Licha ya kuambiwa chuo kuna watoto wakali. Lakini kuna Watu walimaliza chuo bila kupata demu yeyote

Uliposema pisi mbovu umenikumbusha mbali sana maana hata mimi niliwahi kumiliki peugot moja ili kutoa wenge la upwiru. Ila nilipopata uzoefu wa kazi nilianza kulamba zile hotcake tu 😂 ni mapito Mungu anisamehe
Aisee mpaka leo ukikumbuka unawaza ilikuwaje


Mimi ni kama wewe mwanzo kuna toyota Bb ilikaa kwenye line niapita nayo baadae nilikua nakataa sijawahi miliki kile chombo😁
 
kuna dada nasoma nae mpoleee, anawahi darasani, anakaa mbele tu, hakosi vipindi

jana kwenye mahangaiko yangu namuona anaongozana na mubaba pande la mtu

aisee
Sasa kijana kumbe upo bado kwenye mapambano basi ngoja nikupe ushauri wa kung’oa pisi hapo chuoni kwako kwa gharama chache

Kabla hujamtokea mdada yeyote jikague kwanza kama unasikia njaa kama unasikia njaa tu usiende kwanza hio mida mibovu utakula invoice

Nenda wakati umeshiba tu
Inshort
Nenda saa 12 asubuhi
Saa 5
Saa 11
Saa 5 usiku

Nimemaliza
😂
 
sina muda na madem wa chuo aisee
 
Kuchukua mademu wa chuo Ni ulmbukeni, chuo tumefika Na hatukuwa Na time nao, wengi wao walikuwa cha wote, wengine washamba wamekuja kutoka kijijini huko walipofika walikuwa wachafuuu wakaingizwa mjini Na manungayembe wakajifanya washaujua mji waligraduate Na A, namaanisha AIDS.
 
Mkuu wewe ulikuwa mjanja kama mimi
 
Bila ya Shaka ulifanya uwamuzi sahihi, Ni kama Mimi kaka yako, sikuwahi kuwa limbukeni wa pisi
 
Aisee mpaka leo ukikumbuka unawaza ilikuwaje


Mimi ni kama wewe mwanzo kuna toyota Bb ilikaa kwenye line niapita nayo baadae nilikua nakataa sijawahi miliki kile chombo😁
😂😂😂😂😂 wahuni walinisema sana hadi kufikia kunitenga ndipo nikarejea slogan yangu "Hommies over hoes" nikaitupa ile pijo. Ila nilipoanza kusaga valves kinanda kila muhuni alitamani kujua natumia ulimbo gani.
 
maisha yao hayajaharibika kwasababu ya kukukataa wewe

hii ni ngumu sana watu kuelewa
 
Mwaka wa kwamba pisi ya mtaani

MWaka wa pili pisi za chuo mbili

Mwaka wa tatu nikaendelea na zile za chuo pamoja na hizi za mtaani.

Ila kiukweli nime enjoy zaidi na hizi za mtaani haupangiwi wala kupimiwa yeye kujimwaga tu papa lako.
 
Sisi wengine tulikuwa wapenda sifa hatupitwi na kontena jipya.

Kilichoniponza ni kumwagia ndani sasa majukumu ni kama yote watoto wa3 wote ni wa university kutoka kwa mama tofauti.

Vijana someni mkiwa masomoni acheni mchezo na masomo..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…