Leta experience yako kwenye haya mambo( pain ya kuliwa naul na demu, Raha ya kula nauli ya me na inawezekanaje watu wanaendelea kutuma nauli?)

Leta experience yako kwenye haya mambo( pain ya kuliwa naul na demu, Raha ya kula nauli ya me na inawezekanaje watu wanaendelea kutuma nauli?)

Wanawake nyie wengi wenu mkitongozwa na wanaume msiowataka mnakuwa na mindset za kitapeli, zinafanya hadi sometime mkose misaada, pale kweli mnapokua na shida ya hela

Sitoi msaada hata wa TSH 1000 kwa mdada ninaemtaka na Hajawahi kunipa papuchi, kwenye kunipa papuchi ananizungusha Half nitoe hela bure ili unifanye boya lako io haipo, nipe nikupe, kuwa mwema kwangu nami nitakuwa mwema kwako Missy Gf
Wakishajiona wana chura wanaona wanayo haki ya kula bwerere pesa ya kila mwanaume........hawa viumbe ni shida sana, mwingine anakukomalia umsaidie pesa wakati hataki kutoa ushirikiano wa kuliwa.
 
Issue isipokufaa kaaa kimyah tu....wapo watu wa KILA aina kuna mtu anapoteza Mda(burudani),kuna mtu anaelimika,kuna mtu analeta chai yaani usianze kuleta real life hapa KWA kuponda mleta uzi kama haukufai pita vile nyuzi zipo nyiiingi ........
Ungetaka kumuelimisha ungetumia lugha njema sio kuponda tu na kutumia lugha mbaya ..
NB;Ukielewa maana ya maturity hutakuwa unasumbuka na watu maishani au hapa JF
Kwani secret service sio muajiriwa mzalendo?! Unajitekenya unacheka mwenyewe, tunatamani kuyaishi maisha tunayojinadi tunayo na ukiona mtu kajipa jina ndivyo alivyo, anatamani kuwa hivyo au ndo maisha anayoyaishi we kalagabaho!

Na Ulivyoandika "kwendra" nna wasiwasi utakuwa "CHOKO" wewe 🤔

Case closed! Sibishani na MASHOGA..
 
Mimi binafsi nilishwah kuliwa nauli 10k na precious, japo nikampat mbelen ila the moment nauli ililiw iliniuma mno. Toka apo sijawahi tuma Tena Kwa yyote.
[emoji3]
Umenikumbusha Mbali nilishawahi liwa nauli na pisi mbili tu tofauti, kiukweli iliniuma sn ile moment baada ya kugundua nmepgwa changa la macho mkuu

Tangu pale haijawah ntokea tena maana nipo makini kinoma na Hv viumbe vinavyobleed kila mwez
 
Nauli yangu hailiwi bure.. Lazima nikuroge! Nimewaroga sana halafu nimewarogea gundu la kimavi
[emoji3]
Naomba hyo formula mkuu mshana, nahc dawa yao iliyobaki kwa nyakat hz ndio hyo tu
 
Mimi alikula nauli elfu 20 halafu akazima simu. Kaja kuwasha baada ya siku tatu.

Kumuuliza sababu eti anajibu alivyoenda kutoa ela kwa wakala ghafla simba wakaanza kucheza, hivyo akaona hata akija hakuna litakalofanyika.

Nikamuuliza kwanini alizima simu akajibu system chaji ilikufa na betri la kiswaswadu aliliweka vibaya panya wakalila. Hivyo amesharekebisha kwahyo nimtumie tena nauli aje! Alikula block nikaishia kumla besti ake ambae mpaka sasa hivi najipigia tu.
Huyo mwehu unatakiwa umtafute mkuu ajae kweny 18 umfundshe adabu
 
Hiyo ya U-Fresh aache kupiga kelele
Siku akiliwa million ndo alete makelele tumsikilize [emoji12]
Sometime sio suala la hela muda unathamani sana unajua unakuta mtu anavunja ratiba zake muhimu sana kwaajili yako hivi Hilo mnakuaga mnaliangalia?
 
Mimi alikula nauli elfu 20 halafu akazima simu. Kaja kuwasha baada ya siku tatu.

Kumuuliza sababu eti anajibu alivyoenda kutoa ela kwa wakala ghafla simba wakaanza kucheza, hivyo akaona hata akija hakuna litakalofanyika.

Nikamuuliza kwanini alizima simu akajibu system chaji ilikufa na betri la kiswaswadu aliliweka vibaya panya wakalila. Hivyo amesharekebisha kwahyo nimtumie tena nauli aje! Alikula block nikaishia kumla besti ake ambae mpaka sasa hivi najipigia tu.
Yani anazima simu siku 3 kisa amekula 20k
Hiyo simu naamini ni kwa ajili ya kula nauli tu , na huyo ni demu ni jobless
 
Back
Top Bottom