Mpaka sasa nashindwa kuamini kama wanaolilia uhuru wa habari wanauminya hata kabla hawajaelewa nini wanatakaMbowe mzalendo alianza kwa ku test uzalendo wa watangazaji TBC Kama anayoongea watarusha Live yaliyo kinyume na sheria za utangazaji .Kuna upande Kuna mtu Alikuwa akimwangalia Kama aonyeshe je anasikika live ? Yule mtu alitoa ishara ya Siri ya kuwa ndiyo .Akaona akiwakaribisha Lisu na Salum Mwalimu Live TBC itaingia matatizoni akawaambia ondokeni hatuwataki fungeni vyombo vyenu kwendeni zenu
Hilo tamko nimelikubali Mia kwa Mia Sababu TBC walikiuka sheria za utangazaji kipande Cha mwanzo Cha hotuba ya Mbowe
Mbowe alifanya vile Kama mzalendo namuombea CCM naomba tusiweke nguvu Sana Jimbo la Mbowe kumtoa ana uzalendo
Mafundi mitambo na wahariri wa TBC waliokuwepo Leo Mbagala wachukuliwe hatua na TBC haraka na Mbowe aachiwe Jimbo hata alishindwa naomba Raisi Magufuli mpe uteuzi ubunge wa viti vya kuteuliwa Yuko vizuri kulinda maslahi ya taifa na uzalendo.Amenigusa Sana jopo la TBC kikishindwa kuona Hadi Mbowe aone?
Hamna banaaaaa umekalia ukuni tuu huku umepakatwa na kupapaswa
Inaonekana unapenda huo ukuni naona unafurahia hadi jina la mwisho, nenda kwa mabwana zako wakakupasulie yai.Hamna banaaaaa umekalia ukuni tuu huku umepakatwa na kupapaswa
Kama mmewafukuza TBC mtashindwaje kuwafuku hao ITV na wengine?
Mtaona Kesho Tv zitakavyo kuwa LIVE kila sehemu[emoji38] bila kuleta No Signal.
Tayari nimeshakuwini kisaikolojia na ndio hicho nilikuwa nataka na kutafuta.Inaonekana unapenda huo ukuni naona unafurahia hadi jina la mwisho, nenda kwa mabwana zako wakakupasulie yai.View attachment 1551038
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Acha kuropoka unaijuia saikolojia wewe?Tayari nimeshakuwini kisaikolojia na ndio hicho nilikuwa nataka na kutafuta.
Kamoooonn
Dogo nakuonya Mara ya mwisho usinilazimishe nikutamkie neno baya iwe laana kwako.Acha kuropoka unaijuia saikolojia wewe?
Shukuru nimekupa hata muda wa kujibishana.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Toa hilo neno ili liwe laana we shogaDogo nakuonya Mara ya mwisho usinilazimishe nikutamkie neno baya iwe laana kwako.
Lione, Kanye ulale.
Kamoooonn!
Aiii nengla ndangla ndani ya tumbo ee!
Hahahaha nyau wewe.Aiii nengla ndangla ndani ya tumbo ee!
Mbusii weee!