Nadhani wangesema sababu nyingine ya ufinyu wa Bajeti ama nyingine lakini sio hiyo ya kuchagua upinzani.Mkuu point πππ
Haoa jamaa washamba huo mji kila siku wanajengewa majengo mfano uwanja wa kisasa ,jengo la posta ..Wanataka kila kitu wapewe wao tu hata watu wa lindi, simiyu nao wanatamani hata hizo barabara zao za vumbi.
Mwamba nakukubali sana endelea kuwapopoa hawa wabwia unga wa chuga.π π Ndio maana nakwambia wewe kichaa ,huko mkoa ulipewa hadhi na promo ndio maana upo hapo kuna jengo gani la maaa zaidi ya hotel na ofisi au kuna nyumba ya baba ako ambayo ni gorofa kweny katikati ya mjii?
Hizo gorofa ndio zinafanya kuwe pale hovyo kabisa mshamba mkubwa.
Toka lini Geniva wakalalamikia miundombinu mibovu, sijui barabara, masoko, mara stendi, hii ni Geniva gani tena?π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£UKWELI USIO PINGIKA ARUSHA NI JIJI ILA MIUNDO MBINU BADO SANA NA SIO ARUSHA TU MAJIJI YOTE HAYAJAJITOSHELEZA MIUNDOMBINU KAMA BARABARA MITARO YA MAJI KALAVATI MADARAJA FIRE STATIONS STENDI ZA DALADALA NA BUS OFISI NA MIUNDOMBINU YA MASHULE HOSPITALI. KIUFUPI TZ BADO HATUPO TULIPOTAKIWA KUWEPO WAPO WATU WATALETA USHABIKI KWENYE HILI ILA KWELI BADO UTABAKI PALE PALE UKITAKA KUAMINI INGIA GOOGLE MAP NENDA ARUSHA ALAFU WEKA SATELLITE UONE MJI ULIVYOKAA.
Wapi walikojenga barabara nchi yote hii kutoa Dar, Dodoma wote tupo mavumbini.Miaka ya nyuma ilisemekana ni kutokana na wao kuchagua Upinzani.
Lakini majimbo yote kuanzia 2020 hadi sasa yapo chini ya Chama tawala lakini wameshindwa kujenga barabara wala stendi ya kisasa π
Kaangalie maana ya hilo neno π π nimekufundisha kijana ...Kaa utulie .!Tulia wewe hujui kituππ eti mtaalamu wa lughaπππ
Hawana shukrani wanazani kodi wanalipa wao tu, wajinga hawa.Haoa jamaa washamba huo mji kila siku wanajengewa majengo mfano uwanja wa kisasa ,jengo la posta ..
Sana yaani huduma za jamii zipo chini sana tofauti na linavyoongelewa hao abiria wanapanda vidala nusu kama wanafunzi na Trafiki sehemu yeyote anaweza kuwashusha abiria ili achukue rushwa kwa kigezo cha kuwatafutia gari ingine aisee Chuga ni kiboko..Hili jiji linaongoza kwa ubadhirifu wa fedha
Hiyo ndio geneva ulitaka wapande BRT, au train.Sana yaani huduma za jamii zipo chini sana tofauti na linavyoongelewa hao abiria wanapanda vidala nusu kama wanafunzi na Trafiki sehemu yeyote anaweza kuwashusha abiria ili achukue rushwa kwa kigezo cha kuwatafutia gari ingine aisee Chuga ni kiboko..
Quantum au Hiace kubwa vile viford vyao kama mifugo ukikikuta cha kwa Mromboo kinavyokimbia ni balaa..Hi
Hiyo ndio geneva ulitaka wapande BRT, au train.
Ebu soma tena yaani unaandika "taira" ndio elimu ya kuiba mitihani ,neno taira ukitamka kama mwanaume unakuwa kama mwanamke..π π πWewe ni kiazi hamna kituππ hapo juu ulikuwa umeandika nimefundisha badala ya nimekufundishaππ
Eti mtaalamu wa lughaπππ
πππ Umebadilisha kiazi weweEbu soma tena yaani unaandika "taira" ndio elimu ya kuiba mitihani ,neno taira ukitamka kama mwanaume unakuwa kama mwanamke..π π π
Rudia kusoma nimeandika correct kabisa ... Huwezi kuchambua makosa ila angalia kwako kusoma hujui .
πππ
Mi naona ni mjadala wa kueleza mapungufu mausi ya nini?Kwenu ni wapi, we ni wa kuachwa tu uendelee na upumbavu na wivu wako. Ktk hivyo vitu ulivyovitaja mji wa Arusha unaulinganisha na mji upi hapa nchini. We poyoyo hufahamu nchi hii. Barabara nyembamba ulikuwa na futi kamba kuzipima? Nataka niwajulishe watanzania ambao hawajafika Arusha, Mjini kati yaani ndani ya CBD ya Arusha hakuna barabara ya vumbi naweza kusema hata moja tofauti na miji mingine hapa nchini. We una kale kaugonjwa kachuki, ila ndg yangu anayejenga miundo mbinu ni serikali na nchi yetu serikali ni moja.