The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Sawa Binti haya nenda kwa mumeo sasa.Haraa Akbar
Kayngay
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Binti haya nenda kwa mumeo sasa.Haraa Akbar
Kayngay
Leo utaleta ID zako zote za jf ila mwisho wake utakimbia na kanga yako mkononi.Haraa Akbar
Lione. Nilikununulia dera ili uvae uwe nadhifu. Sasa unaichomekea kwenye chupiSawa Binti haya nenda kwa mumeo sasa.
Nenda kwa mumeo sasa usijibishane na wanaume hapa utapigwa talaka halafu utakuja kutusumbua tena hapa kwa thd ya kutaka tukushauri.Lione. Nilikununulia dera ili uvae uwe nadhifu. Sasa unaichomekea kwenye chupi
Hivi kazi ya kichwa chako ni kufunika shingo tu?Huna akili wewe.
Ninavyo vichwa viwili,unaulizia kichwa kipi?Hivi kazi ya kichwa chako ni kufunika shingo tu?
Hata madikteta wanaogopa kufa ndio maana kipindi cha corona putin alijitengenezea mmeza mrefeeefu ili asipate corona kwa kuogopa kifo sasa unaposema kiduku hana cha kupoteza hio sio kweli as long as he is human being naye pia anakiogopa kifo.Marekani anaogopa nyuklia kuliko kitu kingine kumbuka korea akiingia vitani hana cha kupoteza sasa haofii wananchi watasema nini ikitokea maafa tofauti na marekani ambaye bomu la nyuklia likipigwa pale washington nini kitatokea
Ndio maana unahaha kumbe unavichwa viwili. eeh tusimulie hivyo vichwa vyako viwili 🤣 🤣 🤣 🤣Ninavyo vichwa viwili,unaulizia kichwa kipi?
Kwa hiyo Uwezo wa Korea Kijeshi ndiyo huu umesimulia hapa na uwezo wa Marekani ni hofu?Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.
Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu waweze kuwapoteza? Kwanini Marekani anawekeza sana kwenye nchi za Japan na South Korea ili kupambana na hawa jamaa?
Kwanza kabisa historia inaanzia kipindi cha Cold war wakati West na East wakitafuta utukufu duniani. Kitendo kicho kilifanya Korea kugawanyika na kuwa katika sehemu mbili. Huku korea ya kusini ikipiga magoti kwa Western wakati Korea ya kaskazini ikijiimarisha na kulinda heshima yake.
NK iemeendelea kuimarisha jeshi lake tangu kipindi hicho kujua kwamba adui wao nambari moja ni Marekani. Huyu marekani amekuwa akitumia ushawishi wake huko UN na kuweka vikwazo rukuki NK. Akitegemea hawa jamaa watampigia magoti lakini wapi. Miaka inazidi kwenda tu.
Waziri wa Ulinzi wa Korean People's Army ni Comrade General Kang Sun-nam
Huku General Staff Department (GSD) Akiwa ni Comrade Vice Marshal Ri Yong-gil
IDADI YA WANAJESHI
NK Army linakadiliwa kuwa na Active Personnel 1,320,000 ombapo inaelezwa kuwa ni jeshi kubwa la nne duniani baada ya China, India na Marekani.
Jeshi hili limegawanyika katika kamadi tano:-
Nembo ya jeshi hili la korea ni
- KPA Ground Forces
- KPA Naval Forces
- KPA Air Force
- KPA Strategic Force
- KPA Special Operation Force
Usikae mbali na uzi huu nitakuletea hatu kwa hatua uwezo wa jeshi hili.....
Mashoga hua mnaamini kua mkifanyacho basi watu wote pia hukifanya kama nyinyi,Haya kamsafishie haraaa mqoundou wako halafu ukaubinue kwa kisingizio cha kumuabudu huku ukipayuka kiarabu ulichokariri.
Bladisangay
Jibu swali,Ndio maana unahaha kumbe unavichwa viwili. eeh tusimulie hivyo vichwa vyako viwili 🤣 🤣 🤣 🤣
Kim Jong ni muoga sana ndio maana hata safari ndefu za Urusi na China huwa anatumia treni za bullet proof tu.Hata madikteta wanaogopa kufa ndio maana kipindi cha corona putin alijitengenezea mmeza mrefeeefu ili asipate corona kwa kuogopa kifo sasa unaposema kiduku hana cha kupoteza hio sio kweli as long as he is human being naye pia anakiogopa kifo.
Sasa basi huyo n.korea anajua kabisa USA ana silaha bora na za kisasa kuliko zake na nuclear iliyoboreshwa anayo na anajua inaouwezo wa kufika piyongyang na kuleta mahafa zaidi ya hiroshima na nagasaki.
Msimtie kiburi huyo mtoto mtukutu na baadae mkaanza kulilaumu beberu kwa kuleta maafa.
Yeye aachwe atengeneze hiyo mizinga yake na kuijaribisha baharini siku akijitia uchizi walau likaleta madhara hapo s.korea achilia mbali USA ndio mtamsahau huyo kipipa wenu.
Endelea kufuatilia uzi mdogo wanguKwa hiyo Uwezo wa Korea Kijeshi ndiyo huu umesimulia hapa na uwezo wa Marekani ni hofu?
Hapo ndiyo umeringanisha Majeshi ya nchi zote mbili?
Mimi naongea na wewe,siongelei kukashifu imani za watu,Vipi muddy muanzilishi wa dini yenu alikuwa anapaka wanja na hina. Na kumnyonya na kumlamba mwanamme mwenzake msikitini akiwa uchi.
Kinyaaa mxiuuuu
North Korea na Russia nani yupo juu? Ukraine tu anawaweza.
Kojoa ukalale wewe bado mgeni JFNorth Korea na Russia nani yupo juu? Ukraine tu anawaweza.