Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lisu anaongea mambo mengi ya maana kwenye hiyo mikutano yake, hizi chombeza ndogo ndogo kwenye mikutano yake msiziripoti maana hazina tija sana, ripotoni mambo yenye tija anayoongea.
 
Muongo huyo bahatu nzuri kakutana na rais full of hekima na mweledi vinginevyo angepigwa risasi kama jpm alivyomkosa kosa kwa uongo wake
 
To become a Medical doctor or Engineer you need to have a good brain and good education, to become MWANASIASA you just need to be a good liar.
 
Aisee machawa kwa hii clip watalala na viatu
 
Lissu aache siasa za kitoto aweke ushahidi wa kufikiwa na Abdul na kutaka kuhongwa, lakini pia apeleke TAKUKURU Ili wachukue hatua
Takukuru hii hii au nyingine? Ule ushahidi wa kina mnyeti kutoka kwa Nassari ulifanyiwa kitu gani ulipopelekwa tena video kabisa? Kama mlifungua DVR kwenye gari yake na CCTV kwenye alipigwa risasi mnapata wapi uhalali wa kudeal na haya mambo?
 
Lissu aache siasa za kitoto aweke ushahidi wa kufikiwa na Abdul na kutaka kuhongwa, lakini pia apeleke TAKUKURU Ili wachukue hatua
Unamuongelea wakili nguli.
Unafikiri hajui consequence ya kauli yake?
Unadhani hana ushahidi to back it up?
Mwenye jukumu ni takukuru,wao ndio wanatakiwa wamfate Lissu awape ushahidi,i doubt kama wanaweza kufanya hivyo.
 
“Abduli aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi" kahonge hao wanaohongeka.”

Mh.Tundu Lissu
Leo Jumamosi
Saa 17:25
Singida Mjini
 

Attachments

  • VID-20240609-WA0108.mp4
    11.7 MB
Ushahidi hutolewa mahakamani we bush lawyer.
Huyo Abduli aende mahakamani atapewa ushahidi.Anaogopa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…