Lantino melanto
Member
- Jun 5, 2022
- 80
- 118
Vipi kuhusu ule upigwaji wa awamu ya tano enzi za JPM trillion 1.5 CAG aliweka wazi huo ufisadi Hadi akatolewa kinyume na katiba vipi hili unalizungumziajeWahuni hatuta wasamehe asilani.
Zama za upigaji zilizikwa kwenye kaburi la abiso tangu mwaka 2014/15. Sasa maendeleo ya ngonjela hatuyataki, tunata kuona vitu. Kama hamuwezi tutaendelea kuwakimbiza nyie wahuni mpaka mseme poo!!
Kwahiyo kufanya ufisadi wa trillion 1.5 ulio bainishwa na CAG ndio uzalendo?.Shetani mzalendo ni bora kuliko malaika muhuni sa100 na mzee wa msoga
Hapa ndio tulitakiwa 'tuanze' na yuel Binamu yake atuambie zile hela zetu walipeleka wapi!Vipi kuhusu ule upigwaji wa awamu ya tano enzi za JPM trillion 1.5 CAG aliweka wazi huo ufisadi Hadi akatolewa kinyume na katiba vipi hili unalizungumziaje
Ben ndio takataka gani na wewe?Mkuu chiembe hakika umesema kweli yani mpaka najiuliza hili kundi linalomsifu muuwaji mtekaji mbambika kesi muuwa mifumo ya nchi mpenda sifa binafsi magufuli kwanini halijiulizi uhai kama wa kina Ben saa nane na Azory ulipotelea wapi? Yani hili kundi ni kama ukoo wa ibilisi akiguswa magufuli kwa uovu alioufanya wanakuwa kama wehu kwa kumtetea lakini hawajiulizi damu ya lissu ilimliliaje Mungu mpaka Mungu akamweka hai mpaka leo. KWA mtu mwenye imani hawezi kumtetea magufuli kamwe wewe jiulize Muujiza wa lissu kupona shambulio la risasi 16 ndani ya mwili wa nyama je haukuwa ukuu wa Mungu dhidi ya nduli Magufuli?
Mkuu watu wamekariri we acha tu maana unaweza kujiuliza huyo Ben alikuwa ni nani hasa? Maana matukio ya uhalifu bado yapo hayajawahi kuisha ila watu wamekariri Ben tu.Ben ndio takataka gani na
wewe?
Kigoma tu hapo juzi
wameuawa watu saba wa
familia moja kwa mapanga,
kwamba ben ndio mtu sana
au?
Hata huyo shetani ni malaika pia.Astaghafirulilah... kwahiyo
haongozi tena malaika?
Malaika aliyehasi. Kwahiyo mwendazake alimaanisha kuongoza waasi wenzake?Hata huyo shetani ni malaika pia.
Na ndio hayo matahira ambayo sasaivi yanakesha kumtukana Rais na January,Kuondoa ujinga ni dhana Pana, haimaanishi kujua kusoma na kuandika tu ndio kuondoa ujinga. Moja kati ya fursa tuliyoipata katika awamu ya tano, ni kujua kwamba, kama taifa, tuna kundi kubwa sana la wajinga, ambalo, limekaa pale, linasubiri mtu alitumie tu, na litampa uhalali wa kutenda maovu makuu ya kuchukiza, ya kihayawani, na ya makufuru. Lakini, maovu hayo yatakuwa na uhalali wa sanduku la kura, kama ilivyokuwa kwa Hitler, na yeye alishinda kwa kura nyingi. Muovu ana uhalali wa kura! Hivyo ni kiongozi halali kikatiba!
Tuna kundi kubwa lililosherehekea utekwaji, mauaji, ukatili, kubambika kesi, kunyanyasa watumishi, dhuluma kwa wafanyabiashara, kundi Hilo kubwa ni la JPM.
Kama taifa, lazima tuwe na mikakati ya kuondoa ujinga katika kundi hili. Ujinga wa kuwafanya waelewe kwamba yale yalikuwa ni matendo ya kihayawani kabisa na hayafai katika nchi hii.
Fikiria mhitimu wa chuo kikuu asiye na ajira aliyekuwa anashangilia JPM kuzuia ajira serikalini na kuua uwezo wa sekta binafsi kuajiri.
Muajiriwa wa mfanyabiashara anafurahia uonevu dhidi ya bosi wake, baada ya mwezi kampuni inakufa, anakosa ajira
Fikiria mkulima wa korosho, mnazi mkubwa wa JPM japo aliona zao la korosho lilivyonajisiwa.
Tafakari mwananchi anayesifu sera za kunyima watumishi maslahi, halafu anaishi kwa kutegemea ndugu zake ambao ni watumishi ... Kila siku kupiga mizinga.
Fikiria watanzania waliokuwa wanashangilia kwa furaha kubwa kuona au kusikia fulani katekwa, mfanya biashara fulani kafilisiwa au kabambikwa mamia ya kesi, au kanyanganywa fedha zake zikizokuwa benki.
Mkuu wa Mkoa anaiba au kudhukumu magari, halafu anayawekea plate number za serikali, na like kundi la wajinga linatopea katika kumsifu sana kwamba ni kiongozi bora,gari ya wizi anaweka plate number za Mkuu wa Mkoa (RC)!
Nadhani kama nchi, tuandae programu maalum ya kuufuta ujinga huu ili kundi hili kubwa la wajinga,lipate uelewa. Haijalishi ni shilingi ngapi itatumika, lakini taifa litaponywa.
Kundi hili bado lipo, lina kiu ya damu ya watanzania wenzetu na halijashiba, ilibidi wengine wafukuziliwe Malawi, maana muda wote walikuwa wanaimba damu! Damu! Damu!.
Tutumie Redio,tv, na wasanii, shule, vyuo, viongozi katika hotuba kuufuta ujinga huu. Kila kiongozi akipata fursa ya hotuba aseme hili.
Kundi hili linahitaji elimu tu na uwazi wa taarifa ili kulivua utando wa propaganda za kipumbavu na kijinga kutoka awamu ya tano.
Kundi hili yule aliyefukuziliwa Malawi alikuwa anahangaika kuliweka pamoja ili limpe kura, jitihada zifanywe kuibomoa gundi iliyolishikamanisha, viongozi wanaoendelea kulitegemea ili wapate kura, wabomolewe kisiasa kabla hawajabomoa taifa.
Mama Samia amefanya makubwa sana kulijenga taifa na kulifanya liwe pamoja ...tumuunge mkono kwa namna yoyote ile
Umeme wa bure unamaanisha au?Tuletee umeme kwanza mitungi haitoshi.
Kuufuta huo ujinga walionao Hao wajinga unaowasema ni wewe au ninyi mnaotaka kuufuta huo ujinga muende huko kwa ground walipo Hao wajinga ambao ndio kundi kubwa hapa nchini kama ulivyokwisha kukiri !! Ukishawafikia waulizeni hivi - ni huduma gani mlikuwa mkizipata bila usumbufu wakati mwendazake alipokuwepo ? 2- je ni matatizo gani ambayo mnayapata kwa sasa tangu alipofariki huyo mwendazake ?? Ukiweza kuyafanyia kazi hayo watakayokuelezautakuwa umemaliza game !! Wala haihitaji nguvu kubwa sanaKuondoa ujinga ni dhana Pana, haimaanishi kujua kusoma na kuandika tu ndio kuondoa ujinga. Moja kati ya fursa tuliyoipata katika awamu ya tano, ni kujua kwamba, kama taifa, tuna kundi kubwa sana la wajinga, ambalo, limekaa pale, linasubiri mtu alitumie tu, na litampa uhalali wa kutenda maovu makuu ya kuchukiza, ya kihayawani, na ya makufuru. Lakini, maovu hayo yatakuwa na uhalali wa sanduku la kura, kama ilivyokuwa kwa Hitler, na yeye alishinda kwa kura nyingi. Muovu ana uhalali wa kura! Hivyo ni kiongozi halali kikatiba!
Tuna kundi kubwa lililosherehekea utekwaji, mauaji, ukatili, kubambika kesi, kunyanyasa watumishi, dhuluma kwa wafanyabiashara, kundi Hilo kubwa ni la JPM.
Kama taifa, lazima tuwe na mikakati ya kuondoa ujinga katika kundi hili. Ujinga wa kuwafanya waelewe kwamba yale yalikuwa ni matendo ya kihayawani kabisa na hayafai katika nchi hii.
Fikiria mhitimu wa chuo kikuu asiye na ajira aliyekuwa anashangilia JPM kuzuia ajira serikalini na kuua uwezo wa sekta binafsi kuajiri.
Muajiriwa wa mfanyabiashara anafurahia uonevu dhidi ya bosi wake, baada ya mwezi kampuni inakufa, anakosa ajira
Fikiria mkulima wa korosho, mnazi mkubwa wa JPM japo aliona zao la korosho lilivyonajisiwa.
Tafakari mwananchi anayesifu sera za kunyima watumishi maslahi, halafu anaishi kwa kutegemea ndugu zake ambao ni watumishi ... Kila siku kupiga mizinga.
Fikiria watanzania waliokuwa wanashangilia kwa furaha kubwa kuona au kusikia fulani katekwa, mfanya biashara fulani kafilisiwa au kabambikwa mamia ya kesi, au kanyanganywa fedha zake zikizokuwa benki.
Mkuu wa Mkoa anaiba au kudhukumu magari, halafu anayawekea plate number za serikali, na like kundi la wajinga linatopea katika kumsifu sana kwamba ni kiongozi bora,gari ya wizi anaweka plate number za Mkuu wa Mkoa (RC)!
Nadhani kama nchi, tuandae programu maalum ya kuufuta ujinga huu ili kundi hili kubwa la wajinga,lipate uelewa. Haijalishi ni shilingi ngapi itatumika, lakini taifa litaponywa.
Kundi hili bado lipo, lina kiu ya damu ya watanzania wenzetu na halijashiba, ilibidi wengine wafukuziliwe Malawi, maana muda wote walikuwa wanaimba damu! Damu! Damu!.
Tutumie Redio,tv, na wasanii, shule, vyuo, viongozi katika hotuba kuufuta ujinga huu. Kila kiongozi akipata fursa ya hotuba aseme hili.
Kundi hili linahitaji elimu tu na uwazi wa taarifa ili kulivua utando wa propaganda za kipumbavu na kijinga kutoka awamu ya tano.
Kundi hili yule aliyefukuziliwa Malawi alikuwa anahangaika kuliweka pamoja ili limpe kura, jitihada zifanywe kuibomoa gundi iliyolishikamanisha, viongozi wanaoendelea kulitegemea ili wapate kura, wabomolewe kisiasa kabla hawajabomoa taifa.
Mama Samia amefanya makubwa sana kulijenga taifa na kulifanya liwe pamoja ...tumuunge mkono kwa namna yoyote ile
Kama kuasi kwake hakujamfanya kugeuka mbuzi basi Bado ni malaika kiasili kama malaika wengine.Malaika aliyehasi. Kwahiyo
mwendazake alimaanisha kuongoza waasi wenzake?
Asilimia ya majinga kwenye jamii ni kubwa zaidi kuliko ya nyumbu kule Serengeti. Vile vile yanafanana na nyumbu hao, wakianza kuhama, kiongozi akitumbukia mtoni yote yanatumbukia bila kujali kina, mkondo au uwepo wa mamba.Kuondoa ujinga ni dhana Pana, haimaanishi kujua kusoma na kuandika tu ndio kuondoa ujinga. Moja kati ya fursa tuliyoipata katika awamu ya tano, ni kujua kwamba, kama taifa, tuna kundi kubwa sana la wajinga, ambalo, limekaa pale, linasubiri mtu alitumie tu, na litampa uhalali wa kutenda maovu makuu ya kuchukiza, ya kihayawani, na ya makufuru. Lakini, maovu hayo yatakuwa na uhalali wa sanduku la kura, kama ilivyokuwa kwa Hitler, na yeye alishinda kwa kura nyingi. Muovu ana uhalali wa kura! Hivyo ni kiongozi halali kikatiba!
Tuna kundi kubwa lililosherehekea utekwaji, mauaji, ukatili, kubambika kesi, kunyanyasa watumishi, dhuluma kwa wafanyabiashara, kundi Hilo kubwa ni la JPM.
Kama taifa, lazima tuwe na mikakati ya kuondoa ujinga katika kundi hili. Ujinga wa kuwafanya waelewe kwamba yale yalikuwa ni matendo ya kihayawani kabisa na hayafai katika nchi hii.
Fikiria mhitimu wa chuo kikuu asiye na ajira aliyekuwa anashangilia JPM kuzuia ajira serikalini na kuua uwezo wa sekta binafsi kuajiri.
Muajiriwa wa mfanyabiashara anafurahia uonevu dhidi ya bosi wake, baada ya mwezi kampuni inakufa, anakosa ajira
Fikiria mkulima wa korosho, mnazi mkubwa wa JPM japo aliona zao la korosho lilivyonajisiwa.
Tafakari mwananchi anayesifu sera za kunyima watumishi maslahi, halafu anaishi kwa kutegemea ndugu zake ambao ni watumishi ... Kila siku kupiga mizinga.
Fikiria watanzania waliokuwa wanashangilia kwa furaha kubwa kuona au kusikia fulani katekwa, mfanya biashara fulani kafilisiwa au kabambikwa mamia ya kesi, au kanyanganywa fedha zake zikizokuwa benki.
Mkuu wa Mkoa anaiba au kudhukumu magari, halafu anayawekea plate number za serikali, na like kundi la wajinga linatopea katika kumsifu sana kwamba ni kiongozi bora,gari ya wizi anaweka plate number za Mkuu wa Mkoa (RC)!
Nadhani kama nchi, tuandae programu maalum ya kuufuta ujinga huu ili kundi hili kubwa la wajinga,lipate uelewa. Haijalishi ni shilingi ngapi itatumika, lakini taifa litaponywa.
Kundi hili bado lipo, lina kiu ya damu ya watanzania wenzetu na halijashiba, ilibidi wengine wafukuziliwe Malawi, maana muda wote walikuwa wanaimba damu! Damu! Damu!.
Tutumie Redio,tv, na wasanii, shule, vyuo, viongozi katika hotuba kuufuta ujinga huu. Kila kiongozi akipata fursa ya hotuba aseme hili.
Kundi hili linahitaji elimu tu na uwazi wa taarifa ili kulivua utando wa propaganda za kipumbavu na kijinga kutoka awamu ya tano.
Kundi hili yule aliyefukuziliwa Malawi alikuwa anahangaika kuliweka pamoja ili limpe kura, jitihada zifanywe kuibomoa gundi iliyolishikamanisha, viongozi wanaoendelea kulitegemea ili wapate kura, wabomolewe kisiasa kabla hawajabomoa taifa.
Mama Samia amefanya makubwa sana kulijenga taifa na kulifanya liwe pamoja ...tumuunge mkono kwa namna yoyote ile
Wanasemaga sauti ya wengi ni sauti ya Mungu !! Na wengine wanasemaga Wengi wape !!!Asilimia ya majinga kwenye jamii ni kubwa zaidi kuliko ya nyumbu kule Serengeti. Vile vile yanafanana na nyumbu hao, wakianza kuhama, kiongozi akitumbukia mtoni yote yanatumbukia bila kujali kina, mkondo au uwepo wa mamba.
Kiazi wewe. Meathead kabisa.Kuna chinembe na chiembe.Tofautisha mkuu.
Jibwa koko kuliachia kubweka ndio unaona jambo la maana? Wewe hata useme nini hakuna wa kukusikiliza na kuchukua hatua ndio kwanza zinaitwa kelele za mitandaoni na wengine wanajibu "njoo uniue" sasa hapo huo uhuru wa kuongea una athari gani zaidi ya kuwa sawa na mbwa koko kubweka? Aliyekuwa spika wa bunge Ndugai alipobweka kwa sababu hakuwa jibwa koko ubwekaji wake ukaonekana ungeleta athari basi akanyamazishwa ila mijibwa koko ndio inaachiwa kubweka na yenyewe inafurahi.Na ndio hayo matahira
ambayo sasaivi yanakesha kumtukana Rais na January,
Wanachukia kwa Samia
kuboresha maslai ya watumishi
pamoja kuleta Uhuru wa kila
mtu kujieleza bila kutekwa au
kutiwa jela,
Kadri Samia na team yake
wanavyofanya vizuri wao
wanachukia!
Kufa sio kigezo Cha kutokuweka wazi uovu wake. Mbona idd Amin amekufa lakini uovu wake unasemwa kila siku
Hamia Ukraine kwa majibwa makali binti yangu!Jibwa koko kuliachia kubweka ndio unaona jambo la maana? Wewe hata useme nini hakuna wa kukusikiliza na kuchukua hatua ndio kwanza zinaitwa kelele za mitandaoni na wengine wanajibu "njoo uniue" sasa hapo huo uhuru wa kuongea una athari gani zaidi ya kuwa sawa na mbwa koko kubweka? Aliyekuwa spika wa bunge Ndugai alipobweka kwa sababu hakuwa jibwa koko ubwekaji wake ukaonekana ungeleta athari basi akanyamazishwa ila mijibwa koko ndio inaachiwa kubweka na yenyewe inafurahi.
Vipi kuhusu ule upigwaji wa awamu ya tano enzi za JPM trillion 1.5 CAG aliweka wazi huo ufisadi Hadi akatolewa kinyume na katiba vipi hili unalizungumziaje