NYATUKU
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 787
- 491
Msitegemee kutawala nchi katu. Mnataka kuhalalisha ushoga. Nendeni huko kwenye nchi walohalisha ushoga mkale bataKwa akili yako unadhani plan B ni ipi??? Kama kutumia gari unajua umbali wa Dar-Moshi wewe????
Tatizo ccm mmejazana vilaza sana na Ndo mana miaka nenda rudi nchi yetu chini yenu itazidi kuwa masikini sana. Ccm hamna akili sana na lazima tuwatoe mwaka huu
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app