Lile kundi linalofurahia utekaji, mauaji, kunywa damu, ukatili, kutofata sheria, bado lipo

Lile kundi linalofurahia utekaji, mauaji, kunywa damu, ukatili, kutofata sheria, bado lipo

Mkuu watu wamekariri we acha tu maana unaweza kujiuliza huyo Ben alikuwa ni nani hasa? Maana matukio ya uhalifu bado yapo hayajawahi kuisha ila watu wamekariri Ben tu.
Husikii wahusika wakikamatwa na wengi tuu wamehukumiwa ?? Muhusika wa ben, Tundulisu na wengineo kuna tatizo gani la kiunfundi halipo sawa mpaka hawajakamatwa mpaka leo ??
 
Magufuli alikuwa ni shetani ndani ya mwili wa mwanadamu. Kama hujui tafsiri ya neno SHETANI kwenye kamusi, basi angalia matendo ya Magufuli
Inatosha sasa.

Huoni aibu Kila siku unalazimisha watu wenye akili timamu Kuchambana juu ya mama vs Magu?

Nchi Ina changamoto nyingi kuzitatua mf:

1. Gharama za maisha kupanda.

2. Nishati isotosheleza na kuchelewa bwawa la JK,

3.Ripoti ya CAG kuripoti ubadhirifu Ule Ule Kila mwaka bila hatua stahiki kuchukuliwa.

4. Uwezo mdogo wa utendaji wa viongozi wa Serikali.

5.Katiba mbovu ilochakaa yenye viraka tele.

6. Bei za mafuta juu.

7. Migogoro ya ardhi isokwisha.

8. Unemployment Kwa vijana.

9. Kutoheshimika Kwa SANDUKU la Kura.

10. Magereza kujaa watu wasio hatia na wahanga wa KISIASA.

11.… .nk nk nk,................

Tutumie akili zetu vizuri kama ZIMO!!!

Ameeeeen
 
Peleka UPUMBABU wako huko

Pia kuna kundi la masikini wanyonge walifurahia huduma Bora za maji
Afya
Miundombinu
Kutokomezwa ufisadi
Maboresho elimu
Kulinda rasilimali
Wajawazito waliokuwa wakifa law ubovu wa miundombinu walimfurahia sana!
n.k n.k n.k

Hizo takataka zingine sijui zilizokuwa zinatekwa sijui kujiteka ni nani mbele ya watanzania milioni 60? Tena wangeendelea tu kutekwa kama walikuwa wakikwamisha juhudi za kuwahudumia masikini walio wengi

Usijaribu kumtetea Samia, Hakuna la maana alilolifanya wala hana mwelekeo na wala hana maono na uzalendo juu ya Tanzania.

Huo ndio ukweli.
Bro kuwa serious kidogo, Huduma gani za maji tunafurahia ??

Wilayani kwangu hatujui huduma ya maji ya serikali since nmezaliwa mpaka dk hii navyoandika,

Pia huduma gani ya elimu unayoizungumzia hapa ?? Kuweni wa kweli aise mambo mengine ni kuumizana sisi wenyewe wananchi,, eti sababu ya kufurahisha moyo wako kwa hao viongozi unaowapenda



UPUMBAVU WA HALI YA JUU
 
Kuondoa ujinga ni dhana Pana, haimaanishi kujua kusoma na kuandika tu ndio kuondoa ujinga. Moja kati ya fursa tuliyoipata katika awamu ya tano, ni kujua kwamba, kama taifa, tuna kundi kubwa sana la wajinga, ambalo, limekaa pale, linasubiri mtu alitumie tu, na litampa uhalali wa kutenda maovu makuu ya kuchukiza, ya kihayawani, na ya makufuru. Lakini, maovu hayo yatakuwa na uhalali wa sanduku la kura, kama ilivyokuwa kwa Hitler, na yeye alishinda kwa kura nyingi. Muovu ana uhalali wa kura! Hivyo ni kiongozi halali kikatiba!

Tuna kundi kubwa lililosherehekea utekwaji, mauaji, ukatili, kubambika kesi, kunyanyasa watumishi, dhuluma kwa wafanyabiashara, kundi Hilo kubwa ni la JPM.

Kama taifa, lazima tuwe na mikakati ya kuondoa ujinga katika kundi hili. Ujinga wa kuwafanya waelewe kwamba yale yalikuwa ni matendo ya kihayawani kabisa na hayafai katika nchi hii.
Fikiria mhitimu wa chuo kikuu asiye na ajira aliyekuwa anashangilia JPM kuzuia ajira serikalini na kuua uwezo wa sekta binafsi kuajiri.

Muajiriwa wa mfanyabiashara anafurahia uonevu dhidi ya bosi wake, baada ya mwezi kampuni inakufa, anakosa ajira

Fikiria mkulima wa korosho, mnazi mkubwa wa JPM japo aliona zao la korosho lilivyonajisiwa.

Tafakari mwananchi anayesifu sera za kunyima watumishi maslahi, halafu anaishi kwa kutegemea ndugu zake ambao ni watumishi ... Kila siku kupiga mizinga.

Fikiria watanzania waliokuwa wanashangilia kwa furaha kubwa kuona au kusikia fulani katekwa, mfanya biashara fulani kafilisiwa au kabambikwa mamia ya kesi, au kanyanganywa fedha zake zikizokuwa benki.

Mkuu wa Mkoa anaiba au kudhukumu magari, halafu anayawekea plate number za serikali, na like kundi la wajinga linatopea katika kumsifu sana kwamba ni kiongozi bora,gari ya wizi anaweka plate number za Mkuu wa Mkoa (RC)!

Nadhani kama nchi, tuandae programu maalum ya kuufuta ujinga huu ili kundi hili kubwa la wajinga,lipate uelewa. Haijalishi ni shilingi ngapi itatumika, lakini taifa litaponywa.

Kundi hili bado lipo, lina kiu ya damu ya watanzania wenzetu na halijashiba, ilibidi wengine wafukuziliwe Malawi, maana muda wote walikuwa wanaimba damu! Damu! Damu!.

Tutumie Redio,tv, na wasanii, shule, vyuo, viongozi katika hotuba kuufuta ujinga huu. Kila kiongozi akipata fursa ya hotuba aseme hili.

Kundi hili linahitaji elimu tu na uwazi wa taarifa ili kulivua utando wa propaganda za kipumbavu na kijinga kutoka awamu ya tano.

Kundi hili yule aliyefukuziliwa Malawi alikuwa anahangaika kuliweka pamoja ili limpe kura, jitihada zifanywe kuibomoa gundi iliyolishikamanisha, viongozi wanaoendelea kulitegemea ili wapate kura, wabomolewe kisiasa kabla hawajabomoa taifa.

Mama Samia amefanya makubwa sana kulijenga taifa na kulifanya liwe pamoja ...tumuunge mkono kwa namna yoyote ile
Mkuu hongera, siku nyingi nilitaka kuandika andiko lenye ujumbe kama huu, nkakosa muda, afadhali umeandika

Napenda kusema, kwa kuwa hakuwa akufanya yeye kwenda field, basi waliokuwa wanafanya wapo na hata kama wamekufa baadhi, basi wengi bado wapo, hata wale waliokuwa wakimshangilia, ni hao hao sema hawakupewa kazi

Tuna kazi kubwa sana
 
Wewe ndio mjinga hujui kitu ila kuwaza maslahi ya kundi la wanyonyaji wa umma. Umeandika kirefu ila kwa ujinga wako hujaweka chochote kutambua maisha ni mapambano ya kitabaka.
Nchi inaweza kupata maendeleo pale tu tabaka la wengi likiinuka kiuchumi na kudhibiti serikali.
Unalaumu eti wafanyakazi kutoongezwa mshahara kana kwamba fedha inatoka mbinguni. Huoni chochote kuhusu jitihada za kserikali kupata pesa. Serikali inapata hela kwa njia ya kodi. Sasa hao unaosema wamenyanyaswa na jpm kama je ni wafanyabiashara wanaokwepa kodi au watumishi wa serikali wanaofuja fedha ya serikali mishahara unayoona wafanyakazi wangeongezwa ingetoka wapi? Huu ni mfano mmoja tu. Hapo bado hatujszungumzia serikali kutoa huduma muhimu na kujenga miundombinu.
Kwa ufupi ulichoandika ndio ujinga. Wananchi waliyowengi tanzania wana akili zaidi yako.
Hivi unaelewa kilichoandikwa kweli?

Sio nyie mlimsifu alizuia ufisadi na wafanyakazu hewa? Kakusanya kodi kuliko wote?

Alishindwaje kuajiri na kuongeza mishahara ya wafanyakazi tena zoezi la kisheria kabisa? Ww kwa level ya ujinga wako unaona ni sawa kuvunja sheria?

Then, hayo aliyoyafanya ndo gharama yake iwe kutoa uhai wa watu? Kubambikia watu kesi na kuwateka? Kupiga risasi wasiomkubali? Kunyang'anya wafanyabiashara fedha zao?

Alafu, yy huyo Mungu wenu alitoa huduma kuliko wengine?
 
Pengine huelewi lugha za kwenye taarifa za ukaguzi. Waulize wajuvi wakufafanulie kabla ya kuonesha kiwango cha uwezo wako wa kujua mambo.
Lugha za kwenye ukaguzi ni kana zile za polepole za unakopa huku unaweka hapa?
 
Kipi kilichoboreka kwa mwananchi wa kawaida tangu mama ameingia madarakani?

Mnapiga mwingi kwenye ufisadi na kulambishana asali,huku mtaani mambo yakizidi kuwa mabaya kwa wananchi.

Mmefungua nchi sawa...je nini ambacho kinamsaidia au kumnufaisha mwananchi huku site zaidi ya kuongezewa.

Tozo.
Vikokotoo.
Fukuza Machinga.
Kulipa kodi ya kichwa.
Mfumko wa bei.
Ughali wa matibabu.
Na....
Uzembe kwa watumishi wa umma kurejea kwa kasi.
Vyakula vyote sasa vinakwenda nje na soon baa la njaa litaanza nchini.

Ajali kila uchao zinateketeza maisha ya wananchi.
Iko kazi !!
 
Peleka UPUMBABU wako huko

Pia kuna kundi la masikini wanyonge walifurahia huduma Bora za maji
Afya
Miundombinu
Kutokomezwa ufisadi
Maboresho elimu
Kulinda rasilimali
Wajawazito waliokuwa wakifa law ubovu wa miundombinu walimfurahia sana!
n.k n.k n.k

Hizo takataka zingine sijui zilizokuwa zinatekwa sijui kujiteka ni nani mbele ya watanzania milioni 60? Tena wangeendelea tu kutekwa kama walikuwa wakikwamisha juhudi za kuwahudumia masikini walio wengi

Usijaribu kumtetea Samia, Hakuna la maana alilolifanya wala hana mwelekeo na wala hana maono na uzalendo juu ya Tanzania.

Huo ndio ukweli.
Kwahiyi alipokufa, hayo mabomba ya maji yaliibiwa?
 
Jibwa koko kuliachia kubweka ndio unaona jambo la maana? Wewe hata useme nini hakuna wa kukusikiliza na kuchukua hatua ndio kwanza zinaitwa kelele za mitandaoni na wengine wanajibu "njoo uniue" sasa hapo huo uhuru wa kuongea una athari gani zaidi ya kuwa sawa na mbwa koko kubweka? Aliyekuwa spika wa bunge Ndugai alipobweka kwa sababu hakuwa jibwa koko ubwekaji wake ukaonekana ungeleta athari basi akanyamazishwa ila mijibwa koko ndio inaachiwa kubweka na yenyewe inafurahi.
Lakini ufahamu kwa mfano hapa jf wengi wanaopita humu ni wale ambao wanasoma tu sio members ! Hivyo ujue watu wengi wanapata habari na kujua nini kinachoendelea! Ukisema eti haileti impact yeyote sio kweli ! Serikali na taasisi zake kila mara wanatoa press release unafikiri ni kwa nini ? Ni kwa sababu ya watu wahabarishwe ili waweze kupata uungwaji mkono kwa yale yanayofanyika nchini! Hivyo kukiwa hakuna habari za upande wa pili wa shilingi ni rahisi kuwadanganya wananchi !! Habari ni silaha ya ushindi hata huko vitani !!
 
Kwahiyo kufanya ufisadi wa trillion 1.5 ulio bainishwa na CAG ndio uzalendo?.
Kuteka watu na kupoteza maisha ya watu siku hizi imekuwa ni uzalendo.
Samia amesha fanya ufisadi wa til13 mpaka sasa ...pia kama jpm alikuwa fisadi na nchi ilikuwa inajengeka hadi katutoa uchumi wa chini kuwa kati ..mimi nampongeza.
 
Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!

Itatuondolea hofu ya kuteka teka watu ovyo KILA KITU kitasimamiwa VIZURI!!!
 
Mkuu chiembe hakika umesema kweli yani mpaka najiuliza hili kundi linalomsifu muuwaji mtekaji mbambika kesi muuwa mifumo ya nchi mpenda sifa binafsi magufuli kwanini halijiulizi uhai kama wa kina Ben saa nane na Azory ulipotelea wapi? Yani hili kundi ni kama ukoo wa ibilisi akiguswa magufuli kwa uovu alioufanya wanakuwa kama wehu kwa kumtetea lakini hawajiulizi damu ya lissu ilimliliaje Mungu mpaka Mungu akamweka hai mpaka leo. KWA mtu mwenye imani hawezi kumtetea magufuli kamwe wewe jiulize Muujiza wa lissu kupona shambulio la risasi 16 ndani ya mwili wa nyama je haukuwa ukuu wa Mungu dhidi ya nduli Magufuli?
#Tunza maneno yako vizuri, jpm hayupo lakini bado vitendo hivyo vinaendelea![emoji706]
Screenshot_20220716-103723_Twitter.jpg
 
Kuondoa ujinga ni dhana Pana, haimaanishi kujua kusoma na kuandika tu ndio kuondoa ujinga. Moja kati ya fursa tuliyoipata katika awamu ya tano, ni kujua kwamba, kama taifa, tuna kundi kubwa sana la wajinga, ambalo, limekaa pale, linasubiri mtu alitumie tu, na litampa uhalali wa kutenda maovu makuu ya kuchukiza, ya kihayawani, na ya makufuru. Lakini, maovu hayo yatakuwa na uhalali wa sanduku la kura, kama ilivyokuwa kwa Hitler, na yeye alishinda kwa kura nyingi. Muovu ana uhalali wa kura! Hivyo ni kiongozi halali kikatiba!

Tuna kundi kubwa lililosherehekea utekwaji, mauaji, ukatili, kubambika kesi, kunyanyasa watumishi, dhuluma kwa wafanyabiashara, kundi Hilo kubwa ni la JPM.

Kama taifa, lazima tuwe na mikakati ya kuondoa ujinga katika kundi hili. Ujinga wa kuwafanya waelewe kwamba yale yalikuwa ni matendo ya kihayawani kabisa na hayafai katika nchi hii.
Fikiria mhitimu wa chuo kikuu asiye na ajira aliyekuwa anashangilia JPM kuzuia ajira serikalini na kuua uwezo wa sekta binafsi kuajiri.

Muajiriwa wa mfanyabiashara anafurahia uonevu dhidi ya bosi wake, baada ya mwezi kampuni inakufa, anakosa ajira

Fikiria mkulima wa korosho, mnazi mkubwa wa JPM japo aliona zao la korosho lilivyonajisiwa.

Tafakari mwananchi anayesifu sera za kunyima watumishi maslahi, halafu anaishi kwa kutegemea ndugu zake ambao ni watumishi ... Kila siku kupiga mizinga.

Fikiria watanzania waliokuwa wanashangilia kwa furaha kubwa kuona au kusikia fulani katekwa, mfanya biashara fulani kafilisiwa au kabambikwa mamia ya kesi, au kanyanganywa fedha zake zikizokuwa benki.

Mkuu wa Mkoa anaiba au kudhukumu magari, halafu anayawekea plate number za serikali, na like kundi la wajinga linatopea katika kumsifu sana kwamba ni kiongozi bora,gari ya wizi anaweka plate number za Mkuu wa Mkoa (RC)!

Nadhani kama nchi, tuandae programu maalum ya kuufuta ujinga huu ili kundi hili kubwa la wajinga,lipate uelewa. Haijalishi ni shilingi ngapi itatumika, lakini taifa litaponywa.

Kundi hili bado lipo, lina kiu ya damu ya watanzania wenzetu na halijashiba, ilibidi wengine wafukuziliwe Malawi, maana muda wote walikuwa wanaimba damu! Damu! Damu!.

Tutumie Redio,tv, na wasanii, shule, vyuo, viongozi katika hotuba kuufuta ujinga huu. Kila kiongozi akipata fursa ya hotuba aseme hili.

Kundi hili linahitaji elimu tu na uwazi wa taarifa ili kulivua utando wa propaganda za kipumbavu na kijinga kutoka awamu ya tano.

Kundi hili yule aliyefukuziliwa Malawi alikuwa anahangaika kuliweka pamoja ili limpe kura, jitihada zifanywe kuibomoa gundi iliyolishikamanisha, viongozi wanaoendelea kulitegemea ili wapate kura, wabomolewe kisiasa kabla hawajabomoa taifa.

Mama Samia amefanya makubwa sana kulijenga taifa na kulifanya liwe pamoja ...tumuunge mkono kwa namna yoyote ile
Tatizo ni kuwa kadri wananchi wanavyoshuhudia yanayoendelea baada ya "dikteta" kufariki - kundi linazidi kukua.
Kuna hatari mwishoni ukajikuta umebaki mwenyewe na akina Nape na yule wa Gesi
 
maisha ya mtu mmoja tu Yana thamani Zaid ya flyover na man made things unazozijua ww joh we soldiers don't leave thy life behind
Kila awamu watu wamekufa na wengine kupotea na wengine kuteswa physically na wengine kuteswa saicologically !! Vitu hivyo vipo tu katika tawala nyingi duniani na hasa hasa katika dunia ya tatu !! Ndio maana watu wengi wamo kwenye social media with fake ID'S
 
Tatizo ni kuwa kadri wananchi wanavyoshuhudia yanayoendelea baada ya "dikteta" kufariki - kundi linazidi kukua.
Kuna hatari mwishoni ukajikuta umebaki mwenyewe na akina Nape na yule wa Gesi
Juhudi kubwa za dhati zinahitajika ! Wakiendelea kuwasikiliza praise team watajua kumbe walikuwa hawajui !!
 
Kila awamu watu wamekufa na wengine kupotea na wengine kuteswa physically na wengine kuteswa saicologically !! Vitu hivyo vipo tu katika tawala nyingi duniani na hasa hasa katika dunia ya tatu !! Ndio maana watu wengi wamo kwenye social media with fake ID'S
nakubali dude but haibadili ukweli maisha ya mtu mmoja one of our own Yana thamani Zaid ya man made things
 
Hakustahili kufa kabla ya kujibu mashtaka yake mbele ya wanadamu aliowaumiza.
Hatuna huo utamaduni ws kuhoji viongozi waliotoka madarakani...katiba tuliyo nayo haitoi huo mwanya.

Kikwete katumia pesa nyingi kwa ajili ya mchakato wa katiba feki, mbona hajafunguliws mashitaka?
 
Peleka UPUMBABU wako huko

Pia kuna kundi la masikini wanyonge walifurahia huduma Bora za maji
Afya
Miundombinu
Kutokomezwa ufisadi
Maboresho elimu
Kulinda rasilimali
Wajawazito waliokuwa wakifa law ubovu wa miundombinu walimfurahia sana!
n.k n.k n.k

Hizo takataka zingine sijui zilizokuwa zinatekwa sijui kujiteka ni nani mbele ya watanzania milioni 60? Tena wangeendelea tu kutekwa kama walikuwa wakikwamisha juhudi za kuwahudumia masikini walio wengi

Usijaribu kumtetea Samia, Hakuna la maana alilolifanya wala hana mwelekeo na wala hana maono na uzalendo juu ya Tanzania.

Huo ndio ukweli.

Acha kupanick sukuma gang.
 
Back
Top Bottom