Ligi ya Morrison na Simba kwenye suala 'Release letter' imefikia patamu

Ligi ya Morrison na Simba kwenye suala 'Release letter' imefikia patamu

Simba wasipo mpa hiyo barua ya kumruhusu watakuwa wameisaidia Yanga na siyo kuwakomoa, hasara itakuwa ya Simba wenyewe na Morisson.
mkataba unaisha agost 4,wanamhitaji watume ofa wakae mezani, hutaki subiri mwezi agosti awe huru umchukue.

Hakuna njia ya mkato, waambie utopolo hakuna njia ya mkato.

Yanga wanamhitaji kwa mechi za kimataifa, ndiyo maana wanahangaika. Wasipomoata Sasa HIVI watasubiri Hadi dirisha dogo ndiyo waweze kumsajili Tena kwa mechi za ndani tu. Sasa Yanga Wana faida gani.
 
Mkatana uheshimiwe bwana. Tatizo utopolo much known ukijumlisha kejeli za zungu poro roporopo sasa waje tu kuomba release letter. Sema yanga hawawez kuja wanapenda vya bure. Ndio maana hata wakongo wao awamu iliyopita hawakushiriki CAF CL kwa maana walishindwa kuvunja mikataba wakasubiria mpaka iishe
Nashangaa uto wanacomment as if ndiyo mara ya kwanza issue hii kutokea wakati juzi tu walipigwa mbinyo na vita.
 
Wakuu KWA MFANO TU
.
Katika funzo la hili sakata la Bernard Morrison na uzoefu wa tukio hili huko nyuma.
.
Kipi kinaweza kutokea?
.
1- Klabu mpya kuwasilisha ofa ya kuununua mkataba wa miezi miwili iliyobaki?
.
2- Simba Sc watabaki na mkataba wa Bernard Morrison mpaka mwisho wake?
.
3- Bernard Morrison anaweza kuununua mkataba wake uliobaki.?
.
CHAMBUA

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Simba wameshaweka wazi , yaani waneshatoa taarifa, Kwamba Kama Kuna timu inahitaji morissoni time ofa wakae mezani. Na wanasema hadi Sasa HIVI hawajapokea ofa yyte. Hakuna maneno mengi, Ni hivyo tu.

Sasa SIJUI hao wanaomtaka, wanamtaka mtu mwenye mkataba bila makubaliano na wamiliki. Ni ajabu Sana !

Ila nasikia huko kwa hao jamaa hamna watu Wenye akili ZAIDI ya wawili.
 
Kwahiyo kaishaitwa kusaini mkataba mpya baada ya awali unaoishia? Mchezaji hajaachwa inakuaje unamtakia heri ktika safari yake mpya ya soka?
Kwani mkataba umeshaisha? Kwani usajili umeshaisha? Wewe unajuaje kama wataamua kuongeza mkataba na BM3?
 
Kwani ile barua waliandika simba ilijielezaje? Simba si wamesema wameachana na Morrison asa kama umeshasema mmefikia makubaliano ya kuachana kwanini wasimpe talaka yake?View attachment 2267389
Hapo wameandika wamempa mapumziko umepaona?

Morrisona amepewa kibali cha kupumzika ye ameanza kwenda kufanya ushangingi kwa majirani zetu ili tukurupuke tufanye makosa kama yenu
 
Jamaa mkataba wake si bado haujaisha,kwa akili zake Morrisson ukakaa nae chini ukisitisha mkataba wake huko mbeleni anaweza kukushinda na ukamlipa yeye,Mapungufu ya kisheria waliyoyafanyaga Yanga yaliwagharimu kama ivyo wakajikuta wanapeleka kesi Cas,
Anayeomba kupewa barua ni yeye kama kaomba kwa maandishi na kwa kufata taratibu wamwache tu.
 
Umeonae? Alafu eti wanajiita klabu inayoendeshwa kisasa wakati inaendekeza mambo ya hovyo Kama haya, uswahili mwingi. Hakika bado tuna safari ndefu Sana.
Wewe zuzu kweli. Kwaiyo Simba wao Wana wachezaji wa bure. Unakuja unachukua free tu. Au vipi. Morrison ana mkataba Hadi Agost 4,wanaomtaka watume ofa Simba , wakae mezani unauziwa mtu.Kama hutaki subiri mkataba wake uishe umchukue free. Rahisi tu.

Yaani utopolo mmeona KABISA Simba anagawa wachezaji wa bure, Kwamba unakuja unajibebea tu, mikataba Haina maana

Unawaza kwa kumtumia Makal*o/ Masaburi.

Ina maana mazuzu wote wa utopoloni hamjui km jamaa ana mkataba na Simba, na km unamtaka LAZIMA mkae mezani uvunje mkataba ndiyo aweze kuwa huru.
 
Wewe zuzu kweli. Kwaiyo Simba wao Wana wachezaji wa bure. Unakuja unachukua free tu. Au vipi. Morrison ana mkataba Hadi Agost 4,wanaomtaka watume ofa Simba , wakae mezani unauziwa mtu.Kama hutaki subiri mkataba wake uishe umchukue free. Rahisi tu.

Yaani utopolo mmeona KABISA Simba anagawa wachezaji wa bure, Kwamba unakuja unajibebea tu, mikataba Haina maana

Unawaza kwa kumtumia Makal*o/ Masaburi.

Ina maana mazuzu wote wa utopoloni hamjui km jamaa ana mkataba na Simba, na km unamtaka LAZIMA mkae mezani uvunje mkataba ndiyo aweze kuwa huru.
Kwa matusi nyie hamuwezekani, Ni mabingwa kwelikweli.
 
Shirikisho la soka Afrika (CAF) linatoa nafasi ya kusajili wachezaji wa kigeni hata kama dirisha la usajili limefungwa.

Kwa mujibu wa kanuni za (CAF) za usajili, baada ya dirisha la usajili kufungwa (CAF) inatoa siku (12) kukamilisha usajili, lakini unapaswa kulipa faini ya USD $ 5000/=.

$ 5,000. ni sawa na Tsh 11 Milioni.
Basi Yanga na BM3 wasubiri wasiwe na presha ya kudai release letter
 
Mkuu ninachokiona ni kuwa Yanga wana kinyongo na Morrison Kwa jinsi alivyowachezesha mayenu na hatimaye akawabwaga na wao Yanga kulazimika kumlipa mamilioni hivyo kinachoendelea ni mkakati wao kulipa kisasi kuhakikisha kuwa Morrison hachezi mpira msimu unaokuja. Morrison ujanja wake wote ameshindwa kung'amua mchezo huu mchafu. Yanga wanajua Simba hawawezi kumpa hiyo barua wakijua kuwa anaenda Yanga. Hata kutangaza mapema kuwa Morrison anakwenda Yanga na kisha kumuachia yeye msala wa kuidai release letter hiyo ni uthibitisho kuwa wanamchezea mchezo mchafu.
Kama ukisemacho kinaukweli, basi itakuwa vizuri sana. Binafsi sifurahishwi na ujio wa Morrison Yanga kama nilivyochukizwa na Manara kuja Yanga
 
Mkuu release letter itoke kienyeji tu? Si kuna utaratibu? Nafikiri hiki ndicho simba wachoomba kifuatwe. Sasa kwa nn Morrison mwenyewe ama walio nyuma yake hawataki kufuata huo utaratibu, hili ndilo swali la msingi kila mmoja wetu kujiuliza.
Vipi ingetokea kwamba simba ndio hawamlipi Morrison stahiki zake, je unhemshauri Morrison kuachana nao tu?
Simba wangempa tu hiyo Reliase Latter.
Wangemsikiliza kama bado wanamtaka basi wa wangesema tu ili awe na amani.
Kama hawataki wamwachie tu kwani akija Yanga Simba itakosa nini?

Ngoja niombe kazi ya kuwa Mshauri wa Simba Sports.
 
Kwanini morrison asivunje mkataba kama anaona anacheleweshwa...

Issue za mikataba wengi hamna elimu nazo.. Endapo simba akitoa reliase letter inamaanisha wao ndio wamevunja mkataba... Inabidi wamlipe..

Morrison kama anaona anacheleweshwa avunje mkataba au timu inayomtaka watume dau kwa simba
Simba wangempa tu hiyo Reliase Latter.
Wangemsikiliza kama bado wanamtaka basi wa wangesema tu ili awe na amani.
Kama hawataki wamwachie tu kwani akija Yanga Simba itakosa nini?

Ngoja niombe kazi ya kuwa Mshauri wa Simba Sports.
 
Inamaanisha Morrison hataweza kucheza preliminary round kwa kuwa jina lake litachelewa CAF, na kwa kuwa Yanga hatoboi hiyo hatua ndio itakuwa Morrison hatagusa CAF kwa next season.
Pole sana! Haya unayo yawazia kamwe hayawezi kutokea msimu huu. Na msipokuwa makini, yatatokea upande wenu wa Makolo fc.
 
Back
Top Bottom