Leo naolewa

Leo naolewa

Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.

Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.

Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.

Hongera karibu kundini ila ujue ndoa ni uvumilivu na upendo ,mkiweza hayo ndoa ni furaha.nakutakiwa maisha mema katika ndoa na mungu awatangulie kwa kila jambo
 
ukadumu kwenye ndoa sio unakuja kesho unasema umeachika tayar
 
Kweli mkali sana huyu bibie wacha nim-quote kidogo alivyosema..''Wadau nisaidieni,mimi naishi kwangu na maisha yangu sina dhiki kwa kweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lakini dushe lake ananinyima. Kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? Kwangu mimi dushe ndio uhitaji wangu mkubwa'' Akamaliza..
Khee ngoja tusubiri
 
Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.

Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.

Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Hongera sana monicca,kila la kheri katika kusherehekea siku ya muhimu kama hii katika maisha yako kwa kufungua kurasa mpya..
 
Anamtisha Nani? I real trust myself kwa kiwango cha juu sana..sitishiki na lolote hata mtarajiwa analijua hili.
Usitumie hiki kitu kwenye ndoa yako Mamy hutachukua mda humo, hata kama unajiamini nishushe Mamy na usitumie hiyo sentensi kwa Mr hata kama umeshatumia usirudie ukiwa ndani ya ndoa .. Wapole sana hawa watu kabla hujaingia ukishaingia ni story ingine na mambo mengine ..
 
Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.

Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.

Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
huyo mchumba ndio uimpata hapa jamiiforums? niliona uzi unaomba mchumba wenye jina kama lako, ndio wewe?
 
Usitumie hiki kitu kwenye ndoa yako Mamy hutachukua mda humo, hata kama unajiamini nishushe Mamy na usitumie hiyo sentensi kwa Mr hata kama umeshatumia usirudie ukiwa ndani ya ndoa .. Wapole sana hawa watu kabla hujaingia ukishaingia ni story ingine na mambo mengine ..
Kabisaa mae,wanaume ni wepesi wa kukinai unaweza ukafanya kitu kidogo ukashangaa amebadilika..kashapata sababu. Hukatazwi kujiamini lakini kila kitu fanya kwa kiasi..
 
Kabisaa mae,wanaume ni wepesi wa kukinai unaweza ukafanya kitu kidogo ukashangaa amebadilika..kashapata sababu. Hukatazwi kujiamini lakini kila kitu fanya kwa kiasi..
Kama ataelewa achukue ushauri huu.. Ila akienda kujiinua humo ndani siku si nyingi atarudi na hadithi hapa
 
Usitumie hiki kitu kwenye ndoa yako Mamy hutachukua mda humo, hata kama unajiamini nishushe Mamy na usitumie hiyo sentensi kwa Mr hata kama umeshatumia usirudie ukiwa ndani ya ndoa .. Wapole sana hawa watu kabla hujaingia ukishaingia ni story ingine na mambo mengine ..
Umachangia vizuri, naamini kuna kitu atajifunza hata kama hatakubali hapa ila kwenye nafsi yake amejifunza na atalifanyia kazi... Ndoa nyingi huvunjika kwa sababu ya watu kujikweza instead ya kuwa humble... Chukua like ya maneno na ya kitufe[emoji106]
 
Usisahau kuleta mrejesho wa kile kitajili as you did kwa wale waliofumani wakifanya mapenzi ofisini.
 
Umachangia vizuri, naamini kuna kitu atajifunza hata kama hatakubali hapa ila kwenye nafsi yake amejifunza na atalifanyia kazi... Ndoa nyingi huvunjika kwa sababu ya watu kujikweza instead ya kuwa humble... Chukua like ya maneno na ya kitufe[emoji106]
Asante mkuu
 
Hongera sana, mwanamke mtulivu ni tunu ya bwana .....
 
Back
Top Bottom