Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

Marekani anaogopa nyuklia kuliko kitu kingine kumbuka korea akiingia vitani hana cha kupoteza sasa haofii wananchi watasema nini ikitokea maafa tofauti na marekani ambaye bomu la nyuklia likipigwa pale washington nini kitatokea
Hata madikteta wanaogopa kufa ndio maana kipindi cha corona putin alijitengenezea mmeza mrefeeefu ili asipate corona kwa kuogopa kifo sasa unaposema kiduku hana cha kupoteza hio sio kweli as long as he is human being naye pia anakiogopa kifo.

Sasa basi huyo n.korea anajua kabisa USA ana silaha bora na za kisasa kuliko zake na nuclear iliyoboreshwa anayo na anajua inaouwezo wa kufika piyongyang na kuleta mahafa zaidi ya hiroshima na nagasaki.

Msimtie kiburi huyo mtoto mtukutu na baadae mkaanza kulilaumu beberu kwa kuleta maafa.

Yeye aachwe atengeneze hiyo mizinga yake na kuijaribisha baharini siku akijitia uchizi walau likaleta madhara hapo s.korea achilia mbali USA ndio mtamsahau huyo kipipa wenu.
 
Kwa hiyo Uwezo wa Korea Kijeshi ndiyo huu umesimulia hapa na uwezo wa Marekani ni hofu?
Hapo ndiyo umeringanisha Majeshi ya nchi zote mbili?
 
Haya kamsafishie haraaa mqoundou wako halafu ukaubinue kwa kisingizio cha kumuabudu huku ukipayuka kiarabu ulichokariri.

Bladisangay
Mashoga hua mnaamini kua mkifanyacho basi watu wote pia hukifanya kama nyinyi,

Wazazi wako wana hasara kubwa sana.
 
Kim Jong ni muoga sana ndio maana hata safari ndefu za Urusi na China huwa anatumia treni za bullet proof tu.
 
Vipi muddy muanzilishi wa dini yenu alikuwa anapaka wanja na hina. Na kumnyonya na kumlamba mwanamme mwenzake msikitini akiwa uchi.

Kinyaaa mxiuuuu
Mimi naongea na wewe,siongelei kukashifu imani za watu,

Wewe shoga naona imekukolea kama vile umewekwa ndimu,unajishaua tu hapa na umeamua kujianika indirect hapa kua wewe ni choko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…