Liberata Mulamula: Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana

ccm kila miaka mitano mabadiliko ya viongozi yapo chadema ni lini mlibadirisha mwenyekiti?mkpewanchi mtaua kila kitu na democrasia
Nilichogundua kupitia uandishi wako ni uwezo duni wa akili. Kwanza kuandika kwenyewe hujui, kama watu design yako ndio mmetumwa kutetea chama na serikali mitandaoni hakika ni msiba. Unatia huruma sana mkuu [emoji23][emoji23]
 
wewe unadhani ujinga wenu ndio uliomleta?- sasa Botswana alienda kufanya nini?
Sawa, "ujinga" wetu haujamleta. Lakini umelazimisha mahakama ihamie mtandaoni, pamoja na majigambo yooote ya Siro wenu. Ujinga huo umemfanya ampige maswali makali Samia, hadi akakimbilia kwenye kona ya "ratiba ziliingiliana". Huu ni "ujinga" mzuri sana
 

Sio tu viongozi wetu wanafanya wazungu waanze kutufananisha na nyani bali wazungu wameanza kuona waafrika ndio chanzo kingine cha amani ya dunia kutoweka.
 
hakuna siku hata moja mzungu aliipenda africa kila afanyacho ana maslahi nacho wameshatuzidi akili wale sasa tukiwasikiliza chadema ambao wamejichimbia ulaya wanashawishiwa uroho wao wa madaraka ndiyo utaliingiza taifa katika machafuko
Marekani ndio wababe wadunia. Si unaona samia na mula wanavyohaha. Trump asiyejali lakini alimpeleka puta Magu. Sembuse Biden anayetaka Demokrasia?
 
Kaka wao sio wajinga hivo, wanafahamu uvumilivu (threshold) wa watanzania uko juu sana, na wana uhakika na hilo. Ndio maana kiongozi na taasisi zinaweza kufanya au kusemama chochote na popote na wakti wowote kwa wananchi. 80% ya watanzania wanafahamu kuwa wanadanganywa lakini wanakosa cha kufanya.
 
usishangae itakua ilesiku ya uzinduzi kitabu cha mzee ruksa
 
Kwa kweli, baada ya Under Secretary of State Victoria Nuland kukutana na wapinzani , serikali imeumbuka.
Siyo siri!!
 
Huu ujinga wa "ugaidi" ulitamalaki enzi zile za kikwete, na Mwigulu alizisimamia, hadi Mahakama ilitoa onyo kali kwa serikali kushikilia kesi za ugaidi wakati hawana chembe ya ushahidi.
Sasa ujinga huo umerejea. Ni dalili ya kuishiwa na kupaniki
 
..Naibu Waziri katoka Marekani na ameweza kukutana na wapinzani.

..Rais SSH, VP, PM, Mawaziri, wako hapa nchini lakini hawawezi kukutana na wapinzani.

..Hili na jambo la aibu kubwa. Huwezi kuwa na mfumo wa vyama vingi halafu wadau hawakutani mara kwa mara kubadilishana mawazo, na kuboresha taratibu na mazingira ya ushindani.
 
ccm kila miaka mitano mabadiliko ya viongozi yapo chadema ni lini mlibadirisha mwenyekiti?mkpewanchi mtaua kila kitu na democrasia

..mapendekezo yako yanaweza kufanyiwa kazi kupitia KATIBA MPYA.
 
Wapinzani ni second class citizens with rights but mere presidential incentives.
 
Vichaka vya kujificha mtavipata vingi tu-
 
MULAMULA KAKOSEA KAULI YAKE ATI RAIS HAJAKUTANA NA WAPINZANI KWA KUA RATIBA ZIMEINGILIANA. UKWELI RAIS HAJAKUTANA NA WAPINZANI KWA KUA ALIOMBA APEWA MUDA.
 
..Unfortunately hivyo ndivyo CCM inavyofundisha vijana wake.

..Nikiifikiria Tz ya miaka 15 mbele na attitude za vijana wa CCM napata mashaka makubwa kuhusu hatima ya nchi yetu.
CCM ni ngumu sana kuvuka miaka 10 ijayo wakiwa madarakani.

Hata kama hawataondolewa na vyama vya upinzani wataondolewa na wananchi
 
Wehu kama ninyi, hamna msaada kwa Taifa letu. Ninyi ndio mnalifanya Taifa letu kuwa mkia badala ya kichwa.
 
Jifunze kuandika kwa ufasaha. Kundika ovyo kunaashiria ubongo kuwa ovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…