Licha ya kuambiwa chuo kuna watoto wakali. Lakini kuna Watu walimaliza chuo bila kupata demu yeyote

Hao wa kuwahonga mlikua mnawatoa wapi aisee, yaani uhonge hadi unaishiwa kabisa.
 
Mim udsm 2009-2013 Coet
Mademu wa3 ud
Dem1 udom
Dem1 chuo cha magogon posta pale
 
Wenyewe wanasema umetoka Chuo na Clean Sheet😂, hivi kweli mtu unakosa hata kujipoza na fest yia??😂😂😂 Haya ni matumizi mabaya ya rasilimali
 
Semester ya kwanza nkitoka kipindi tu napanda gari narudi geto na kama pana interval kubwa ya vipindi nlikesha computer lab... ndani ya chuo semester 1 nkatoka na clean sheet

Tulivorudi nkaanza kua interactive sana kuchill vimbwetani tunacheza magemu, discussion za hapa na pale, nkaanza kushiriki events za chuo....ndo mambo yakaanza kua mazuri ila mwisho wa siku nlienjoy Kampan za wadada wa nje ya chuo zaidi
 
Kumbe mzee wetu Lowasa alikutana na mkewe chuo kikuu, sawa na Lisu, inawezekana mka anzia chuo mpaka mka zeeshana
 
Mi hata sijui nimepiga MU first year tupa ndoano nikakataliwa live siku hiyo nimetulia Sina mbele wala nyuma nashangaa napokea zawadi ya picha na zawadi zingine Toka Makumira kuangalia ni aliyekuwa group member Cha six tukiwa likizo nikakuta namba ya sim na baadhi ya sms
Anaishi Dar na Mi Dar kwenye mawasiliano wao wakawahi kufunga kabla yetu akaja Moro kakuta nangoja li paper la DS penzi likaanza tena akiwa sealed kutoka hapo hata sikuwa na ham na wa MU maana alichenguka sometimes anakuja hata kati ya semester ila wanawake wakipenda wa ajabu sana
Anyway kwenye break up to be honest mi ndie nilizingua so she get married and settle while am still fucking around all the best my best you were a truly friend you deserve all you have
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…