Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

Mkuu point ๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
Nadhani wangesema sababu nyingine ya ufinyu wa Bajeti ama nyingine lakini sio hiyo ya kuchagua upinzani.

Lakini kwa hadhi ya Arusha, nahisi wanaonewa kukosa miundombinu ya uhakika pamoja na wao kuwa kitovu cha utalii
 
Wanataka kila kitu wapewe wao tu hata watu wa lindi, simiyu nao wanatamani hata hizo barabara zao za vumbi.
Haoa jamaa washamba huo mji kila siku wanajengewa majengo mfano uwanja wa kisasa ,jengo la posta ..
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…Ndio maana nakwambia wewe kichaa ,huko mkoa ulipewa hadhi na promo ndio maana upo hapo kuna jengo gani la maaa zaidi ya hotel na ofisi au kuna nyumba ya baba ako ambayo ni gorofa kweny katikati ya mjii?

Hizo gorofa ndio zinafanya kuwe pale hovyo kabisa mshamba mkubwa.
Mwamba nakukubali sana endelea kuwapopoa hawa wabwia unga wa chuga.
 
UKWELI USIO PINGIKA ARUSHA NI JIJI ILA MIUNDO MBINU BADO SANA NA SIO ARUSHA TU MAJIJI YOTE HAYAJAJITOSHELEZA MIUNDOMBINU KAMA BARABARA MITARO YA MAJI KALAVATI MADARAJA FIRE STATIONS STENDI ZA DALADALA NA BUS OFISI NA MIUNDOMBINU YA MASHULE HOSPITALI. KIUFUPI TZ BADO HATUPO TULIPOTAKIWA KUWEPO WAPO WATU WATALETA USHABIKI KWENYE HILI ILA KWELI BADO UTABAKI PALE PALE UKITAKA KUAMINI INGIA GOOGLE MAP NENDA ARUSHA ALAFU WEKA SATELLITE UONE MJI ULIVYOKAA.
Toka lini Geniva wakalalamikia miundombinu mibovu, sijui barabara, masoko, mara stendi, hii ni Geniva gani tena?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Miaka ya nyuma ilisemekana ni kutokana na wao kuchagua Upinzani.

Lakini majimbo yote kuanzia 2020 hadi sasa yapo chini ya Chama tawala lakini wameshindwa kujenga barabara wala stendi ya kisasa ๐Ÿ™Œ
Wapi walikojenga barabara nchi yote hii kutoa Dar, Dodoma wote tupo mavumbini.
 
Tulia wewe hujui kitu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ eti mtaalamu wa lugha๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Kaangalie maana ya hilo neno ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…nimekufundisha kijana ...Kaa utulie .!
 
Hili jiji linaongoza kwa ubadhirifu wa fedha
Sana yaani huduma za jamii zipo chini sana tofauti na linavyoongelewa hao abiria wanapanda vidala nusu kama wanafunzi na Trafiki sehemu yeyote anaweza kuwashusha abiria ili achukue rushwa kwa kigezo cha kuwatafutia gari ingine aisee Chuga ni kiboko..
 
Hi
Sana yaani huduma za jamii zipo chini sana tofauti na linavyoongelewa hao abiria wanapanda vidala nusu kama wanafunzi na Trafiki sehemu yeyote anaweza kuwashusha abiria ili achukue rushwa kwa kigezo cha kuwatafutia gari ingine aisee Chuga ni kiboko..
Hiyo ndio geneva ulitaka wapande BRT, au train.
 
Kaangalie maana ya hilo neno ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…nimekufundisha kijana ...Kaa utulie .!
Wewe ni kiazi hamna kitu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hapo juu ulikuwa umeandika nimefundisha badala ya nimekufundisha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Eti mtaalamu wa lugha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wewe ni kiazi hamna kitu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hapo juu ulikuwa umeandika nimefundisha badala ya nimekufundisha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Eti mtaalamu wa lugha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ebu soma tena yaani unaandika "taira" ndio elimu ya kuiba mitihani ,neno taira ukitamka kama mwanaume unakuwa kama mwanamke..๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Rudia kusoma nimeandika correct kabisa ... Huwezi kuchambua makosa ila angalia kwako kusoma hujui .
 
Ebu soma tena yaani unaandika "taira" ndio elimu ya kuiba mitihani ,neno taira ukitamka kama mwanaume unakuwa kama mwanamke..๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Rudia kusoma nimeandika correct kabisa ... Huwezi kuchambua makosa ila angalia kwako kusoma hujui .
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Umebadilisha kiazi wewe
 
Evidence๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Accumen Mo
IMG_20231105_132245.jpg
 
Kwenu ni wapi, we ni wa kuachwa tu uendelee na upumbavu na wivu wako. Ktk hivyo vitu ulivyovitaja mji wa Arusha unaulinganisha na mji upi hapa nchini. We poyoyo hufahamu nchi hii. Barabara nyembamba ulikuwa na futi kamba kuzipima? Nataka niwajulishe watanzania ambao hawajafika Arusha, Mjini kati yaani ndani ya CBD ya Arusha hakuna barabara ya vumbi naweza kusema hata moja tofauti na miji mingine hapa nchini. We una kale kaugonjwa kachuki, ila ndg yangu anayejenga miundo mbinu ni serikali na nchi yetu serikali ni moja.
Mi naona ni mjadala wa kueleza mapungufu mausi ya nini?
 
Back
Top Bottom