Lini Tanzania ilibadili msimamo wake kuhusu Israel?

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake kuhusu Israel?

Nelson...
Inabidi umjue unaejadiliananae kwanza ndiyo ufanye mjadala.

Mimi nimesoma elimu ya mjadala na nimefundushwa miko yake.

Siwezi kutumia kalamu yangu kuunga mkono dhulma.

Haya ndiyo mafunzo niliyopitia.

Ukishikilia habari za Dafur kutafuta undani wangu utakuwa unapoteza muda wako.

Niulize maswali yenye maana nikujibu ukumbi ufaidike.
Najua mzee wangu kwa kua janjaweed ni waarabu waislamu basi huwezi kuwajadili.
But Jews you can.
 
Nelson...
Tunaweza kujadili.
Waislamu wa afrikia hawawezi kukemea matendo ya al shabab na boko haram na janja weed kwa sababu washirika wanaopata madhara sio waarabu.
Wao sio ndugu zao ,,ila waarabu wa palestina tu ndio ndugu zao.
NB: ARABIZATION WITHIN ISLAM FAITHER.
 
Waislamu wa afrikia hawawezi kukemea matendo ya al shabab na boko haram na janja weed kwa sababu washirika wanaopata madhara sio waarabu.
Wao sio ndugu zao ,,ila waarabu wa palestina tu ndio ndugu zao.
NB: ARABIZATION WITHIN ISLAM FAITHER.
Nelson...
Mimi si msemaji wa Waislam wa Afrika siwezi kuwasemea.
 
Nelson...
Mimi si msemaji wa Waislam wa Afrika siwezi kuwasemea.
Kwa hiyo wewe mzee Mohamed Said na Sheikh wako Issa Ponda ni wasemaji wa Waarabu ndiyo maana mnataka kuanzisha maandano ya kuwasemea Wapalestina?
 
Ndugu zangu,

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.

Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.

Katika maandishi yake neno, ''Waislam,'' halipo.

Lakini dunia nzima inajua kuwa wanaouliwa Myanmar ni Waislam si suala la kuuliwa ''wananchi.''

Iwe itakavyokuwa Zitto Kabwe kaeleza masikitiko yake ili Watanzania wajue nini kimetokea.

Kwa sera ya Tanzania kuhusu msimamo wake wa kusimamia haki duniani kote kitendo hiki ni mabadiliko makubwa sana katika msimamo huo uliowafikisha Watanzania kupigana Msumbiji bega kwa bega na Frelimo na kutoa misaada kote kulikokuwa na dhulma sawa na kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliposema, ''Tunataka kuwasha mwenge uangaze kote na kuleta matumaini kule watu walikokata tamaa.''

Hii sera mpya ya kushindwa kulaani mauaji ya Waislam wanaouliwa Myanmar huenda ikawa ni sera mpya ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza Tanzania na uhusiano wake na mataifa mengine.

Ndiyo kusema kuwa sasa Tanzania haijali tena dhulma bali inaongozwa na maslahi yake mengine ambayo kwa bahati mbaya kwa sasa hayajakuwa bayana.

Tanzania ilianza na kurejesha uhusiano na Israel uliovunjwa na Baba wa Taifa mwenyewe nusu karne iliyopita.

Leo Tanzania imeridhia kutopiga kura kwenye mauaji ya kimbari ya Waislam wa Mynmar.

Wachunguzi wa siasa wanasubiri kutazama nini lingine litafuatia.

Labda hilo litatoa mwanga zaidi kuonyesha nchi yetu imesimama upande gani na kwa nini.

Ingekuwa ni kura ya East Timor na wanaouliwa ni Wakatoliki Tanzania ingekaa pembeni ikaacha kupiga kura?

Jibu unalo wewe ndugu msomaji wangu.

Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yamezuiwa yasifanyike na kiongozi wake Sheikh Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania amekamatwa.

Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

Nitaweka hapa historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

Umma unasubiri.


Ndugu zangu,

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.

Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.

Katika maandishi yake neno, ''Waislam,'' halipo.

Lakini dunia nzima inajua kuwa wanaouliwa Myanmar ni Waislam si suala la kuuliwa ''wananchi.''

Iwe itakavyokuwa Zitto Kabwe kaeleza masikitiko yake ili Watanzania wajue nini kimetokea.

Kwa sera ya Tanzania kuhusu msimamo wake wa kusimamia haki duniani kote kitendo hiki ni mabadiliko makubwa sana katika msimamo huo uliowafikisha Watanzania kupigana Msumbiji bega kwa bega na Frelimo na kutoa misaada kote kulikokuwa na dhulma sawa na kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliposema, ''Tunataka kuwasha mwenge uangaze kote na kuleta matumaini kule watu walikokata tamaa.''

Hii sera mpya ya kushindwa kulaani mauaji ya Waislam wanaouliwa Myanmar huenda ikawa ni sera mpya ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza Tanzania na uhusiano wake na mataifa mengine.

Ndiyo kusema kuwa sasa Tanzania haijali tena dhulma bali inaongozwa na maslahi yake mengine ambayo kwa bahati mbaya kwa sasa hayajakuwa bayana.

Tanzania ilianza na kurejesha uhusiano na Israel uliovunjwa na Baba wa Taifa mwenyewe nusu karne iliyopita.

Leo Tanzania imeridhia kutopiga kura kwenye mauaji ya kimbari ya Waislam wa Mynmar.

Wachunguzi wa siasa wanasubiri kutazama nini lingine litafuatia.

Labda hilo litatoa mwanga zaidi kuonyesha nchi yetu imesimama upande gani na kwa nini.

Ingekuwa ni kura ya East Timor na wanaouliwa ni Wakatoliki Tanzania ingekaa pembeni ikaacha kupiga kura?

Jibu unalo wewe ndugu msomaji wangu.

Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yamezuiwa yasifanyike na kiongozi wake Sheikh Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania amekamatwa.

Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

Nitaweka hapa historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

Umma unasubiri.

1. Ngorongoro Masai wamehamishiwa msomera bila utaratibu,ingekuwa na tija na ingempendeza Mungu wetu kusimama na hawa watu na kukemea vitu vya namna hiyo sababu ni dhambi.

2. Mahusiano na muumba wako ni issue personal, jitahidi kuwa mwema na kueneza mema (maneno na matendo)..hauwezi kumuokoa mtu mbaya kwa kivuli cha taasisi yake,kila mtu atahukumiwa mwenyewe, dunia inaenda kushuhudia mabadiliko makubwa sana ya kiimani hapa karibuni, kila mtu atabebwa na uthabiti wake kiimani (maneno na matendo yake binafsi, sio taasisi).

3. Tanzania inatuhusu sana kipindi hiki,tuna report ya CAG,katiba,tume huru ya uchaguzi,maji,umeme,elimu,mafuriko nk..tukiweka nguvu zetu hapa na mengi ya namna hii yanayotuhusu tutafika mbali, dini zote zibaki kutuelimisha mema na mabaya na tubebe mema,mengine tuyaache! Binafsi sijawahi sikia Agenda inayomuhusu mtu mweusi kimaendeleo tokea kwa Mzungu au Mwarabu, tunajitenya na kucheka wenyewe kama mazuzu wao wanatuona manyani tu, inasikitisha saaaaana!
 
Ndugu zangu,

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.

Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.

Katika maandishi yake neno, ''Waislam,'' halipo.

Lakini dunia nzima inajua kuwa wanaouliwa Myanmar ni Waislam si suala la kuuliwa ''wananchi.''

Iwe itakavyokuwa Zitto Kabwe kaeleza masikitiko yake ili Watanzania wajue nini kimetokea.

Kwa sera ya Tanzania kuhusu msimamo wake wa kusimamia haki duniani kote kitendo hiki ni mabadiliko makubwa sana katika msimamo huo uliowafikisha Watanzania kupigana Msumbiji bega kwa bega na Frelimo na kutoa misaada kote kulikokuwa na dhulma sawa na kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliposema, ''Tunataka kuwasha mwenge uangaze kote na kuleta matumaini kule watu walikokata tamaa.''

Hii sera mpya ya kushindwa kulaani mauaji ya Waislam wanaouliwa Myanmar huenda ikawa ni sera mpya ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza Tanzania na uhusiano wake na mataifa mengine.

Ndiyo kusema kuwa sasa Tanzania haijali tena dhulma bali inaongozwa na maslahi yake mengine ambayo kwa bahati mbaya kwa sasa hayajakuwa bayana.

Tanzania ilianza na kurejesha uhusiano na Israel uliovunjwa na Baba wa Taifa mwenyewe nusu karne iliyopita.

Leo Tanzania imeridhia kutopiga kura kwenye mauaji ya kimbari ya Waislam wa Mynmar.

Wachunguzi wa siasa wanasubiri kutazama nini lingine litafuatia.

Labda hilo litatoa mwanga zaidi kuonyesha nchi yetu imesimama upande gani na kwa nini.

Ingekuwa ni kura ya East Timor na wanaouliwa ni Wakatoliki Tanzania ingekaa pembeni ikaacha kupiga kura?

Jibu unalo wewe ndugu msomaji wangu.

Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yamezuiwa yasifanyike na kiongozi wake Sheikh Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania amekamatwa.

Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

Nitaweka hapa historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

Umma unasubiri.

Kwani Tanzania tuna msimamo wowote kuhusu siasa za kimataifa siku hizi? Tumekuwa waoga wa kusimamia tunachoamini. Tumekuwa kama popo.
 
Ndugu zangu,

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.

Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.

Katika maandishi yake neno, ''Waislam,'' halipo.

Lakini dunia nzima inajua kuwa wanaouliwa Myanmar ni Waislam si suala la kuuliwa ''wananchi.''

Iwe itakavyokuwa Zitto Kabwe kaeleza masikitiko yake ili Watanzania wajue nini kimetokea.

Kwa sera ya Tanzania kuhusu msimamo wake wa kusimamia haki duniani kote kitendo hiki ni mabadiliko makubwa sana katika msimamo huo uliowafikisha Watanzania kupigana Msumbiji bega kwa bega na Frelimo na kutoa misaada kote kulikokuwa na dhulma sawa na kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliposema, ''Tunataka kuwasha mwenge uangaze kote na kuleta matumaini kule watu walikokata tamaa.''

Hii sera mpya ya kushindwa kulaani mauaji ya Waislam wanaouliwa Myanmar huenda ikawa ni sera mpya ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza Tanzania na uhusiano wake na mataifa mengine.

Ndiyo kusema kuwa sasa Tanzania haijali tena dhulma bali inaongozwa na maslahi yake mengine ambayo kwa bahati mbaya kwa sasa hayajakuwa bayana.

Tanzania ilianza na kurejesha uhusiano na Israel uliovunjwa na Baba wa Taifa mwenyewe nusu karne iliyopita.

Leo Tanzania imeridhia kutopiga kura kwenye mauaji ya kimbari ya Waislam wa Mynmar.

Wachunguzi wa siasa wanasubiri kutazama nini lingine litafuatia.

Labda hilo litatoa mwanga zaidi kuonyesha nchi yetu imesimama upande gani na kwa nini.

Ingekuwa ni kura ya East Timor na wanaouliwa ni Wakatoliki Tanzania ingekaa pembeni ikaacha kupiga kura?

Jibu unalo wewe ndugu msomaji wangu.

Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yamezuiwa yasifanyike na kiongozi wake Sheikh Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania amekamatwa.

Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

Nitaweka hapa historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

Umma unasubiri.

Maandamano yalikuwa hayana maana wakati vijana wetu walishikiliwa na HAMAS na kuuliwa
 
Back
Top Bottom