Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Angekuwa siyo mtu wa dhulma asingekuwa anafanya teuzi za watu wa hovyoRais Samia ni mtu wa vitendo sana kuliko sifa, ni mpenda haki na siyo mtu wa DHULUMA. Kikubwa anafanya kazi zake vizuri kwa ajili ya wananchi wa Tanzania. Wala hafanyi kwa ajili ya kutaka abakie madarakani mwaka 2025.
Kama hatutamtaka mwaka 2025 naamini atakaa pembeni lakini hawezi kufanya ule UHAYAWANI wa Magufuli wa kuiba chaguzi za vitongoji za 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020. Tuko mikono salama na Rais SSH
Wakati ndiyo utasema tusubiri 2025
Tukutane 2025 maneno mengi ya nini?Alisema yeye na JPM kitu kimoja lakini alipoingia tuu akaanza kufyeka watu wa JPM kuanzia kule Madawa ya kulevya, Kalemani, Polepole, Bashiru, mpaka kina.mbuge. wengi hapo ndio waliposhindwa kumuelewa falsafa yake ni ipi
Sio kazi ya Rais Samia kutafuta cheap politics,huzo tozo haziendi Burundi..Raisi Samia kwa muda mfupi tu amejidhihirisha kuwa ni hodari ila Tozo zinatufyeka.
SSH kamatia hapo hapo achana na kelele za wafa maji.Angekuwa siyo mtu wa dhulma asingekuwa anafanya teuzi za watu wa hovyo
Asingekuwa anawakumbatia wabunge feki 19 wanaolipwa mishahara kwa kodi zetu
Nasema hivi nyie wa mitandaoni ndio mnahangaika na cheap politics kama hamuamini tukutane 2025.1. Wamachinga hawajafukuzwa isipokuwa waliambiwa wasizonge hifadhi za barabara.
2. Hajafukuza Wamasai isipokuwa wamepunguzwa na kuhamishwa waliokaribu au ndani ya hifadhi ya ngorongoro.
3. Kwenye Teuzi hapo sina chakuchangia, kwani ni ishu ya mtazamo wa mtu na mtu. Kwako anaweza kuwa mzuri Kwa mwingine akawa Mbaya.
Kuhusu kufuata sheria Kama ameteua waliopindisha sheria basi amekosea.
4. Wabunge 19 wapo chini ya mhimili wa Bunge na sio serikali.
5. ๐๐ Vyanzo vya mapato alivyobuni ikiwemo Tozo umeona Watanzania wakipiga mayowe. Akibuni vingine zaidi watu watajiua walahi๐
6. Tozo ndio ubunifu aliouona unaweza fanyika Kwa urahisi na Kwa watu wengi yaani kila mtu ni rahisi kuchangia nchi kupitia tozo Kama tuu atatumia Simu, Luku, bank n.k
7. ๐๐๐ Hapo sina chakumtetea.
8. Pia kwenye Katiba mpya sina cha kumtetea.
Ngojeni mumuharibie huyu Mama ili muweke mtu wenu.Sio kazi ya Rais Samia kutafuta cheap politics,huzo tozo haziendi Burundi.
Raia hawezi kuharibiwa,akiharibiwa utakayeumia ni wewe na mimi yeye hata akiacha Urais saizi atapata stahiki zake 80% ya stahiki za sitting president Kwa hiyo hana hasara yeyote๐Ngojeni mumuharibie huyu Mama ili muweke mtu wenu.
Kasome tena Katiba pengine itakuongezea hekima. Uteuzi ni haki yake kadri ya anavyoona mtu atamfaa. Unayemuona wewe hafai siyo lazima na yeye amuone hafai.Angekuwa siyo mtu wa dhulma asingekuwa anafanya teuzi za watu wa hovyo
Asingekuwa anawakumbatia wabunge feki 19 wanaolipwa mishahara kwa kodi zetu