Ligi ya Morrison na Simba kwenye suala 'Release letter' imefikia patamu

Ligi ya Morrison na Simba kwenye suala 'Release letter' imefikia patamu

Utaratibu gani huo kama sio umbumbumbu na upumbavu. Umetangaza hadharani kuwa umeachana na mtu fulani kwanini usimpe barua ya kumwachia sasa
We jamaa ni kilaza sijapata kuona alafu na wewe unajiona una akili balaaa kumbe kiazi mmoja tu.

Wapi Simba walitangaza kuwa wameachana nae?
Simba walimpa rikizo kwa kuheshimu mkataba Hadi utamatike ndipo watangaze kuachana nae ,unaweza nionyesha bandiko la Simba la kutangaza kuachana nae Kama ilivyo kwa bwalya na Wawa?

Punguza mihemuko kwenye Mambo ya kisheria ,mikataba Ina taratibu zake na Simba kwa hapa walicheza Kama Pele ,ndio uzuri wa kuwa na viongozi wasomi wanaojua kuangalia ya baadae.

Morrison aliwaburuza viongozi wa yanga sabab wengi ni vilaza Ila kwa simba kakutana na wajanja zaidi yake na lazima awe mpole tu mkataba uishe ndipo aje yanga Simba hawana muda nae maana walimtema kwenye kumwongezea mkataba zaidi hapa wanakomesha uhuni na uswahili swahili
 
Kwani ile barua waliandika simba ilijielezaje? Simba si wamesema wameachana na Morrison asa kama umeshasema mmefikia makubaliano ya kuachana kwanini wasimpe talaka yake?View attachment 2267389
Una macho kweli au ndo umburura wenyewe ,wapi wamesema wameachana na Morrison ? Hiyo barua imekaa kiakiri Sana kiasi kwamba kilaza km wewe huwez elewa kitu hapo
 
Wakuu KWA MFANO TU
.
Katika funzo la hili sakata la Bernard Morrison na uzoefu wa tukio hili huko nyuma.
.
Kipi kinaweza kutokea?
.
1- Klabu mpya kuwasilisha ofa ya kuununua mkataba wa miezi miwili iliyobaki?
.
2- Simba Sc watabaki na mkataba wa Bernard Morrison mpaka mwisho wake?
.
3- Bernard Morrison anaweza kuununua mkataba wake uliobaki.?
.
CHAMBUA

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa maslahi mapama ya soka lake inabidi anunue tu mkataba wake au avunje mkataba, aache kuishi kiujanja ujanja. La sivyo atajikuta muda wa kutuma majina ya usajili CAF unapita.
 
nyie Makolo wapumbavu sana tena wapuuzi wa mwisho, hata hamjui sheria za CAF zinasemaje, kwa taarifa yenu YANGA na Morrison wanawacheka tu. Kasomeni sheria za CAF wajinga nyie, "ukimsajiri mchezaj ambaye mkataba wake umebaki mwezi mmoja kuisha na mchezaj hatak tena kuendelea na hiyo club, Team inayotaka kumsajiri itatozwa Faini ya Million 11 na CAF na mchezaj huyo atakubaliwa usajiri wake mpya." Na makolo mlivyo wapumbavu zaid mkatoa hadi Public Notice 😂 kuwa mmemalizana na Morrison na mnamtakia maisha mema... Sasa kwa akili zenu fupi mnadhan Yanga itashindwa kulipa faini ya million 11..?😅😂 Mnajua GSM, Eng Hersi, Suma..?
 
Kwahiyo kaishaitwa kusaini mkataba mpya baada ya awali unaoishia? Mchezaji hajaachwa inakuaje unamtakia heri ktika safari yake mpya ya soka?
Ila we jamaa Mambo ya mpira yamekupiga chenga snaa ,pia hata maana ya Sheria huelew kabisa.
Ni hivi Simba walimpa mapumziko na kumtakia safar njema baada ya mapumziko aliyopewa ,means bado atakua mapumzikoni huku akiwa ndani ya mkataba wa simba, maana yake ni nini ,km Kuna timu itamhitaji ndani ya muda ambao yupo ndani ya mkataba watalazimika kuvunja mkataba wake ,na Kama hiyo timu itasubiri mkataba wake uishe napo ni jambo jema maana watamchukua akiwa huru kabisa.

Sasa kipi huelewi we kilaza ? Mambo ya biashara ya mpira km hujui kaa kimya endelea kushangilia tu mpira .
 
Ila tu kwavile ni ujinga tu wa viongozi wa Yanga kama ni kweli wanataka kumrejesha Morrison. Ila wangekuwa viongozi wa Yanga wako smart basi ilikuwa ni fursa nzuri sana ya Morrison kulipwa ujira wake kwa vitendo alichowanyia Yanga. Ila imekuwa viongozi wa Yanga kazi yao kucheza ngoma ya Morrison. Akili zingine hizi za viongozi zinashindwa hata watu walioishia darasa la 7B. Viongozi wa Simba wanaakili kubwa sana kwenye hili anayeumia ni Morrison ila ujinga wa Yanga inaweza kukuta nawao inawaumiza
Hapa Sasa ndio umeongea point ya msingi Sana ,huyu alitakiwa wamkatae Simba na yanga maana hizi timu anazitumia atakavyo ,nikisoma comments za Wana yanga humu Hadi naishiwa pozi yaan washasahau kila kitu saiz Morrison anapambwa balaa ,Sasa naelewa kwann ni rahisi Sana kumuongoza mtanzania kwenye nyanja yoyote ile
 
nyie Makolo wapumbavu sana tena wapuuzi wa mwisho, hata hamjui sheria za CAF zinasemaje, kwa taarifa yenu YANGA na Morrison wanawacheka tu. Kasomeni sheria za CAF wajinga nyie, "ukimsajiri mchezaj ambaye mkataba wake umebaki mwezi mmoja kuisha na mchezaj hatak tena kuendelea na hiyo club, Team inayotaka kumsajiri itatozwa Faini ya Million 11 na CAF na mchezaj huyo atakubaliwa usajiri wake mpya." Na makolo mlivyo wapumbavu zaid mkatoa hadi Public Notice [emoji23] kuwa mmemalizana na Morrison na mnamtakia maisha mema... Sasa kwa akili zenu fupi mnadhan Yanga itashindwa kulipa faini ya million 11..?[emoji28][emoji23] Mnajua GSM, Eng Hersi, Suma..?
Kwamba sikuhizi mikataba inavunjwa kwa public notice? Ficha ujinga wako utopolo.
 
Mm siwajali Utopolo. Nachojali ni maslahi ya Simba. KAMA HATUMTAKI, HATUMTUMII TUNAMSHIKILIA WA NN? KWA FAIDA GANI?
Ndio shida ya kukurupuka km huku ,Simba sio mafala kukomalia Sheria ifuatwe hawataki Kona Kona ili baadae yaje yawapate km watani zao.
Jamaa mwenyew mhuni mhuni haeleweki kwa usalma zaidi ni heri kanuni izingatiwe waachane kikanuni km walivyokutana kikanuni .
Muda mwingine huruma huponza ,baadae yakigeuka wote tutaanza kuwalaumu viongozi.
Ogopa Sana kitu kinachoitwa mkataba
 
Yani hata wasipotoa hiyo release letter ikifika tar 15 atakuwa huru na tupo tayar kulipa m 11 ziende caf kuliko m 70 kuwapa makolo
Kupitia comment km hii ndipo unapata jibu sahihi Sasa kuwa wabongo wengi ni vilaza Sana pia wepesi wa kusahau na ndio maana kumtawala mbogo ni kazi rahisi Sana ,yeye ni fuata upepo tu wakisema huku nae anaunga tu wakisema vua suruali tukutie madole anavua tu bila hata kuhoji kuwa mbona hili haliko sawa?

Kipindi Morrison anawapelekea Moto cas nikikumbuka maneno mliokua mnalopoka napata mashaka snaa na mashabik wa yanga kuwa ni watu wa aina gani.
 
Kwahiyo kaishaitwa kusaini mkataba mpya baada ya awali unaoishia? Mchezaji hajaachwa inakuaje unamtakia heri ktika safari yake mpya ya soka?
Kumbuka kwamba Simba na Yanga siku zote ni kama huwa wanategeana tu, mmoja ateleze, then afumuliwe na mwenzake, hasa katika haya mambo ya mikataba ya wachezaji na kuuziana wachezaji. Hii imetokea mara nyingi. Bahati nzuri, mfano wa hivi karibuni zaidi unaoonyesha hilo unamhusisha Morrison huyo huyo. Kumbuka lile sakata namna ambavyo Simba na Yanga 'walivyoshikana mashati' hadi FIFA huko.
Simba wakitoa release letter kwa Morrison saa hizi, wanaweza kuja kugeuziwa kibao vizuri tu na Yanga tena kwa kushirikiana na huyo huyo Morrison kuanza kudai benefits za kuvunjiwa mkataba kwa kuitwist na kuifanya ionekane kuwa Simba ndo walivunja mkataba.
Kama ni mzoefu wa kuingia mikataba ya kikazi, utakua unaelewa vizuri kuwa unapopata deal mpya wakati bado una mkataba na mwajiri wako wa sasa nini kinapaswa kufanyika, kwa kadri mkataba wako unavyosema. The same pia, kama mwajiri wako yeye ndo akikuchoka na kutaka kuvunja mkataba wake na wewe, mkataba unakua umeeleza wazi nini kinachotakiwa kufanyika kwa pande zote mbili.
Sasa, Simba haiwezi kuingia mtego wa kutoa release letter kwa Morrison, ili wawe kwenye risk ya kugeuziwa kibao..!!
Labda ifanyike "kishkaji" au 'kihuni'. Sasa Simba haiwezi kufanya huo ushikaji kwa Yanga ambao walishatibuana mara kadhaa, tena mara ya mwisho kutibuana kuhusiana na mambo ya mikataba ilikua juu ya huyo huyo Morrison. Ni kichaa peke yake ndo ataingia kwenye huo mtego.
Kama ishu ni 'ushikaji' au "urafiki" unadhani ni kwa nini hao Yanga ambao ndo wanamtaka huyo Morrison wasiende kwa Simba na kuwaomba kishkaji kuwa wam release? Usitake kuforce ushikaji sehemu ambayo hakuna huo ushikaji, ukiteleza tu unafumuliwa.
 
Simba ni timu yangu ila naomba kwenye hili niwaite WAPUMBAVU.
Mmeshashindwana na mchezaji muacheni aondoke zake mivutano ya Nini?
uko simba yes ina una ujinga wa kitopolo.

dogo bado mkataba haujaisha ukiisha atapewa tena na kuagwa juu.
 
Simba ni timu yangu ila naomba kwenye hili niwaite WAPUMBAVU.
Mmeshashindwana na mchezaji muacheni aondoke zake mivutano ya Nini?
wameshindwana?kwa vipi,wakati ni mchezaji wao halali na mkataba upo,na mshahara wanamlipa.wabongo mnapenda sana shotikati,fuateni sheria
 
Pale Simba waliobaki kwenye uongozi wote wamekuja na mbio za mwenge Kwa mujibu wa Ismail Aden Lage Sasa uo umafia mtautoa wapi?
Mafia alikuwa Zakary Hanspope, hao wengine waliobakia Ni mapoyoyo tu wakiongozwa na poyoyo namba moja Barabraa.
 
Back
Top Bottom