Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

Kwahiyo unadhani naandika uongo?
Mzee mimi siwezi nikaleta taarizfa za kubumba hata siku moja. Nafanya research kwanza ndio nakuja
hebu jaribu kupitia hapa kwanza ndio urudi

Ungefanya research usingekuja na uzi wenye tittle ya kitoto kama hii, this is pure ridiculous.

Halafu unaweka link kutoka kwenye site ambayo mwandishi ameandika maoni yake na akikiri kuwa yupo tayari kukosolewa, we unamtumia kama source sasa nikuulize, unaelewa source aliyotumia?
 
Halafu sio kuweka tu mipicha, weka na specs zake ili watu wajue ni gape gani ambalo USA anazidiwa na North Korea
Ngoja tuanze hapa nitakuwa nakupatia specification
Hwasong-8 hypersonic glide vehicle
1695020427098.png

Length 18.5 m (61 ft)
Diameter 1.8 m (5.9 ft)
Warhead 'nuclear'
Maximum speed Mach 6
 
Ungefanya research usingekuja na uzi wenye tittle ya kitoto kama hii, this is pure ridiculous.

Halafu unaweka link kutoka kwenye site ambayo mwandishi ameandika maoni yake na akikiri kuwa yupo tayari kukosolewa, we unamtumia kama source sasa nikuulize, unaelewa source aliyotumia?
Chonma-ho VI Main Battle Tank
1695020811218.png


1695020825255.png



North Korean armed forces have unveiled a large number of new combat vehicles and main battle tanks. Analysis and pictures of new military equipment shown at the North Korean military parade by Army Recognition team.
 
Hivi unajua during cold war marekani na washirika wake wamewahi kupigana na NK?
Mbona husemi Soviet na China waliungana kuisapoti North Korea?

Unataka ionekane ilikuwa vita kati ya US na North Korea wakati kulikuwa na collaboration ya communist za Soviet na wachina?
 
Ungefanya research usingekuja na uzi wenye tittle ya kitoto kama hii, this is pure ridiculous.

Halafu unaweka link kutoka kwenye site ambayo mwandishi ameandika maoni yake na akikiri kuwa yupo tayari kukosolewa, we unamtumia kama source sasa nikuulize, unaelewa source aliyotumia?
Songun-ho II

1695021018587.png


The Songun-ho is a new development of North Korean Main Battle Tank (MBT) based on the Pokpung-ho, it was first shown during the Pyongyang military parade in 2010. At the parade of February 2018, the new version called Songun-ho II, was presented fitted with reactive armour mounted at the front of the turret, on each side of the main armament. The roof of the turret is also equipped with additional armament.
 
Mbona husemi Soviet na China waliungana kuisapoti North Korea?

Unataka ionekane ilikuwa vita kati ya US na North Korea wakati kulikuwa na collaboration ya communist za Soviet na wachina?
Soviet hakushiriki katika hilo mzee. Nenda kasome vitabu vya historia.

NATO na UN walishiriki kupambana na North Korea. Huku upande wa pili North Korea na China walishirikiana.

NATO (France, German, USA, CANADA, UK etc) + South Korea, Wote hao walishiriki kupambana na North Korea
 
Mbona husemi Soviet na China waliungana kuisapoti North Korea?

Unataka ionekane ilikuwa vita kati ya US na North Korea wakati kulikuwa na collaboration ya communist za Soviet na wachina?
Pokpung-ho IV Main Battle Tank
1695021295271.png
 
Kupigana na anayejitoa mhanga hiyo siyo vita.
 
Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.

Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?

Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.

NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.

Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam


Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil


IDADI YA WANAJESHI

NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.

Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
  1. KPA Ground Forces
  2. KPA Naval Forces
  3. KPA Air Force
  4. KPA Strategic Force
  5. KPA Special Operation Force
Nembo ya jeshi hili la korea ni


Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....
USA aogope jeshi la Korea Kaskazini?Are you okay ghorofani?
 
Mbona husemi Soviet na China waliungana kuisapoti North Korea?

Unataka ionekane ilikuwa vita kati ya US na North Korea wakati kulikuwa na collaboration ya communist za Soviet na wachina?
Twende kazi mtu wangu

KN-09 300mm MLRS Multiple Launch Rocket System
The KN-09 is 300mm caliber MLRS (Multiple Launch Rocket System) designed and manufactured in North Korea.
1695021527282.png

Maximum firing range 100–200 km
Payload capacity 75 kg TNT equivalent
 
Hata madikteta wanaogopa kufa ndio maana kipindi cha corona putin alijitengenezea mmeza mrefeeefu ili asipate corona kwa kuogopa kifo sasa unaposema kiduku hana cha kupoteza hio sio kweli as long as he is human being naye pia anakiogopa kifo.

Sasa basi huyo n.korea anajua kabisa USA ana silaha bora na za kisasa kuliko zake na nuclear iliyoboreshwa anayo na anajua inaouwezo wa kufika piyongyang na kuleta mahafa zaidi ya hiroshima na nagasaki.

Msimtie kiburi huyo mtoto mtukutu na baadae mkaanza kulilaumu beberu kwa kuleta maafa.

Yeye aachwe atengeneze hiyo mizinga yake na kuijaribisha baharini siku akijitia uchizi walau likaleta madhara hapo s.korea achilia mbali USA ndio mtamsahau huyo kipipa wenu.
Nchi nyingi kwa sasa zina nyuklia mwambie huyo marekani ajaribu halafu aone kama hatojibiwa mwisho tutakuja kufanya tathimini ya maafa ni nani aliyepata madhara zaidi
 
Marekani haliogopi jeshi la N.Korea anacho kiogopa ni maamuzi ya Kim Jong-Un
Watu kama Kim jong wasiotabirika ktk maamuzi yao ndo wanahitajika kuifanya dunia itawalike
 
Nuke moja ya North Korea yenye uwezo wa 300kt inaweza kuteketeza New York City yote kwa sekunde tu

1695022651948.png


hwasong-18 inaweza kubeba vichwa vya nuclear zaidi ya kimoja.
 
Tatizo lako unakuwa mvivu wa kusoma. Nimeweka muda mrefu sana humu. Pitia hapa


View attachment 2753108

Currently, the new North Korean Main has no official name. The design of the turret seems very similar to the American M1A2 Abrams
View attachment 2753109
Sawa niwekee na specs zake nifanye comparison
 
ICBM zipo badala ya fighter jet. Mambo ya fighter jet hayana maana sana.
Halafu nadhani huijui dunia vizuri. Hypersonic Missile USA hawana NK wanazo
Marekani hajaamua tu kuwa nazo soma vizuri walishafanya research kadhaa kuhusu hypersonic missile.
 
Marekani hajaamua tu kuwa nazo soma vizuri walishafanya research kadhaa kuhusu hypersonic missile.
Basi vs North Korea hajaamua kuwa na Fighter jet. Yeye naye amefanya research nyingi tu. Na sasa tayari yupo Urusi kwaajili ya mombers
 
Twende kazi mtu wangu

KN-09 300mm MLRS Multiple Launch Rocket System
The KN-09 is 300mm caliber MLRS (Multiple Launch Rocket System) designed and manufactured in North Korea.
View attachment 2753138
Maximum firing range 100–200 km
Payload capacity 75 kg TNT equivalent
Maximum firing range yake inazidiwa na 270-M ya Egypt inayopiga hadi 300KM

Kwa maana hiyo Egypt ni superior na anatakiwa kuogopwa na North Korea.
 
Back
Top Bottom