Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

Tumeona za muundo huo kule Ukraine/Urusi lakini vita bado inaendelea mpaka leo.
Usitishike na hayo ma toy
 
Wakurya kwa kupenda ukubwa tu siwawezi.

Tuje kwenye hoja.

Nitajie Kifaru cha kivita ambacho ni main anachokitegemea North Korea
Tatizo hufuatilia ninachoandika upo hapa kubishana tu. Unatakiwa ujifunze mdogo wangu

Ngoja tuanze na

Pokpung-ho​


1694973117974.png
 
Hao wakorea walishawahi kupigana na nani hv karibuni na wakashinda vita?

Kutengeneza masilaha ya kivita harafu huyatumii ni matumizi mabaya ya akili.
Huijui vizuri cyberwar fair ambayo hao jamaa Wana kundi Hatari ambalo huchua mateka/ Ramson na kudai fidia kubwa ya pesa Kwa wadukuzi/Hackers wake ambao ni vijana wa serikali
Nchi Yao ina vikwazo Sasa jiulize pesa za kugharamia hizo project za silaha wanatoa wapi.
 
1. Njaa ipi hiyo ?

2. taja(ongeza) sababu nyengine?
Hii ni june ya mwaka huu, raia wanalia ubao
1694973554653.png


Vita ya njaa hujaweza kuidhibiti ndio ije vita ya jeshi?

Twende kwenye bajeti ya jeshi

Nioneshe North Korea kwenye list namimi nikuoneshe matiti ya nyoka yalipo
1694973992596.png
 
Hii ni june ya mwaka huu, raia wanalia ubao
View attachment 2752679

Vita ya njaa hujaweza kuidhibiti ndio ije vita ya jeshi?

Twende kwenye bajeti ya jeshi

Nioneshe North Korea kwenye list namimi nikuoneshe matiti ya nyoka yalipo
View attachment 2752683
Umeachana na Main Battle Tanks?
Halafu mtu mzima na akili zako unaleta taarifa za BBC!!?
 
Hii ni june ya mwaka huu, raia wanalia ubao
View attachment 2752679

Vita ya njaa hujaweza kuidhibiti ndio ije vita ya jeshi?

Twende kwenye bajeti ya jeshi

Nioneshe North Korea kwenye list namimi nikuoneshe matiti ya nyoka yalipo
View attachment 2752683
Bajeti za ulinzi ni makisio dogo sio uhalisia halafu acha kuleta magazeti ya udaku ambayo yamepigwa ban NK habari zisizo na uthibitisho wowote zaidi ya umbea
 
Hii ni generation ya pili na ya kwanza yani ni kifaru cha kizee kama T-62

Angalia specs zake, ina mass ya 40 metric tones yani haifiki hata kwa old model K1 ya South Korea ambayo ina mass ya metric tone 51.

Sasa angalia latest hii ya K1A2 ya South Korea ya mwaka huu ambayo ina 54.5 metric tons.


1694975289312.png


Huyu ni South Korea tu ambaye kwenye list ya nchi zenye bajeti kubwa za jeshi yeye ni wa 10 wakati North Korea hata kwenye top 15 hayupo.

Halafu unakuja kumfananisha na USA ambaye ni number uno?
 
Bajeti za ulinzi ni makisio dogo sio uhalisia halafu acha kuleta magazeti ya udaku ambayo yamepigwa ban NK habari zisizo na uthibitisho wowote zaidi ya umbea
Kwani makisio hayatumiki kwenye data?

Ingekuwa ni hivyo basi watu hata mashuleni tusingekuwa tunafeli hesabu za approximation kama ishu ya kukadiria ni simple
 
Umeachana na Main Battle Tanks?
Halafu mtu mzima na akili zako unaleta taarifa za BBC!!?
Main battle nimejibu post mbili zilizopita nasubiri respond yako

Halafu tukubaliane source ya kutumia kama references maana kuna viashiria nimeana kuviona vya kupinga data wakati wewe hujatuambia hizo data zako umezitoa kwenye source gani ya kuaminika
 
Kwani makisio hayatumiki kwenye data?

Ingekuwa ni hivyo basi watu hata mashuleni tusingekuwa tunafeli hesabu za approximation kama ishu ya kukadiria ni simple
Bajeti za ulinzi hazikai uchi dogo acha kuokoteza propaganda za vijarida vya umbea
 
Back
Top Bottom