Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Shirikisho la soka Afrika (CAF) linatoa nafasi ya kusajili wachezaji wa kigeni hata kama dirisha la usajili limefungwa.
Kwa mujibu wa kanuni za (CAF) za usajili, baada ya dirisha la usajili kufungwa (CAF) inatoa siku (12) kukamilisha usajili, lakini unapaswa kulipa faini ya USD $ 5000/=.
$ 5,000. ni sawa na Tsh 11 Milioni.
Kwa mujibu wa kanuni za (CAF) za usajili, baada ya dirisha la usajili kufungwa (CAF) inatoa siku (12) kukamilisha usajili, lakini unapaswa kulipa faini ya USD $ 5000/=.
$ 5,000. ni sawa na Tsh 11 Milioni.