Hajawahi kufanya hayo mambo ya kujipostUsikute ndo yule mdada clip yake inasambaa kule twitter anawananga wanaume "eti mwanamke aliyesoma ni classic anahitaji matunzo makubwa".
Mdada mwenyewe mweusi ana komwe kavaa miwani kama wale wanaochomelea mageti na gesi.
Kama ana tabia nzuri ni swala la mda pia aangalie mavazi anaweza kuwa na heshima ila muonekano wa nje wa mavazi unamuangusha anakuwa kama "Malaya"
Sasa unaposema atoke nyumbani akapange na hajaolewa, si ndo atapewa tu mimba huko? Bado tunaimani kua atatoka nyumbani atakapo olewaMwambie ahame hapo nyumbani kwenu akapange,aanze pia kujichangaya na watu miaka 28 sio mbaya
Inashangaza miaka 28 una elimu una kazi bado unaishi kwenu?kuna muoaji ataona hauko serious
Na Hao waaminifu wakipata hela wanahama kwenye category ya uaminifuAnatafuta waaminifu ni Kweli mwanaume waaminifu wapo ila hawana hela
💯💯💯Wengi wa mabinti wanajiweka expensive mno.....
😂😂😂Kama yeye ambavyo hana hisia nao, na wao hawana hisia na yeye!
Eti elimu nzuri [emoji3][emoji3]
Ana trakooo...Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.
Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.
Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.
Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.
Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Kipi kinavutia kutoka kwa dada Yako mpaka una muona mzuri?Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.
Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.
Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.
Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.
Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
CHAIKipi kinavutia kutoka kwa dada Yako mpaka una muona mzuri?
Wanaume hawaoi elimu wala ujuzi. Wanaoa mwanamke mwenye respect na upendo. Period.Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.
Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.
Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.
Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.
Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Za kuambiwa changanya na zako ni yeye mwenyewe mwibukie pm.Embu nipe number yake mkuu,nko serious kama kweli ni mzuri
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Niunganishe naye kwani na mimi natafuta mwenzi,vigezo na masharti tutaambizana tukikutanaNamuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.
Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.
Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.
Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.
Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Kama amefika 28 atakuwa na matatizo yeye binafsiNamuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.
Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.
Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.
Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.
Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Shauri yako,yaani mtu unakazi bado unakaa kwenu,alokwambia kupanga ndo kutafuta mimba ni nani,Sasa unaposema atoke nyumbani akapange na hajaolewa, si ndo atapewa tu mimba huko? Bado tunaimani kua atatoka nyumbani atakapo olewa
Ushachoka wewe. 30+ ni shangazi pro max kabisaAtulie tu mi Dada yake nipo kwenye 30 na kitu ila huyu mwanaume niliyenae nishamchoka tayari badala ya kutamani kuolewa, natamani niwe single hili pepo la kukaa mwenyewe linaniandama kweli
Jinga kabisa hilo koloKama yeye ambavyo hana hisia nao, na wao hawana hisia na yeye!
Eti elimu nzuri [emoji3][emoji3]
Agiza soda kwa jina languMwache achague sana siku zake za kuwa singo maza hazipo mbali