Walipigana na Japan aliyewatawala kimabavu ndani ya nchi yao.Hao wakorea walishawahi kupigana na nani hv karibuni na wakashinda vita?
Kutengeneza masilaha ya kivita harafu huyatumii ni matumizi mabaya ya akili.
Miaka gani?Walipigana na Japan aliyewatawala kimabavu ndani ya nchi yao.
Walimtwanga haswaa chini ya Kim ll Sung baba wa Taifa la Korea Kaskazi
SahihiNorth Korea hawezi kufua dafu hata kwa South Korea
Uhakika?Pale Kikombo Dodoma Tukimaliza Ujenzi
Hayo Yote Yatakuwa Pale Na Itakuwa Hatari Sana Sana
Hawa nasikia ni majamaa zetu.kwanini sasa wasitupe technology ya silaha zao.Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.
Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?
Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.
NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.
Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam
Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil
IDADI YA WANAJESHI
NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.
Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
Nembo ya jeshi hili la korea ni
- KPA Ground Forces
- KPA Naval Forces
- KPA Air Force
- KPA Strategic Force
- KPA Special Operation Force
Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....
Mwaka gani?Walipigana na Japan aliyewatawala kimabavu ndani ya nchi yao.
Walimtwanga haswaa chini ya Kim ll Sung baba wa Taifa la Korea Kaskazi
Unaendelea kuhamisha magori tu mdogo wangu. Nimekuonesha nchi zenye vifaru vingi. Nikakuambia ulete proof how SK wanaweza kushinda NOKO.Hii ni generation ya pili na ya kwanza yani ni kifaru cha kizee kama T-62
Angalia specs zake, ina mass ya 40 metric tones yani haifiki hata kwa old model K1 ya South Korea ambayo ina mass ya metric tone 51.
Sasa angalia latest hii ya K1A2 ya South Korea ya mwaka huu ambayo ina 54.5 metric tons.
View attachment 2752713
Huyu ni South Korea tu ambaye kwenye list ya nchi zenye bajeti kubwa za jeshi yeye ni wa 10 wakati North Korea hata kwenye top 15 hayupo.
Halafu unakuja kumfananisha na USA ambaye ni number uno?
Kwahiyo unadhani naandika uongo?Main battle nimejibu post mbili zilizopita nasubiri respond yako
Halafu tukubaliane source ya kutumia kama references maana kuna viashiria nimeana kuviona vya kupinga data wakati wewe hujatuambia hizo data zako umezitoa kwenye source gani ya kuaminika
Hivi unajua during cold war marekani na washirika wake wamewahi kupigana na NK?Mwaka gani?
Hicho kipindi Korea ilikuwa ni moja haikuwa divided
So unapofikiria kumpa sifa North Korea uwe unautazama na mchango wa South Korea pia
ICBM zipo badala ya fighter jet. Mambo ya fighter jet hayana maana sana.Mtoa post uzi mzima naona missiles na vifaru tu tena old models.
Sijaona fighter jets, destroyers, aircraft carriers (kama wanazo) n.k
Halafu bado unalinganisha na US?
Harafu kutumia kigezo Cha GDP kwenye maswala ya kijeshi ni kutudanganya Urusi ana GDP ngapi Leo anapigana na mataifa zaidi ya 30
Urusi inatumia dollar bilioni 10 kwa mwezi wakati Ukraine inatumia dollar bilioni 4.
Hii ni june ya mwaka huu, raia wanalia ubao
View attachment 2752679
Vita ya njaa hujaweza kuidhibiti ndio ije vita ya jeshi?
Twende kwenye bajeti ya jeshi
Nioneshe North Korea kwenye list namimi nikuoneshe matiti ya nyoka yalipo
View attachment 2752683
We mkurya mbona una ubishi wa kizamani sanaUnaendelea kuhamisha magori tu mdogo wangu. Nimekuonesha nchi zenye vifaru vingi. Nikakuambia ulete proof how SK wanaweza kushinda NOKO.
Hebu tuendelee na main Battle Tanks
Chonma 216
View attachment 2752993
View attachment 2752994
View attachment 2752995
Halafu sio kuweka tu mipicha, weka na specs zake ili watu wajue ni gape gani ambalo USA anazidiwa na North Korea
Tatizo lako unakuwa mvivu wa kusoma. Nimeweka muda mrefu sana humu. Pitia hapaWe mkurya mbona una ubishi wa kizamani sana
Hicho kifaru ambacho ndio tegemeo kwa North Korea ni cha zamani hakiwezi kumudu modern war.
Unakazania kusema vifaru ving kama ndio hojai huku ukijua kabisa kuwa vyote hivyo ni vya kizamani vimechoka haviwezi ku handle vita vya kisasa.
Nimekuonesha kifaru cha South Korea ambacho ni superior maradufu kuliko hicho cha North Korea.
Nitajie kifaru latest cha North Korea