Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Amepata divisoon one form 4. Na amepata division one form 6.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Yeye na wenye degree walio mtaani wamekaa tuu nani anaumiza zaidi wazazi? Bro tukubali dunia inabadilika wapo wenye master ni video vixen wanacheza uchi, wapo wenye degree ni mashoga wanapigwa miti. Acha mtoto atoe shule na atengeneze kipato
 
Elimu hiyo kama wewe huitaki, achana nayo.

Mitandao ina mamilioni ya websites zenye mambo hayo.

Utazifuatilia ngapi?

Umemshitaki serikalini afungiwe au unapiga gumzo hapa JF tu?
Huwezi kunifunga mdomo wala mikono kirahisi hivyo.

Wala huna haki au sababu za msingi za kukuruhusu wewe kunipangia cha kusema ama kuandika.

Nitasema nikiwa na jambo la kusema, popote na wakati wowote ili Mradi sivunji sheria za nchi wala za JF.

Mi hai?!
 
Duh! Hiki kizazi cha sasa.. Yani wasichana wadogo wanatengeneza content za kufundishana namna ya kumeza ngoma!! Halafu unajisifu una mtoto umefundisha.

Kwa maana nyengine, huyu ni malaya msomi. Kaamua kujiongeza zaidi ili ajipatie jina na kipato. Aisee, hii dunia inapokwenda!
Huyo binti atakuwa kwenye 30+ saa hii, mwili tu huo haujafumuka, ni kajitu kazima hako watu hamkafahamu tu.
 
Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Amepata divisoon one form 4. Na amepata division one form 6.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Nilihisi Wenda huyu binti amelelewa na single mama

Ana niudhi sna kwa content zake
 
Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Amepata divisoon one form 4. Na amepata division one form 6.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Mbona kama shule yake imemsaidia maana kaona fursa... si ndio mambo wabongo wanapenda..
Hizi shule zetu wengine zinatufundisha kuajiriwa tu.
 
Mkuu, Unachanganya vitu viwili kaka. Hapa hoja ya mtoa mada haihusiani chochote na suala la uhuru wa mtu.

Hoja ya mtoa mada ni kuhusu ubovu wa elimu ya Tanzania.

Mtoa mada anasema kwamba elimu ya Mtanzania haimuandai mwanafunzi kukabiliana na changamoto mpya ( za sasa hivi) wala haimpi mwanafunzi uwezo wa kutatua changamoto zilizopo katika jamii yake.

Amemtolea huyo mdada kama case study kwamba pamoja na wazazi wake kutumia mamilioni ya hela kumsomesha kwenye shule za gharama kuanzia chekechea hadi chuo kikuu lakini ameishia kuwa kungwi kazi ambayo angeweza kuifanya hata bila kusoma English Medium wala kufika chuo kikuu.


So mtoa mada anasema kuliko kupoteza mamilioni kumlipia mtoto shule za English Mediums ni bora umuache aisome tu shule za serikali ambazo elimu inatolewa bure kwa sababu there is no point paying a millions to someone only for her to end up being a hoe( literally)...

So mtoa mada anatumia uhuru wake wa kutoa maoni yake kwa watanzania wenzake bila kuathiri uhuru wa huyu binti ame amua kuwa hivyo alivyo amua kuwa
Kaka hapa umeeleweka kabisa
 
Huwezi kunifunga mdomo wala mikono kirahisi hivyo.

Wala huna haki au sababu za msingi za kukuruhusu wewe kunipangia cha kusema ama kuandika.

Nitasema nikiwa na jambo la kusema, popote na wakati wowote ili Mradi sivunji sheria za nchi wala za JF.

Mi hai?!
Wewe ndiye unataka kumfunga mdomo huyo binti, halafu ukiambiwa hilo unasema mimi nataka kukufunga mdomo wewe?

This is psychological projection.
 
Back
Top Bottom