sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,612
- 2,156
Alikua analipwa mbususu yakoAlivyokua akitumia jasho na damu alikua analipwa mapumbuh au hela ambazo nazo zinapatikana kwa jasho na damu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua analipwa mbususu yakoAlivyokua akitumia jasho na damu alikua analipwa mapumbuh au hela ambazo nazo zinapatikana kwa jasho na damu?
Kushney,caf wamesogeza dirisha la usajili hadi agosti 15 na morrison na makolo mkataba unaisha agost 14,so makolo watulie tu roho mbaya yao ishapata ufumbuziAcha wakomoane
Unabishana caf wenyewe!Usajili wa caf mwisho ni 30 june. Kama ikipita hiyo tarehe Morrison hajapewa release letter yake ina maana atakosa usajilo wa xaf kwenye mechi za awali za ligi ya mabingwa hatocheza
hahahahahaKushney,caf wamesogeza dirisha la usajili hadi agosti 15 na morrison na makolo mkataba unaisha agost 14,so makolo watulie tu roho mbaya yao ishapata ufumbuzi
Wewe yanga kesi yako na morrison umesahau huyo fala alikuacha kwenye mataa au?nyie Makolo wapumbavu sana tena wapuuzi wa mwisho, hata hamjui sheria za CAF zinasemaje, kwa taarifa yenu YANGA na Morrison wanawacheka tu. Kasomeni sheria za CAF wajinga nyie, "ukimsajiri mchezaj ambaye mkataba wake umebaki mwezi mmoja kuisha na mchezaj hatak tena kuendelea na hiyo club, Team inayotaka kumsajiri itatozwa Faini ya Million 11 na CAF na mchezaj huyo atakubaliwa usajiri wake mpya." Na makolo mlivyo wapumbavu zaid mkatoa hadi Public Notice 😂 kuwa mmemalizana na Morrison na mnamtakia maisha mema... Sasa kwa akili zenu fupi mnadhan Yanga itashindwa kulipa faini ya million 11..?😅😂 Mnajua GSM, Eng Hersi, Suma..?
Ikiuma chomoa mtoto mzuri.Alikua analipwa mbususu yako
Kweli ni jinga kama avatar yakoSimba ni timu yangu ila naomba kwenye hili niwaite WAPUMBAVU.
Mmeshashindwana na mchezaji muacheni aondoke zake mivutano ya Nini?
Utopolo mbona mnateseka..Mkataba ukiisha mtamsajili..MM KAMA SHABIKI SIHAFIKI KUKOMOANA. KAMA HANA MANUFAA UNAFANYA HIVYO ILI NINI? UKIMWACHIA SASA NA UKAMWACHIA WAKATI MKATABA UTAKAPOISHA TOFAUTI NI NN KATIKA CLUB?
Aawapii anaenda ku-warm up the bench! Uhuni apeleke Takoradee!Wampe hiyo Release Letter yake aondoke nayo, ili huu ujinga wa kuimba Morisson kila siku uishe.
Moira wa miguu unaendeshwa kwa sheria na kanuni, Morson alijifanya anajua ila alisahau Simba ni university of footballNikamshtaki nani? Kwani kipi nilichokuwa na maslahi nacho mpaka nipeleke mashtaka?
Hakuna adui wa kudumu kwenye sokaKupitia comment km hii ndipo unapata jibu sahihi Sasa kuwa wabongo wengi ni vilaza Sana pia wepesi wa kusahau na ndio maana kumtawala mbogo ni kazi rahisi Sana ,yeye ni fuata upepo tu wakisema huku nae anaunga tu wakisema vua suruali tukutie madole anavua tu bila hata kuhoji kuwa mbona hili haliko sawa?
Kipindi Morrison anawapelekea Moto cas nikikumbuka maneno mliokua mnalopoka napata mashaka snaa na mashabik wa yanga kuwa ni watu wa aina gani.
Haya CAF Wamesogeza siku mpaka 15 august..Sasa uchaguzi ni wenu mbaki nae mpaka tar 14 au mumwache!Mpi
Moira wa miguu unaendeshwa kwa sheria na kanuni, Morson alijifanya anajua ila alisahau Simba ni university of football
Mpeni cheti chake haraka sana baada ya kumaliza chuo hapo university de ukoloniMpi
Moira wa miguu unaendeshwa kwa sheria na kanuni, Morson alijifanya anajua ila alisahau Simba ni university of football
sasa wew kwa akili zako unataka kuleta uadui hadi ktk michezo, wanasiasa tu hawanuniani sembuse ktk mpira...Wewe yanga kesi yako na morrison umesahau huyo fala alikuacha kwenye mataa au?
Sahv unacomment unajipa na urafiki kabisa eti "morrison na yanga wanatucheka" we jamaaa acha kua mbovu wa fikra
Mnafikiri Simba ni Azam hakuna vya bure lipeni au subirini 30 AugustMpeni cheti chake haraka sana baada ya kumaliza chuo hapo universitydeukoloni
Nimeamini yanga wenye akili ni wawiliHaya CAF Wamesogeza siku mpaka 15 august..Sasa uchaguzi ni wenu mbaki nae mpaka tar 14 au mumwache!Nimea
Uadui mliuleta nyie ambao mliona mchezaji ameenda kihalali na mkaenda CASsasa wew kwa akili zako unataka kuleta uadui hadi ktk michezo, wanasiasa tu hawanuniani sembuse ktk mpira...
Wabongo tatzo lenu ni ujinga umewajaa hamjui sheria na mnapenda mabifu...
Someni sheria za CAF mjitoe ujinga
Unataka Releasing letter na wakati unajua una mkataba ambao haujaisha.Mnakuja kutupigia kelele za kijinga humu.
Inaeleza Bernard Morrison anaomba release letter kwa Simba, lakini Simba hawana presha wanataka mpaka mkataba wake utamatike kisha wamkabidhi barua...
Simba ni timu kubwaUadui mliuleta nyie ambao mliona mchezaji ameenda kihalali na mkaenda CAS
Kama mkataba unaisha trh 14 subirini wakuu tarh 15 mchezaji wenu mnambeba mapeeema