Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

KN-25 - Made in North Korea

Multiple launch rocket system​

1694950350302.png
 
Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.

Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?

Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.

NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.

Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam


Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil


IDADI YA WANAJESHI

NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.

Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
  1. KPA Ground Forces
  2. KPA Naval Forces
  3. KPA Air Force
  4. KPA Strategic Force
  5. KPA Special Operation Force
Nembo ya jeshi hili la korea ni


Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....
MKUU NIMEKUFUATA HUKU PRIVATE ILI KUKUTIA MOYO. BAADA YA RUSSIA KUTUANGUSHA SASA NADHANI TUIPAMBANIE KOREA. RUSSIA WAMEKUWA WADWANZI SANA. TULIWAPAMBA KUMBE WA HOVYO TU. SASA TUANZE NA KOREA. MAANA CHINA NAO WALITUANGUSHA LILE SUALA LA TAIWAN
 
MKUU NIMEKUFUATA HUKU PRIVATE ILI KUKUTIA MOYO. BAADA YA RUSSIA KUTUANGUSHA SASA NADHANI TUIPAMBANIE KOREA. RUSSIA WAMEKUWA WADWANZI SANA. TULIWAPAMBA KUMBE WA HOVYO TU. SASA TUANZE NA KOREA. MAANA CHINA NAO WALITUANGUSHA LILE SUALA LA TAIWAN
Mzee hapa siyo Private. Also unaongea as if mimi na wewe tupo na makubaliano. Russia keshemaliza kazi huko. Tayari west wanahaha.
 
Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.

Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?

Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.

NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.

Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam


Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil


IDADI YA WANAJESHI

NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.

Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
  1. KPA Ground Forces
  2. KPA Naval Forces
  3. KPA Air Force
  4. KPA Strategic Force
  5. KPA Special Operation Force
Nembo ya jeshi hili la korea ni


Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....
Nchi yeyote ambayo Ina uwezo wa Kutengeneza silaha yenyewe iogope sana.
 
KWANINI MAREKANI ANAWAOGOPA SANA NK

Mwanadiplomasia Ankit Panda anasema
:
The ability of Pyongyang to strike the American homeland makes a continuing security guarantee for the ROK far more dangerous than any benefit from easing Seoul’s defense burden.

Tayari NK wapo na ICBM yenye uwezo wa kupiga popote ndani ya Marekani.

The idea kwamba marekani wanawaogopa north korea it too outdated.
Kama ni ICBMs even america anazo pia, for a logn time.

Hapa tofauti ni kuwa yupi mwenye guts za kubonyeza kitufe
 
Mzee hapa siyo Private. Also unaongea as if mimi na wewe tupo na makubaliano. Russia keshemaliza kazi huko. Tayari west wanahaha.
Daaaaah.... nimechanganya. Sijui nafutaje. Sorry nimekosea kupost huku tuendelee kule kule kama ambavyo huwa tunafanya. Russia amewapiga sana West. Na sasa wanalia lia tu kila kona. Na hapo hajaingia Korea. Uongo? Huyu ndo Taifa kubwa Duniani lenye nguvu kwa sasa. Hatari sana kwa jeshi lake. Nimeona ulivyodadavua. West wataomba poooh. Uongo?
 
Back
Top Bottom