Leo Siku ya Wanawake: Tuambiane ukweli tu kuna Wanawake bila kipigo kidogo hawaelewi kabisa

Vip swala la 50-50,una maoni gani wewe kama wewe? Unakubaliana nalo?
 


Waeleze hao wasiojitambua..waeleze
 
Amemisbehave..au ulitaka umpeleke kwenu akawe beki 3 wenu
Unajua kinachofanya ndoa kuvunjika? Kama kashindwa kukusikiliza haikupi haki ya kumrudisha kwao,labda kama mlikua mnaishi kishkaji sawa,ila kama mmekula kiapo ujue huo mzigo wako na utakufa nao.

Ukiwa na wazo hilo akili amezingua hamsikizani utamfanyaje?
 
Kumpiga mwanamke ni kiashiria tosha kuwa mwanaume ni dhaifu.

Mwanaume dhaifu haamini kama uwezo wake wa kumuadabisha mwanamke ni mkubwa kuliko viganja vya mikono yake.

Udhaifu huu unazaliwa na namna mwanaume alivyolelewa na baba yake mzazi.
jiwe mwenyewe anamlamba vibao mke wake piga kabisa na stuli mpaka mkewe akalazwa jiwe bwana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] anajionaga masta
 
Kama mm mwanaumenmapeleka kwao napeleka kesi kwao...wamuonye.kama ataonyekq atarudi km.kichwa ngumu mpe talaka kiroho safi huyo hakua chaguo lako
 
baada ya ngumi vipi alirudia kusema nipige tena kama wewe mwanaume?
 
Mimi siyo dhaifu kiasi hicho...kwanza atakudharau sana
Kwahiyo dawa kupiga?? Yaan mm nitakuharibia future had akipita mwanamke umchukie...yaan nitakuvuruga ww...hehehee....hata kazi utaacha kwanza
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tupe madini tupe maujanja[emoji3][emoji3][emoji3].so mwanamke anahitaji kupendwa to the maximum,kujaliwa, kusifiwa,kuhidumiwa,kununuliwa zawadi enheee ongezea na kingine,
 
Chukua bia tano...,nipe namba ya muuzaji ili nimlipe kwa M-PESAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…