Ungefanya research usingekuja na uzi wenye tittle ya kitoto kama hii, this is pure ridiculous.Kwahiyo unadhani naandika uongo?
Mzee mimi siwezi nikaleta taarizfa za kubumba hata siku moja. Nafanya research kwanza ndio nakuja
hebu jaribu kupitia hapa kwanza ndio urudi
Ngoja tuanze hapa nitakuwa nakupatia specificationHalafu sio kuweka tu mipicha, weka na specs zake ili watu wajue ni gape gani ambalo USA anazidiwa na North Korea
Chonma-ho VI Main Battle TankUngefanya research usingekuja na uzi wenye tittle ya kitoto kama hii, this is pure ridiculous.
Halafu unaweka link kutoka kwenye site ambayo mwandishi ameandika maoni yake na akikiri kuwa yupo tayari kukosolewa, we unamtumia kama source sasa nikuulize, unaelewa source aliyotumia?
Mbona husemi Soviet na China waliungana kuisapoti North Korea?Hivi unajua during cold war marekani na washirika wake wamewahi kupigana na NK?
Songun-ho IIUngefanya research usingekuja na uzi wenye tittle ya kitoto kama hii, this is pure ridiculous.
Halafu unaweka link kutoka kwenye site ambayo mwandishi ameandika maoni yake na akikiri kuwa yupo tayari kukosolewa, we unamtumia kama source sasa nikuulize, unaelewa source aliyotumia?
Soviet hakushiriki katika hilo mzee. Nenda kasome vitabu vya historia.Mbona husemi Soviet na China waliungana kuisapoti North Korea?
Unataka ionekane ilikuwa vita kati ya US na North Korea wakati kulikuwa na collaboration ya communist za Soviet na wachina?
Pokpung-ho IV Main Battle TankMbona husemi Soviet na China waliungana kuisapoti North Korea?
Unataka ionekane ilikuwa vita kati ya US na North Korea wakati kulikuwa na collaboration ya communist za Soviet na wachina?
USA aogope jeshi la Korea Kaskazini?Are you okay ghorofani?Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.
Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?
Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.
NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.
Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam
Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil
IDADI YA WANAJESHI
NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.
Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
Nembo ya jeshi hili la korea ni
- KPA Ground Forces
- KPA Naval Forces
- KPA Air Force
- KPA Strategic Force
- KPA Special Operation Force
Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....
Twende kazi mtu wanguMbona husemi Soviet na China waliungana kuisapoti North Korea?
Unataka ionekane ilikuwa vita kati ya US na North Korea wakati kulikuwa na collaboration ya communist za Soviet na wachina?
Nchi nyingi kwa sasa zina nyuklia mwambie huyo marekani ajaribu halafu aone kama hatojibiwa mwisho tutakuja kufanya tathimini ya maafa ni nani aliyepata madhara zaidiHata madikteta wanaogopa kufa ndio maana kipindi cha corona putin alijitengenezea mmeza mrefeeefu ili asipate corona kwa kuogopa kifo sasa unaposema kiduku hana cha kupoteza hio sio kweli as long as he is human being naye pia anakiogopa kifo.
Sasa basi huyo n.korea anajua kabisa USA ana silaha bora na za kisasa kuliko zake na nuclear iliyoboreshwa anayo na anajua inaouwezo wa kufika piyongyang na kuleta mahafa zaidi ya hiroshima na nagasaki.
Msimtie kiburi huyo mtoto mtukutu na baadae mkaanza kulilaumu beberu kwa kuleta maafa.
Yeye aachwe atengeneze hiyo mizinga yake na kuijaribisha baharini siku akijitia uchizi walau likaleta madhara hapo s.korea achilia mbali USA ndio mtamsahau huyo kipipa wenu.
Watu kama Kim jong wasiotabirika ktk maamuzi yao ndo wanahitajika kuifanya dunia itawalikeMarekani haliogopi jeshi la N.Korea anacho kiogopa ni maamuzi ya Kim Jong-Un
Sawa niwekee na specs zake nifanye comparisonTatizo lako unakuwa mvivu wa kusoma. Nimeweka muda mrefu sana humu. Pitia hapa
Analysis: New North Korea MBT Main Battle Tank appears at February 202
For the second time, North Korea presents its latest generation of Main Battle Tank (MBT) during a military parade that was held on February 9, 2023. The twww.armyrecognition.com
View attachment 2753108
Currently, the new North Korean Main has no official name. The design of the turret seems very similar to the American M1A2 Abrams
View attachment 2753109
Marekani hajaamua tu kuwa nazo soma vizuri walishafanya research kadhaa kuhusu hypersonic missile.ICBM zipo badala ya fighter jet. Mambo ya fighter jet hayana maana sana.
Halafu nadhani huijui dunia vizuri. Hypersonic Missile USA hawana NK wanazo
Nenda kasome nimekupatia link.Sawa niwekee na specs zake nifanye comparison
Basi vs North Korea hajaamua kuwa na Fighter jet. Yeye naye amefanya research nyingi tu. Na sasa tayari yupo Urusi kwaajili ya mombersMarekani hajaamua tu kuwa nazo soma vizuri walishafanya research kadhaa kuhusu hypersonic missile.
Nimesoma sijaona specs ndio maana nikaulizaNenda kasome nimekupatia link.
Maximum firing range yake inazidiwa na 270-M ya Egypt inayopiga hadi 300KMTwende kazi mtu wangu
KN-09 300mm MLRS Multiple Launch Rocket System
The KN-09 is 300mm caliber MLRS (Multiple Launch Rocket System) designed and manufactured in North Korea.
View attachment 2753138
Maximum firing range 100–200 km
Payload capacity 75 kg TNT equivalent
Nenda kasome hapa wachambuzi wa South Korea utajua undani wakeNimesoma sijaona specs ndio maana nikauliza