Wakishajiona wana chura wanaona wanayo haki ya kula bwerere pesa ya kila mwanaume........hawa viumbe ni shida sana, mwingine anakukomalia umsaidie pesa wakati hataki kutoa ushirikiano wa kuliwa.Wanawake nyie wengi wenu mkitongozwa na wanaume msiowataka mnakuwa na mindset za kitapeli, zinafanya hadi sometime mkose misaada, pale kweli mnapokua na shida ya hela
Sitoi msaada hata wa TSH 1000 kwa mdada ninaemtaka na Hajawahi kunipa papuchi, kwenye kunipa papuchi ananizungusha Half nitoe hela bure ili unifanye boya lako io haipo, nipe nikupe, kuwa mwema kwangu nami nitakuwa mwema kwako Missy Gf
Marahaba hujambo shemeji yangushemeji shikamoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja niongee na mwanasheria wangu kwanzaMarahaba hujambo shemeji yangu
Fanya nitumie nauli basi [emoji39]
Kha pita hivi 👉[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja niongee na mwanasheria wangu kwanza
Hamna njia huko, siku hizi kuna ticket mtandao, nikukatie?Kha pita hivi [emoji117]
Hivi precision inafika hukoHamna njia huko, siku hizi kuna ticket mtandao, nikukatie?
Hapanaaa, magari yanayokuja huku ni Airborne City, Kimotco na Mtei tuu [emoji3526]Hivi precision inafika huko
Kwani secret service sio muajiriwa mzalendo?! Unajitekenya unacheka mwenyewe, tunatamani kuyaishi maisha tunayojinadi tunayo na ukiona mtu kajipa jina ndivyo alivyo, anatamani kuwa hivyo au ndo maisha anayoyaishi we kalagabaho!
Na Ulivyoandika "kwendra" nna wasiwasi utakuwa "CHOKO" wewe 🤔
Case closed! Sibishani na MASHOGA..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nauli yangu hailiwi bure.. Lazima nikuroge! Nimewaroga sana halafu nimewarogea gundu la kimavi
Kama hiyo 10 unaona ndogo mrembo Cute Wife inakuaje inaliwa?Hapo wengine unakuta katuma pesa kubwa elfu 10 lkn kelele nyingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui wenzao wanaotuma nauli ya flight tuwaweke wapi?
Kama hiyo 10 unaiona ndogo inakuaje inaliwa?Watu wanatuma ticket ya flight na hawaleti uzi humu
Sasa hawa wa bando la afutatu kelele nyingii
Elfu kumi haitoshi kitu bwana we nawe tafuta helaKama hiyo 10 unaiona ndogo inakuaje inaliwa?
[emoji3]Mimi binafsi nilishwah kuliwa nauli 10k na precious, japo nikampat mbelen ila the moment nauli ililiw iliniuma mno. Toka apo sijawahi tuma Tena Kwa yyote.
[emoji3]Nauli yangu hailiwi bure.. Lazima nikuroge! Nimewaroga sana halafu nimewarogea gundu la kimavi
Huyo mwehu unatakiwa umtafute mkuu ajae kweny 18 umfundshe adabuMimi alikula nauli elfu 20 halafu akazima simu. Kaja kuwasha baada ya siku tatu.
Kumuuliza sababu eti anajibu alivyoenda kutoa ela kwa wakala ghafla simba wakaanza kucheza, hivyo akaona hata akija hakuna litakalofanyika.
Nikamuuliza kwanini alizima simu akajibu system chaji ilikufa na betri la kiswaswadu aliliweka vibaya panya wakalila. Hivyo amesharekebisha kwahyo nimtumie tena nauli aje! Alikula block nikaishia kumla besti ake ambae mpaka sasa hivi najipigia tu.
Sometime sio suala la hela muda unathamani sana unajua unakuta mtu anavunja ratiba zake muhimu sana kwaajili yako hivi Hilo mnakuaga mnaliangalia?Hiyo ya U-Fresh aache kupiga kelele
Siku akiliwa million ndo alete makelele tumsikilize [emoji12]
Kwani uliomba hela ya matumizi au nauli? Maana Ili mtu akutumie nauli lazima aangalie distance ya kukutania na nauli atakayokutumiaElfu kumi haitoshi kitu bwana we nawe tafuta hela
Yani anazima simu siku 3 kisa amekula 20kMimi alikula nauli elfu 20 halafu akazima simu. Kaja kuwasha baada ya siku tatu.
Kumuuliza sababu eti anajibu alivyoenda kutoa ela kwa wakala ghafla simba wakaanza kucheza, hivyo akaona hata akija hakuna litakalofanyika.
Nikamuuliza kwanini alizima simu akajibu system chaji ilikufa na betri la kiswaswadu aliliweka vibaya panya wakalila. Hivyo amesharekebisha kwahyo nimtumie tena nauli aje! Alikula block nikaishia kumla besti ake ambae mpaka sasa hivi najipigia tu.