi vy concreti alikuwa hai, miezi mitatu baada ya tetemeko la ardhi kutokea Uturuki, SubhanaAllah Yeye Allah ni muweza wa kila kitu.
Unatunga uongo ili umpe ala pointView attachment 2618502
Leo huko Antakya, Uturuki Mtu huyu alitolewa nje. Kutoka chini ya vifusi vy concreti alikuwa hai, miezi mitatu baada ya tetemeko la ardhi kutokea Uturuki, SubhanaAllah Yeye Allah ni muweza wa kila kitu.
View attachment 2618502
Leo huko Antakya, Uturuki Mtu huyu alitolewa nje. Kutoka chini ya vifusi vy concreti alikuwa hai, miezi mitatu baada ya tetemeko la ardhi kutokea Uturuki, SubhanaAllah Yeye Allah ni muweza wa kila kitu.