johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa....... Kwa biashara kama hii lazima disemba akatambike Marangu!Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
Kabisa, niliwahi kusikia kauli kama hii kwa ombaomba mwandamizi hapa nchini akiitwa MATONYA...Ukiondoa udhalili, omba omba ni biashara inayolipa sana bongo.
Ngoma droo tuu na aliyepata ubunge kwa bao la kisigino....Mwisho wa mwaka mtu anarudi milimani kuonesha mafanikio yake na wazazi wanacheka
Wewe ni mmoja wa wale wasukuma kile kiti cha mlemavu ... FYI yupo mmoja alihojiwa alisema aliambiwa tu nenda Dar kuna kazi na hawakutaka kumwambia kazi ganiPost nyingi za kijinga humu.
Kwanza kisheria hakuna kosa kuwapangisha hapo kuna siasa uchwara
Serikali imefanya nini kuwasaidia walemavu hata huko wanakotoka?
Wapo wengi wanaokaa makanisani na misikitini asubuhi wanaingizwa mitaani waziri nenda na huko kawatandike viboko masheikh, wachungaji na mapadre.
Hakuna mlemavu anaelazimishwa ila ni kwa hiari yao tena wanafurahia kupata ahueni ya maisha.
Huyo mama apongezwe wakati serikali ikitafuta suluhisho ka kudumu kwa walemavu.
Lawama hapa Kwa serikali na Shukrani Kwa mama anaewasaidia walau kupata rizki.
Wajinga endeleeni kukurupuka.
Sasa mbona haikufanya lodge...inamaana hao walemavu wanalipa kuliko wanaokaoa kwa lodge..Kwa hiyo mlitaka walale bure kwenye hiyo Lodge? Kwanza kawapa offer ya maana sana wako karibu na ofisi zao za kazi halafu wanapata huduma ya maji, umeme, chakula n.k Tena hiyo elfu 10 ni ndogo!!
Kwenye wale waliokwapua mabilioni kutoka mkombozi bank na sandarusi kuna mangi pale??Ogopa sana mafanikio ya watu wawili
1. Mchaga
2. Muhindi
Hao watu janja janja sana
Kwaiyo wamuachie TU? ...Tatizo lipo kwa serikali yenyewe na wanafamilia.
Huyo mama kafanya makosa ila kumsulubu sio suluhisho
Huo ni wivu na njaa sasa.Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Chanzo: TBC ardhio 4/1/2021.
Hivi mlemavu atasema Nini?... Ndugu wa hao walemavu wanawauzaKuna kilichosahaulika kwenye tafakuri. Je, ni nini kimepelekea hao walemavu kwa wingi kiasi hicho kukubali kutumika hivyo?
Hongereni..tafuteni Sana Pesa...kwa udi na uvumba...haijalishi inapatikanaje..."Sisi ni next level, serikali imejaribu kutupoteza imeshindwa. Siku hizi Tunamiliki viwanda pia tunafanya Consultancy kubwa kubwa".
Ndungu mchaga...naona unamtetea mchaga mwenzako...Post nyingi za kijinga humu.
Kwanza kisheria hakuna kosa kuwapangisha hapo kuna siasa uchwara
Serikali imefanya nini kuwasaidia walemavu hata huko wanakotoka?
Wapo wengi wanaokaa makanisani na misikitini asubuhi wanaingizwa mitaani waziri nenda na huko kawatandike viboko masheikh, wachungaji na mapadre.
Hakuna mlemavu anaelazimishwa ila ni kwa hiari yao tena wanafurahia kupata ahueni ya maisha.
Huyo mama apongezwe wakati serikali ikitafuta suluhisho ka kudumu kwa walemavu.
Lawama hapa Kwa serikali na Shukrani Kwa mama anaewasaidia walau kupata rizki.
Wajinga endeleeni kukurupuka.
Kwaiyo Mimi biashara yangu sipati wateja..nije nivunje yako usiku niibe...SASA NITAISHIJE?Huo ni wivu na njaa sasa.
Kama ameweka guest na nyie hamuendi kuvunja amri sasa ataishije
Hapo sasaKwaiyo Mimi biashara yangu sipati wateja..nije nivunje yako usiku niibe...SASA NITAISHIJE?
Ulipata ujira wako mbele ya mola wako.Nilikuwa msaidiaji mzuri nikiona walemavu wamepangwa juani hasa nikiangalia zile hali zao ila baada ya kujaga kuyagundua haya ndo ikawaga mwisho wangu wa kuwasaidia.
Mana nilichokuwa nakitowa hakiendi kumsaidia niliyemlenga zaidi ya kwenda mtu ambaye ni mzima na asiye na haja ya kusaidiwa.