Linasubiriwa tukio lolote litokee nchini Iran ili liunganishwe na shambulizi la Israel

Umeandika kishabiki sana, yaani Iran iwe na uwezo wa kuipiga Israel? Ni Marekani au UK ndo walimuua Ismael Haniyeh ndani ya Iran? Ni Marekani ndo waliua viongozi wote wa Hezbollah?
Acha kujidanganya wewe.
Kwani hakuipiga?
Au wewe ndio unaongea kishabiki sasa
 
Ikiwa hataki ushirikiano kwanini anawapiga mkwara majirani kuipa nafasi Israel wakati wa kumtwanga? Kwani kuomba na kutisha kutotoa ardhi na anga sio kulazimisha ushirikiano?
Avatar uliyoweka haiendani na udogo wa akili yako. Ni afadhali ungeibadilisha ili uweke ya Netanyahu ambae mnalingana udogo wa akili, hiyo iliyopo itoe kwa heshima ya uliemuweka.

Hivi umesoma vizuri ulichoandika? Eti kwanini anawapiga mkwara majirani zake kuipa nafasi Israel wakati wa kumtwanga? Kwani mwenye nguvu hawezi kumtwanga mtu bila kuomba nafasi kwa mtu? Mbona Iran huwa inavurumisha makombora kutoka kwake hadi Israel bila kupewa nafasi na nchi yoyote na bado yanafika yalipolengwa? Na tena wakati huo huwa inafanyika juhudi kubwa za kuzuiwa na majirani hao wakishirikiana na Marekani, Uk, Ujerumani, Saudia, Jordan nk lakini bado mzigo unapenya na kwenda kuwaangamiza mashoga.

Kama Netanyahu ana ubavu huo kwanini na yeye asifanye kama mwenzake avurumishe tu kuanzia Israel yaende moja kwa moja hadi Iran badala ya kujificha katika kichaka cha kupewa sehemu apige?
BTW vita kukurupuka kama kurusha maanda maandazi kwenye ndoo ya plastic na mabeseni. Vita ni mipango utekelezaji ni kitu kidogo sana. Subiri muda ufike.

Wataimba
Free Iran.
Mbona kwa wanyonge Hamas walikurupuka? Ulichoandika ni upuuzi wa kujaribu kuwatetea hao wajinga. Uwezo wa kuipiga Iran hawana, na hawatokuwa nao milele hata waje kundi zima. Wao kila siku watakuwa wanapigiwa kwao tu mpaka watapoomba poo.
Sasa hivi wanaimba Israel inashambulia wanawake na watoto Gaza. Kwani Octoba 7, 2023 Hamas walishambulia, kuua na kuteka wanaume pekee?
Wewe kweli galasa. Yani unafananisha vita ya kikundi cha vijana wasiozidi elf 20 ambao wanatumia migobore na rocket wanazounda na petrol dhidi ya nchi yenye wanajeshi zaidi ya million plus na wengine wa akiba huku wakipokea maelfu ya silaha kutoka Marekani, UK, Ufaransa, Ujerumani, Canada nk ili kupambana na kakikundi hako alafu wewe unakuja kuwasifu kweli?

Kisheria kwa vile Hamas sio jeshi la kitaifa basi walitakiwa wadhibitiwe na polisi tu wa kawaida ambao wapo sawa na idadi yao. Lakini pia kwa vile Hamas hawana silaha za maana, basi ilitakiwa polisi hao wa Israel wawe na silaha za kawaida tu kulingana zile walizonazo Hamas ili kuwadhibiti.

Lakini kwa vile Israel haina mbinu mbadala, ndio maana inatumia jeshi zima la taifa, midege ya kijeshi, mivifaru, mimeli ya kivita kupambana na kikundi kidogo kisichomiliki hata kifaru. Yani ni sawa na serikali itumie jeshi na silaha zote za kijeshi kupambana na panya road ambao wanatumia mapanga, halaf wewe uje ujisifu eti tuna jeshi bora kwa vile limewapiga panya road na wake zao na watoto wao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Dhambi ya ubaguzi na udini ni kitu kibaya sana. Kujiona Mwarabu, Myahudi, mkristo au muislam ni bora kuliko wengine ni upumbavu uliopitiliza
Wewe ndio mbaguzi namba moja, kwa sababu ulichoandika hapa hakiendani na uzi wangu. Au kuna sehem uzi huu umembagua mtu kwa sababu ya dini yake, rangi yake, kabila lake au jinsia yake?

Kama ipo naomba unioneshe, na kama haipo basi wewe ndio mbaguzi na umekimbilia kuandika comment yako kwa sababu za kibaguzi.
 
Iran inajiamini sana, ndomaana haina muda wa kushirikiana na nchi nyingine kuitwanga Israel. Mwenye nguvu huwa hashirikiani na mtu yoyote kumchapa mnyonge.

Lakini mnyonge ni kawaida kushirikiana na watu wengine kumchangia mwenye nguvu.
Basi usilalamike, makamanda wanauliwa
 
Uzi wa KINOKO hauna lolote
 
Wapige vile vinu vya Nyuklia
Hahaha waajemi ni akili kubwa sana ndomaana toka miaka ya 70 mpaka leo wanawatoa kamasi wazungu. Fikiria vikwazo vyote walivyowekewa, lakini jamaa bado ana uwezo wa kutengeneza silaha zake ambazo zina uwezo wa kufika eneo lolote la Israel na dunia kwa ujumla kwa sekonde kadhaa.

Hivyo vinu vya nyuklia kwa sasa ni kama bisheni tu kuuhadaa umoja wa mataifa. Lakini silaha ya nyuklia imeshatengenezwa kitambo na kuhamishwa pasipojulikana. Ndomaana unaona nchi za magharibi zinagwaya kuingia vitani na Iran. Maana wanajua jamaa hawatoweza kumdhibiti tena kwa vile kila silaha walionayo na yeye anayo. Na hicho ndo kinachompa kiburi cha kupambana na nchi zote hizo bila kuhofia kuvamiwa.
 
Huwa mnamwaibisha sana Allah wenu mlivyo na akili kiduchuπŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi siamini katika imani za waarab, wazungu, wayahudi wala wachina.

Mimi naamini katika kile walichokuwa wanaamini babu zangu kabla ya bara letu halijavamiwa na hao waliowaletea miungu yenu.

Kitabu chao kishasema kabisa kuwa mungu wao ni mungu wa yakobo na tena ni mungu wa Israel. Halaf wewe mhehe na vizaka vyako unadai kuwa na wewe unahusika na mungu huyo wa yakobo na wakati hakulitaja jina lako wala Kabila lako katika kitabu chake. Sasa hiyo akili au kinyesi.
 
Umeandika kishabiki sana, yaani Iran iwe na uwezo wa kuipiga Israel? Ni Marekani au UK ndo walimuua Ismael Haniyeh ndani ya Iran? Ni Marekani ndo waliua viongozi wote wa Hezbollah?
Acha kujidanganya wewe.
Kama Hamas waliweza kuingia Israel wakauwa makumi ya wanajeshi wenye silaha na maelfu ya raia. Kisha kama hio haitoshi wakatoka na mamia ya watu kutoka Israel hadi Gaza bila kutambulika na mtu yoyote.

Sasa hauoni kwamba nchini humo hakuna mtu yoyote anaeweza kuwa salama including Netanyahu mwenyewe?

Pia kama raisi wa Marekani anashambuliwa mara mbili na vijana wadogo tu wasiokuwa na shabaha wala mafunzo yoyote ya kijeshi tena mbele vyombo vyote vya ulinzi na usalama, hauoni kwamba hakuna mtu yoyote ambae yupo salama Marekani?

Kama swala hilo liliweza kufanyika Marekani kwa raisi tena mbele ya vyombo vya ulinzi vyote vya usalama, basi usishangae kuwa linaweza kufanyika popote pale. Kikubwa na target tu na malengo.

Ukweli ni kwamba Israel haina uwezo wa kuipiga Iran hata ipewe ghala lote la silaha na Marekani.
 
😁😁😁😁😁😁
 
😁😁😁 Jamaa wako overrated mpaka Wana kera this time Iran imewaacha uchi
 
Ni hatari sana πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Utetezi wako hauna maana. Israel imekuwa ikidanganya watu kuwa ina silaha zinazoweza kufika eneo lolote la Iran. Sasa silaha hizo ziko wapi? Kwanini wasizitumie kujibu shambulizi? Yani mpaka wawe karibu na Iran ndo waweze kushambulia, mbona Iran inashambulia kutoka Iran hadi Israel?

Tena kwa shabaha halisi ya kulenga kambi za jeshi, headquarter ya MOSSAD nk bila kugusa nyumba yoyote ya raia wasiokuwa na hatia?

Mkubali tu kwamba Israel ina pewa promo isiyowa nayo na media za west, ila kiuhalisia jamaa hawana uwezo wa kupambana na Iran. Dunia ilikuwa hailijui hili, sasa ukweli umeanza kujidhihirisha wenyewe. Kumbuka ukweli na uongo huwa havichangamani. Hata vikae pamoja miaka 100, kuna siku vitatengana na ukweli utajulikana tu kama hivi.
 
Ni mpumbavu pekee anaeweza kuifananisha nchi isiyokuwa na uwezo wa kutengeneza hata sindano ya kushonea Lebanon na Iran ambayo imemsaidia hata mrusi silaha ya ndege zake zisizokuwa na rubani bure ili aitwange Ukraine na NATO kwa pamoja. Yani kwa mfano uliotoa sidhani kama ulifika elimu hata ya darasa la 4.

Ogopa watu ambao wanatengeneza silaha zao wenyewe na kuzitumia katika vita mbali mbali huko Syria, Lebanon, Iraq na Ukraine bila kuomba msaada hata wa sindano au viatu vya jeshi kutoka Marekani, UK nk.

Mtu asiekuwa na uwezo wa kutengeneza silaha na muombaji muombaji wa silaha za watu ili zimsaidie vitani ni muisrael peke yake na bado silaha hizo zinashindwa kumsaidia kulipiza kisasi maana hazitofika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…