cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Unajua maana ya kupigwa miti?
Woté hawana akili union wataja ni wajinga n'a wangese hawana la kufanyaKuna taarifa kuwa baada ya kucheleweshewa kibali cha anga akiwa Kilimanjaro Tundu Lisu ameamua kurusha choppa bila kibali kuwahi mikutano yake ya kufunga kampeni Dsm.
Ngoja tuone mamlaka husika ikiwemo NEC zitachukua hatua gani.
Maendeleo hayana vyama!
Bora hilo lingemwagikia njeWazazi wako wamepata hasara
plan B ulitaka wakuambie wewe?Kwanini hamkuoversee hii possibility,,?,ndo maana nasemaga hamjawa tayari kuongoza,hii ilitakiwa muione kabla na muweke plan B,C,D
Aaaaamen!!!!!!Mwenyezi Mungu,ikukupendeza ,tuondolee huyu mtu ambae ni chanzo cha yote haya.
Aaah mbowe mikono yake haina hatia ya damu ya mtu yeyeto hata Mungu yu shahidi ni civilized na matured hawezi ua mtu sababu ya tumbo.Aanze na dikteta Mbowe kwanza
Ni jamvi la wageniBarbarosa huyu siyo mwanaume ni Mwanamke anafanya kazi Uhuru media amezaliwashwa na kiongozi wa CCM
Amesema atabadili tume na kuunda ya haki na usawa, watendaji hawana shida ni maagizo.Na nchi ikishakuwa ya maagizo hakuna nchi hapo bali ni kikundi cha dhuluma.Ikitokea Lissu akawa Rais hao wakurugenzi wa hizi taasisi wataendelea na kazi zao au ndio basi tena nao wataondoka na chama wanachokisaidia? Watende haki tu
Mamlaka ya anga inamuandalia majibu mazuri ya hoja zake.You fly without approved flight plan ? Utaongozwa na nani angani ? Ndege ya kwako au ya nani? bila approved flight plan, unasafiri bila insurance ya hiyo ndege. Na hata ukimaliza mkutano wako ndege inaenda nyumabani kwako? How can you fly in total violation of airspace rules? How Lissu hicho kiburi nikupitiliza, labda wajinga wachache sana watakubali uamuzi huo. Wenye akili wanawezaje kuunga mkono that mad decision ?.
UMEPEWA LESENI YA KURUKA WEWE, UNATU CHEMSHA VICHWA KUTENGENEZA CHUKI NA SERIKALI.
I hold valid private pilot licence.
Na kwanini msimpe kibali aondoke zake?Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Mdingi anavaa pampas 24/7Mzee Lowassa ametii sheria amekua kama mwali
Sisi wengine tuna nguvu za kiume tofauti na babako
Ana Dai ana V80 n'a Sio V8Huyu jamaa bachelor?
But killing haijawahi silence watu,amekufa ben, azory,mawazo lkn Moto upo palepale.Ukifa hakuna atakaye kukumbuka zaidi ya kuipatia maumivu familia yako (kama una wategemezi)
Wakati mwingine usitumie kishundu kufikiri.Sasa Ataondokaje bila kibali akipata ajali au kuasabahisha ajali atamalaumu nani Asubiri dawa Imwingie. Hahaha Kwanza anakwenda Dar kufanya ninj wakati sio mpiga kura
Katua wapi,Kawe?Katua tayari
You fly without approved flight plan ? Utaongozwa na nani angani ? Ndege ya kwako au ya nani? bila approved flight plan, unasafiri bila insurance ya hiyo ndege. Na hata ukimaliza mkutano wako ndege inaenda nyumabani kwako? How can you fly in total violation of airspace rules? How Lissu hicho kiburi nikupitiliza, labda wajinga wachache sana watakubali uamuzi huo. Wenye akili wanawezaje kuunga mkono that mad decision ?.
UMEPEWA LESENI YA KURUKA WEWE, UNATU CHEMSHA VICHWA KUTENGENEZA CHUKI NA SERIKALI.
I hold valid private pilot licence.