The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Umesha chelewa,huko juu umejinadi kua wewe ni bwabwa,wakubwa tumekuelewa,u can't run from yourself,it's already too little too late.Choko ni muddy siyo mimi. Mimi sipaki wanja na hina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesha chelewa,huko juu umejinadi kua wewe ni bwabwa,wakubwa tumekuelewa,u can't run from yourself,it's already too little too late.Choko ni muddy siyo mimi. Mimi sipaki wanja na hina
Unamuogopea nini ikiwa kweli huogopi silaha zake!?Sahihi kabisa...watu humuogopa kichaa sio kwa nguvu zake bali kwa kukosa akili.
Silaha!!!???...Unamuogopea nini ikiwa kweli huogopi silaha zake!?
Kwa upumbavu wa Kim au kwa roho mbaya ya mabeberu kwa kuweka vikwazo!?Mwaka 1994 - 1998 Korea Kaskazini walikuwa na njaa iitwayo March of Suffering/Arduous March ambapo inakadiriwa raia Milioni 3 walikufa kwa upumbavu wa familia ya Kim Jong
MKUU NIMEKUFUATA HUKU PRIVATE ILI KUKUTIA MOYO. BAADA YA RUSSIA KUTUANGUSHA SASA NADHANI TUIPAMBANIE KOREA. RUSSIA WAMEKUWA WADWANZI SANA. TULIWAPAMBA KUMBE WA HOVYO TU. SASA TUANZE NA KOREA. MAANA CHINA NAO WALITUANGUSHA LILE SUALA LA TAIWANBila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.
Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?
Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.
NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.
Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam
Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil
IDADI YA WANAJESHI
NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.
Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
Nembo ya jeshi hili la korea ni
- KPA Ground Forces
- KPA Naval Forces
- KPA Air Force
- KPA Strategic Force
- KPA Special Operation Force
Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....
Mzee hapa siyo Private. Also unaongea as if mimi na wewe tupo na makubaliano. Russia keshemaliza kazi huko. Tayari west wanahaha.MKUU NIMEKUFUATA HUKU PRIVATE ILI KUKUTIA MOYO. BAADA YA RUSSIA KUTUANGUSHA SASA NADHANI TUIPAMBANIE KOREA. RUSSIA WAMEKUWA WADWANZI SANA. TULIWAPAMBA KUMBE WA HOVYO TU. SASA TUANZE NA KOREA. MAANA CHINA NAO WALITUANGUSHA LILE SUALA LA TAIWAN
Madhara yapi?Kinachosababisha USA asichukue maamuzi ya Vita na nk ni madhara atakayoyapata South Korea basi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nchi yeyote ambayo Ina uwezo wa Kutengeneza silaha yenyewe iogope sana.Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.
Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?
Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.
NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.
Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam
Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil
IDADI YA WANAJESHI
NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.
Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
Nembo ya jeshi hili la korea ni
- KPA Ground Forces
- KPA Naval Forces
- KPA Air Force
- KPA Strategic Force
- KPA Special Operation Force
Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....
KWANINI MAREKANI ANAWAOGOPA SANA NK
Mwanadiplomasia Ankit Panda anasema:
The ability of Pyongyang to strike the American homeland makes a continuing security guarantee for the ROK far more dangerous than any benefit from easing Seoul’s defense burden.
Tayari NK wapo na ICBM yenye uwezo wa kupiga popote ndani ya Marekani.
Daaaaah.... nimechanganya. Sijui nafutaje. Sorry nimekosea kupost huku tuendelee kule kule kama ambavyo huwa tunafanya. Russia amewapiga sana West. Na sasa wanalia lia tu kila kona. Na hapo hajaingia Korea. Uongo? Huyu ndo Taifa kubwa Duniani lenye nguvu kwa sasa. Hatari sana kwa jeshi lake. Nimeona ulivyodadavua. West wataomba poooh. Uongo?Mzee hapa siyo Private. Also unaongea as if mimi na wewe tupo na makubaliano. Russia keshemaliza kazi huko. Tayari west wanahaha.
Akili zimeanza kukurudia. AsanteNchi yeyote ambayo Ina uwezo wa Kutengeneza silaha yenyewe iogope sana.
USA hana Hypersonic Missile but NK anazo.The idea kwamba marekani wanawaogopa north korea it too outdated.
Kama ni ICBMs even america anazo pia, for a logn time.
Hapa tofauti ni kuwa yupi mwenye guts za kubonyeza kitufe
We boya kweli,sio kwamba kimedani North Korea anaweza mshinda USA big no ila anaweza sababisha some Madhara Kwake kumbuka pia Hawa Jamaa Wana uwezo wa Nukes ndio inawapa kiburi.Akili zimeanza kukurudia. Asante