Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Khee ngoja tusubiriKweli mkali sana huyu bibie wacha nim-quote kidogo alivyosema..''Wadau nisaidieni,mimi naishi kwangu na maisha yangu sina dhiki kwa kweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lakini dushe lake ananinyima. Kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? Kwangu mimi dushe ndio uhitaji wangu mkubwa'' Akamaliza..
Ha ha ha acha hizoHizi smart phone hizi... kama vile bunge kujirekodi yenyewe....
Bibi harusi hata siku ya ndoa yako baada unahangaika mitandaoni...
Au kuna mtu unamtambia...
Hongera sana monicca,kila la kheri katika kusherehekea siku ya muhimu kama hii katika maisha yako kwa kufungua kurasa mpya..Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Usitumie hiki kitu kwenye ndoa yako Mamy hutachukua mda humo, hata kama unajiamini nishushe Mamy na usitumie hiyo sentensi kwa Mr hata kama umeshatumia usirudie ukiwa ndani ya ndoa .. Wapole sana hawa watu kabla hujaingia ukishaingia ni story ingine na mambo mengine ..Anamtisha Nani? I real trust myself kwa kiwango cha juu sana..sitishiki na lolote hata mtarajiwa analijua hili.
huyo mchumba ndio uimpata hapa jamiiforums? niliona uzi unaomba mchumba wenye jina kama lako, ndio wewe?Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Kabisaa mae,wanaume ni wepesi wa kukinai unaweza ukafanya kitu kidogo ukashangaa amebadilika..kashapata sababu. Hukatazwi kujiamini lakini kila kitu fanya kwa kiasi..Usitumie hiki kitu kwenye ndoa yako Mamy hutachukua mda humo, hata kama unajiamini nishushe Mamy na usitumie hiyo sentensi kwa Mr hata kama umeshatumia usirudie ukiwa ndani ya ndoa .. Wapole sana hawa watu kabla hujaingia ukishaingia ni story ingine na mambo mengine ..
Kama ataelewa achukue ushauri huu.. Ila akienda kujiinua humo ndani siku si nyingi atarudi na hadithi hapaKabisaa mae,wanaume ni wepesi wa kukinai unaweza ukafanya kitu kidogo ukashangaa amebadilika..kashapata sababu. Hukatazwi kujiamini lakini kila kitu fanya kwa kiasi..
alitafuta huby humu january na akaleta mrejesho kuwa kapata mr right I need my Mr. RightTutajie I'd ya bwana harusi jamani
Umachangia vizuri, naamini kuna kitu atajifunza hata kama hatakubali hapa ila kwenye nafsi yake amejifunza na atalifanyia kazi... Ndoa nyingi huvunjika kwa sababu ya watu kujikweza instead ya kuwa humble... Chukua like ya maneno na ya kitufe[emoji106]Usitumie hiki kitu kwenye ndoa yako Mamy hutachukua mda humo, hata kama unajiamini nishushe Mamy na usitumie hiyo sentensi kwa Mr hata kama umeshatumia usirudie ukiwa ndani ya ndoa .. Wapole sana hawa watu kabla hujaingia ukishaingia ni story ingine na mambo mengine ..
Asante mkuuUmachangia vizuri, naamini kuna kitu atajifunza hata kama hatakubali hapa ila kwenye nafsi yake amejifunza na atalifanyia kazi... Ndoa nyingi huvunjika kwa sababu ya watu kujikweza instead ya kuwa humble... Chukua like ya maneno na ya kitufe[emoji106]