Licha ya Rais kujitahidi kuchapa kazi lakini bado Wananchi hawamuelewi!

Licha ya Rais kujitahidi kuchapa kazi lakini bado Wananchi hawamuelewi!

Rais Samia ni mtu wa vitendo sana kuliko sifa, ni mpenda haki na siyo mtu wa DHULUMA. Kikubwa anafanya kazi zake vizuri kwa ajili ya wananchi wa Tanzania. Wala hafanyi kwa ajili ya kutaka abakie madarakani mwaka 2025.

Kama hatutamtaka mwaka 2025 naamini atakaa pembeni lakini hawezi kufanya ule UHAYAWANI wa Magufuli wa kuiba chaguzi za vitongoji za 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020. Tuko mikono salama na Rais SSH

Wakati ndiyo utasema tusubiri 2025
Angekuwa siyo mtu wa dhulma asingekuwa anafanya teuzi za watu wa hovyo

Asingekuwa anawakumbatia wabunge feki 19 wanaolipwa mishahara kwa kodi zetu
 
Raisi Samia kwa muda mfupi tu amejidhihirisha kuwa ni hodari ila Tozo zinatufyeka.
Sio kazi ya Rais Samia kutafuta cheap politics,huzo tozo haziendi Burundi..

Hapa ndipo napomkubali Rais Samia kamatia hapo hapo,umchukie au umpende she is focused hata akitoka madarakani ataonesha maelfu ya miradi aliyofanya kwa mda mfupi kabisa.
 
1. Wamachinga hawajafukuzwa isipokuwa waliambiwa wasizonge hifadhi za barabara.

2. Hajafukuza Wamasai isipokuwa wamepunguzwa na kuhamishwa waliokaribu au ndani ya hifadhi ya ngorongoro.

3. Kwenye Teuzi hapo sina chakuchangia, kwani ni ishu ya mtazamo wa mtu na mtu. Kwako anaweza kuwa mzuri Kwa mwingine akawa Mbaya.
Kuhusu kufuata sheria Kama ameteua waliopindisha sheria basi amekosea.

4. Wabunge 19 wapo chini ya mhimili wa Bunge na sio serikali.

5. 😂😂 Vyanzo vya mapato alivyobuni ikiwemo Tozo umeona Watanzania wakipiga mayowe. Akibuni vingine zaidi watu watajiua walahi😂

6. Tozo ndio ubunifu aliouona unaweza fanyika Kwa urahisi na Kwa watu wengi yaani kila mtu ni rahisi kuchangia nchi kupitia tozo Kama tuu atatumia Simu, Luku, bank n.k

7. 😀😀😀 Hapo sina chakumtetea.

8. Pia kwenye Katiba mpya sina cha kumtetea.
Nasema hivi nyie wa mitandaoni ndio mnahangaika na cheap politics kama hamuamini tukutane 2025.
 
Ngojeni mumuharibie huyu Mama ili muweke mtu wenu.
Raia hawezi kuharibiwa,akiharibiwa utakayeumia ni wewe na mimi yeye hata akiacha Urais saizi atapata stahiki zake 80% ya stahiki za sitting president Kwa hiyo hana hasara yeyote👇
 

Attachments

  • 20220817_170011.jpg
    20220817_170011.jpg
    92 KB · Views: 2
Angekuwa siyo mtu wa dhulma asingekuwa anafanya teuzi za watu wa hovyo

Asingekuwa anawakumbatia wabunge feki 19 wanaolipwa mishahara kwa kodi zetu
Kasome tena Katiba pengine itakuongezea hekima. Uteuzi ni haki yake kadri ya anavyoona mtu atamfaa. Unayemuona wewe hafai siyo lazima na yeye amuone hafai.

Wabunge Feki 19 wa CDM ni suala Kiko Mahakamani. Kwa nini unataka Rais aingilie hii mihimili miwili? Huo ndiyo UDIKTETA ambao tuliukataa kwa mtangulizi wake
 
Back
Top Bottom