rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Sofa kubwa ya wakorea hawaogopi kufa we watandike bado watakuja tofauti na wamarekani wanajeshi wao walianza kufa wananchi wataanza kuhoji hiyo Vita wanapigana kwa maslahi ya Nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya kidikteta raia hawewezi kuhoji hata wenzao wakichinjwa kama kuku.Sofa kubwa ya wakorea hawaogopi kufa we watandike bado watakuja tofauti na wamarekani wanajeshi wao walianza kufa wananchi wataanza kuhoji hiyo Vita wanapigana kwa maslahi ya Nani?
Umewahi kusema chochote kwa Mama Ngina?Nchi ya kidikteta raia hawewezi kuhoji hata wenzao wakichinjwa kama kuku.
Korea Kaskazini hata wakijua unataka kuhamia West wanakupiga kitanzi.
UnachanganyikiwaUmewahi kusema chochote kwa Mama Ngina?
Kwani we hii huja google?
Kwahiyo tayari sasa umeacha kujibu swali nililokuuliza umerukia issue nyingine. Hiyo ni dalili ya kukosa uelewa na wogaKwani we hii huja google?
Huko ulipo google hii statistic sidhani kama uli scroll hadi mwisho kusoma hapa
View attachment 2752625
Unakiuka sheria ya usalama.Pale Kikombo Dodoma Tukimaliza Ujenzi
Hayo Yote Yatakuwa Pale Na Itakuwa Hatari Sana Sana
Swali gani?Kwahiyo tayari sasa umeacha kujibu swali nililokuuliza umerukia issue nyingine. Hiyo ni dalili ya kukosa uelewa na woga
Hawa migambo nao pia wapo kwenye orodha ya vitu vinavyo mtisha USA?Ubaya ubaya tu. Hii ndiyo NK
View attachment 2752305
View attachment 2752306
View attachment 2752307
Urusi inatumia dollar bilioni 10 kwa mwezi wakati Ukraine inatumia dollar bilioni 4.Harafu kutumia kigezo Cha GDP kwenye maswala ya kijeshi ni kutudanganya Urusi ana GDP ngapi Leo anapigana na mataifa zaidi ya 30
Sasa sijakuelewa. Neno lako la migambo limetoka wapi? Unajua maana ya parade?Hawa migambo nao pia wapo kwenye orodha ya vitu vinavyo mtisha USA?
So inawezekana na sisi hapa tulimtisha USA bila kujijua
View attachment 2752637
Comment yako inauhusiano gani na hii topic? Au ni dalili za kuwehuka?Urusi inatumia dollar bilioni 10 kwa mwezi wakati Ukraine inatumia dollar bilioni 4.