Ligi ya Morrison na Simba kwenye suala 'Release letter' imefikia patamu

Ligi ya Morrison na Simba kwenye suala 'Release letter' imefikia patamu

Acha uongo ndugu, Usajili unaanza tarehe 1 August unaisha tarehe 15, ili hali Mkataba wa Morrison unaisha tarehe 14
Kama hivyo ndivyo, yeye kwanini anakuwa na papara na hiyo release letter? si asubiri mkataba wake uishe aondoke akasajiliwe na jina lake liende CAF?
 
Njaa mbaya sana ulichokiandika hakifanani na Akili uliyonayo.Viposho vya Barbara vimechetua Akili yako.Mtake msitake Morrison atachezea Yanga na atawafunga goli zuri na litawakera sana mpaka mkome kudadadeki zenu.
hakuna anayekataa Morison kucheza Yanga,angekuwa wa muhimu simba walikuwa na chance kubwa kuongezewa mkataba,mchezaji anaondokaje wakati mkataba haujaisha na hata hao Yanga hawataki kuja kuweka offer?mbona unakuwa popoma hivo ,hapo ni sheria inafuatwa hamna figisu ,release letter itatolewa akimaliza mkataba,Simba hawajakosea nye mburukenge ndo mnataka sheria ivunjwe.
 
Simba watoe release later wasitoe mchezaji anaondoka Bure na anakwenda kucheza NBC premier league na CAF champion league.
 
Kwa ulichoandika hapa hujioni Kama wewe ndio mjinga na akili fupi? Unawatazama wenzako namna hiyo wakati unadhihirisha ujinga wako kwenye maandishi yako.
Opondo na wewe tulia, wanaume tukiongea kaa kimya, hivi umeacha kuvaa skin jeans za dada zako..?
 
Yanga msimu huu klabu bingwa anaenda hadi fainali 2022/2023

Hakunaga timu iliyowai kufika fainali caf CL kwa beki mwenye mwili mdogoo kama wa kibwana shomari wa yanga au zimbwe wa simba.

Nusu fainali tu ili ufike lazima uwe na beki makinii sana na mwilii nyumbaa
 
Katika hili niwaombe msitangulize hisia na muache sheria ifuate mkondo wake kwa manufaa ya club na wadhamini wa club, akili za Morisson wote mnazijua swala la kumruhusu akasajiliwe na club nyingine ikiwa mkataba wake haujaisha linaweza kuwageukia Simba Sc hapo baadae.

Vipi akija kugeuka na kusema Simba Sc ndo imevunja mkataba hivyo anaomba fidia? Au kwasababu nyinyi hamuhusiki na maswala ya kifedha pale Simba ndomaana mnaongea bila kuzingatia cautions zozote?

Simba Sc haina shida nae ila ni lazima sheria ifuatwe wakati wa kusajili na kuachana na mchezaji.
MAMBWIGA wa kihistoria hawawezi kukuelewa.
 
Hakunaga timu iliyowai kufika fainali caf CL kwa beki mwenye mwili mdogoo kama wa kibwana shomari wa yanga au zimbwe wa simba.

Nusu fainali tu ili ufike lazima uwe na beki makinii sana na mwilii nyumbaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kutojichoresha kwako hapa kuwa ni mweupe ktk masuala ya soka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni shabiki tu, hayo mambo ya kuwa mweupe sijui elimu ya soka wala hayana faida kwangu maana mimi sio referee wala rise man
 
Simba ni timu yangu ila naomba kwenye hili niwaite WAPUMBAVU.

Mmeshashindwana na mchezaji muacheni aondoke zake mivutano ya Nini?
Sio wapumbavu ni mbumbumbu mwenyekiti rage alisema.
 

Inaelezwa kuwa Bernard Morrison anaomba release letter kwa Simba, lakini Simba hawana presha wanataka mpaka mkataba wake utamatike kisha wamkabidhi barua.

Inasemekana kuna muda aliwaambia kuna klabu ya nje inamtaka, Simba wakamwambia watume offer yao watapokea ofa na watampa release letter.

Taarifa za kuaminika ni kuwa anataka kujiunga na Yanga, Simba wanafahamu hilo kwa hiyo hawana tatizo zaidi ya kusubiri mwisho wa mkataba.

Naona watu wanaenda kisomi zaidi.
Instagram hakuna ofisi ya Simba, afate taratibu
 
Lazima ifuatwe utaratibu hii sio bar umalize bia uhamie bar ingine hii ni organization yenye mikakati na taratibu zake huwezi amka nakusema sitaki hiki halafu unaondoka tu bila sababu za msingi halafu watu wasichukue mamuzi na taratibu zao lazima uulizwe dah ,kwanini imekuwaje ndio ufanyiwe utaratibu.
Kama mkataba hujaisha malizia uendee.
 
Simba ni timu yangu ila naomba kwenye hili niwaite WAPUMBAVU.

Mmeshashindwana na mchezaji muacheni aondoke zake mivutano ya Nini?
Wewe ndo mpumbavu ngoja nkutoe ujinga ww mwana simba "jina" , Morrison alitakiwa na Yanga,mkataba wake na simba haukuwa umeisha, hivyo kama SIMBA wangekurupuka kutoa release letter yawezekana yangetengenezwa mazingira ya inaonekana imevunja mkataba na Morrison na hivyo ingetakiwa imlipe Morrison..SSC siyo wapuuzi kama wale wazee wa CAS.
 
Back
Top Bottom