Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
Nimemkumbuka Saddam Hussein apumzike kwa amani popote alipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Njaa ipi hiyo ?Nyingi tu
Mojawapo ni njaa
Huijui vizuri cyberwar fair ambayo hao jamaa Wana kundi Hatari ambalo huchua mateka/ Ramson na kudai fidia kubwa ya pesa Kwa wadukuzi/Hackers wake ambao ni vijana wa serikaliHao wakorea walishawahi kupigana na nani hv karibuni na wakashinda vita?
Kutengeneza masilaha ya kivita harafu huyatumii ni matumizi mabaya ya akili.
Chonma-214Wakurya kwa kupenda ukubwa tu siwawezi.
Tuje kwenye hoja.
Nitajie Kifaru cha kivita ambacho ni main anachokitegemea North Korea
Wakurya kwa kupenda ukubwa tu siwawezi.
Tuje kwenye hoja.
Nitajie Kifaru cha kivita ambacho ni main anachokitegemea North Korea
Chonma-215Wakurya kwa kupenda ukubwa tu siwawezi.
Tuje kwenye hoja.
Nitajie Kifaru cha kivita ambacho ni main anachokitegemea North Korea
Dadadekiiiii, waambie wasichukulie poa watu wako njemaa. mwambie alete swali lengine.
Hii ni june ya mwaka huu, raia wanalia ubao1. Njaa ipi hiyo ?
2. taja(ongeza) sababu nyengine?
Umeachana na Main Battle Tanks?Hii ni june ya mwaka huu, raia wanalia ubao
View attachment 2752679
Vita ya njaa hujaweza kuidhibiti ndio ije vita ya jeshi?
Twende kwenye bajeti ya jeshi
Nioneshe North Korea kwenye list namimi nikuoneshe matiti ya nyoka yalipo
View attachment 2752683
Bajeti za ulinzi ni makisio dogo sio uhalisia halafu acha kuleta magazeti ya udaku ambayo yamepigwa ban NK habari zisizo na uthibitisho wowote zaidi ya umbeaHii ni june ya mwaka huu, raia wanalia ubao
View attachment 2752679
Vita ya njaa hujaweza kuidhibiti ndio ije vita ya jeshi?
Twende kwenye bajeti ya jeshi
Nioneshe North Korea kwenye list namimi nikuoneshe matiti ya nyoka yalipo
View attachment 2752683
Hii ni generation ya pili na ya kwanza yani ni kifaru cha kizee kama T-62
Kwani makisio hayatumiki kwenye data?Bajeti za ulinzi ni makisio dogo sio uhalisia halafu acha kuleta magazeti ya udaku ambayo yamepigwa ban NK habari zisizo na uthibitisho wowote zaidi ya umbea
Main battle nimejibu post mbili zilizopita nasubiri respond yakoUmeachana na Main Battle Tanks?
Halafu mtu mzima na akili zako unaleta taarifa za BBC!!?
Bajeti za ulinzi hazikai uchi dogo acha kuokoteza propaganda za vijarida vya umbeaKwani makisio hayatumiki kwenye data?
Ingekuwa ni hivyo basi watu hata mashuleni tusingekuwa tunafeli hesabu za approximation kama ishu ya kukadiria ni simple