Lile kundi linalofurahia utekaji, mauaji, kunywa damu, ukatili, kutofata sheria, bado lipo

Wahuni hatuta wasamehe asilani.
Zama za upigaji zilizikwa kwenye kaburi la abiso tangu mwaka 2014/15. Sasa maendeleo ya ngonjela hatuyataki, tunata kuona vitu. Kama hamuwezi tutaendelea kuwakimbiza nyie wahuni mpaka mseme poo!!
Vipi kuhusu ule upigwaji wa awamu ya tano enzi za JPM trillion 1.5 CAG aliweka wazi huo ufisadi Hadi akatolewa kinyume na katiba vipi hili unalizungumziaje
 
Ben ndio takataka gani na wewe?

Kigoma tu hapo juzi wameuawa watu saba wa familia moja kwa mapanga, kwamba ben ndio mtu sana au?
 
Ben ndio takataka gani na
wewe?
Kigoma tu hapo juzi
wameuawa watu saba wa
familia moja kwa mapanga,
kwamba ben ndio mtu sana
au?
Mkuu watu wamekariri we acha tu maana unaweza kujiuliza huyo Ben alikuwa ni nani hasa? Maana matukio ya uhalifu bado yapo hayajawahi kuisha ila watu wamekariri Ben tu.
 
Na ndio hayo matahira ambayo sasaivi yanakesha kumtukana Rais na January,

Wanachukia kwa Samia kuboresha maslai ya watumishi pamoja kuleta Uhuru wa kila mtu kujieleza bila kutekwa au kutiwa jela,

Kadri Samia na team yake wanavyofanya vizuri wao wanachukia!
 
Kuufuta huo ujinga walionao Hao wajinga unaowasema ni wewe au ninyi mnaotaka kuufuta huo ujinga muende huko kwa ground walipo Hao wajinga ambao ndio kundi kubwa hapa nchini kama ulivyokwisha kukiri !! Ukishawafikia waulizeni hivi - ni huduma gani mlikuwa mkizipata bila usumbufu wakati mwendazake alipokuwepo ? 2- je ni matatizo gani ambayo mnayapata kwa sasa tangu alipofariki huyo mwendazake ?? Ukiweza kuyafanyia kazi hayo watakayokuelezautakuwa umemaliza game !! Wala haihitaji nguvu kubwa sana
 
Malaika aliyehasi. Kwahiyo
mwendazake alimaanisha kuongoza waasi wenzake?
Kama kuasi kwake hakujamfanya kugeuka mbuzi basi Bado ni malaika kiasili kama malaika wengine.
 
Asilimia ya majinga kwenye jamii ni kubwa zaidi kuliko ya nyumbu kule Serengeti. Vile vile yanafanana na nyumbu hao, wakianza kuhama, kiongozi akitumbukia mtoni yote yanatumbukia bila kujali kina, mkondo au uwepo wa mamba.
 
Asilimia ya majinga kwenye jamii ni kubwa zaidi kuliko ya nyumbu kule Serengeti. Vile vile yanafanana na nyumbu hao, wakianza kuhama, kiongozi akitumbukia mtoni yote yanatumbukia bila kujali kina, mkondo au uwepo wa mamba.
Wanasemaga sauti ya wengi ni sauti ya Mungu !! Na wengine wanasemaga Wengi wape !!!
 
Jibwa koko kuliachia kubweka ndio unaona jambo la maana? Wewe hata useme nini hakuna wa kukusikiliza na kuchukua hatua ndio kwanza zinaitwa kelele za mitandaoni na wengine wanajibu "njoo uniue" sasa hapo huo uhuru wa kuongea una athari gani zaidi ya kuwa sawa na mbwa koko kubweka? Aliyekuwa spika wa bunge Ndugai alipobweka kwa sababu hakuwa jibwa koko ubwekaji wake ukaonekana ungeleta athari basi akanyamazishwa ila mijibwa koko ndio inaachiwa kubweka na yenyewe inafurahi.
 
Hamia Ukraine kwa majibwa makali binti yangu!
 
Vipi kuhusu ule upigwaji wa awamu ya tano enzi za JPM trillion 1.5 CAG aliweka wazi huo ufisadi Hadi akatolewa kinyume na katiba vipi hili unalizungumziaje

Pengine huelewi lugha za kwenye taarifa za ukaguzi. Waulize wajuvi wakufafanulie kabla ya kuonesha kiwango cha uwezo wako wa kujua mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…