Kwa hapa nakusikiliza wewe tu wakwetuNakazia hapaπππππππ..
Ndizi zinataka vitunguu vya kutosha,hoho,Karoti na nyama ya kutosha tu...iwe nzuri...makorokoro mengine hayana maana yoyote..
Naishi na mume,siwezi kukaa na mtu mwingine kwa sasaJaribu ukae na mtu anayejua kupika ujifunze binafsi wakati nafika chuo nilikuwa najua kusonga ugali tuu
Nilikutana na. Jamaa mmoja anapika balaa alijfunza akiwa anamsaidia Mama yake Kuuza mgahawa akawa ananifundisha mdogo mdogo mpaka nimemaliza chuo leo hii si haba naweza waambia home niachien jiko nyie nenden sebulen mkatulie...
Unawekaje masala kwenye ndizi nyama jamani? Nitakula hizo nyama tu nikuachie ndizi zako.Nakazia hapaπππππππ..
Ndizi zinataka vitunguu vya kutosha,hoho,Karoti na nyama ya kutosha tu...iwe nzuri...makorokoro mengine hayana maana yoyote..
Jana ndio mara ya kwanza kunywa pombe nikapiga cocktail moja ya beer 4 tofautiShushia na hii kitu ya baridii utakuja kunishukuru sanaView attachment 3193102
Kwa huo upishi tu nikajua kazi ipowazee wa kujipikia..oa ndugu
naona hadi nanzi ni yakukuna kabisa aisee
Mara ya kwanza ila ukapiga na cocktail kabisa?Jana ndio mara ya kwanza kunywa pombe nikapiga cocktail moja ya beer 4 tofauti
Iko hivyo wakwetu...Kwa hapa nakusikikiza wewe tu wakwetu
Kwenye comment yako umedai anajua kupika huyo huyo komaa nae akufundisheNaishi na mume,siwezi kukaa na mtu mwingine kwa sasa
Anakula nachopika mara moja moja,sidhani kama natoa boko kila siku
πππTuko wote...Unawekaje masala kwenye ndizi nyama jamani? Nitakula hizo nyama tu nikuachie ndizi zako.
Ogopa matapeli hilo pishi wacheku wa kule mndenyi tu ndio wanalijuliaπππ bila kuona jani la mgomba ni ubatili tu.Iko hivyo wakwetu...
Wajuzi wa hilo pishi tunaelewa.
Anayejua kupika niliyemuandika kwa comment ni ex,sio huyuKwenye comment yako umedai anajua kupika huyo huyo komaa nae akufundishe
Hasa kama amejua udhaifu wako ni kupika
Baby girl, mimi nina version zangu 2 za ndizi nyama.πππTuko wote...
Ndizi inawekwa nazi sijui kuna wale wanaweka hadi giligilani...mimi hapana aiseee...
Ajitahidi aoe mwanamke wa kipemba ili waende sawaAmenichanganya ujue hapo kwenye hivyo viungo alivyo dadavua mh!
Ana hadi kikunio cha nazi maana hajatumia ya dukaniππ
Huyu akioa ni hatari kwa mke wake. Ndoa itapata shida sana jikoni.
Cocktail ya beer ya kiswahili mkuuMara ya kwanza ila ukapiga na cocktail kabisa?
HongeraAnayejua kupika niliyemuandika kwa comment ni ex,sio huyu
Dah mbona kama ni mimi huyo
Ndo nimeshakosa mke mimiπHuko juu kuna mtu kakwambia ushushie kilimanjaro ukajibu hutumii hiyo...hapo ndo nikajua sio wewe manake yeye hakuna kilevi alikuwa hatumii
Halafu nimeona kidole chako sio kama chake