Uchaguzi 2020 Lissu adai kucheleweshwa KIA makusudi na TCAA

Uchaguzi 2020 Lissu adai kucheleweshwa KIA makusudi na TCAA

Kwa akili yako unadhani plan B ni ipi??? Kama kutumia gari unajua umbali wa Dar-Moshi wewe????

Tatizo ccm mmejazana vilaza sana na Ndo mana miaka nenda rudi nchi yetu chini yenu itazidi kuwa masikini sana. Ccm hamna akili sana na lazima tuwatoe mwaka huu
Msitegemee kutawala nchi katu. Mnataka kuhalalisha ushoga. Nendeni huko kwenye nchi walohalisha ushoga mkale bata

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Lissu naye unatia kichefuchefu! uondoke bila kibali unadhani hiyo ni Toyota yako? Chopa, Chopa ndo kitu gani! Ndege dhaifu kabisa hiyo inayoweza kuanguka bila sababu ndo unajidai kuondoka bila kibali? Ubwege huo!
Jilaumu kwa ratiba mbovu. Kama ulijua unafanyiziwa sabotage kwa nini upange ratiba ya aina hiyo? wewe hujui kuruka vikwazo!
Pumbafu
 
Hizi figisu Lisu alishazisema kwamba zipo njama za kumzuia asifunge kampeni dar Kama ambavyo wa ccm ameenda kufungia kwenye uzinduzi wa msikiti
 
Pole sana Lissu! Nimeweka tetesi hapa ya kitu hiki wamefuta, sijui kama hii itakaa
Mods siku hizi wana bore. Mpaka wakati mwingine naanzisha mijiuzi kibao kuwafanya wasome mpk wakome. Maana unaanzisha uzi eti subiri kwanza upitiwe. Baada ya mda hola.
 
Chopa sio sawa na ndege zingine bila v coordinate unafika popote tu kwa kutumia gps na visibility ya chini unaruka chinichini tu
sasa ukikutana na fog si utapiga mlima mkuu alafu afe muilaumu ccm na leo hali ya hewa ni mvua
 
Halu ya hewa Dar umeiona ? Imechafuka .Niko Dar kuna mvua na upepo mkali.Huo mkutano wataufanya kwenye ukumbi au?
Mkoa wa Pwani hali ni Muruwaa atatua huko halafu achukue mwendo kasi
See kundi na kundi na moja hakuna mvua
 
..You have good points.

..hata mimi sikutegemea Tundu Lissu aendelee na chopa baada ya kumaliza kampeni Same Kilimanjaro jana.

..angerudi Dsm kwa magari, ingemchukua masaa 6 mpaka 7 mwendo wa kawaida kuhakikisha anawahi kampeni za leo.

..I think this was a tactical mistake ukizingatia kuwa muenendo wa Tcaa unajulikana.

NB:

..pia jana wangeweza kuanza kampeni Handeni, halafu Same Mashariki, na kumalizia Same Magharibi. Hapo tayari wangekuwa wako barabara kuu ya kuelekea Dsm.
Huko aliko lala usidhani alikuwa fofofo. Think broadly
 
Kwanini hamkuoversee hii possibility,,?,ndo maana nasemaga hamjawa tayari kuongoza,hii ilitakiwa muione kabla na muweke plan B,C,D
Eti anasema wataruka bila kibali, labda aiendeshe yeye mwenyewe. Kuna pilot bwege wa aina hiyo angani? Kama ulivyosema, anajieleza eti ni kawaida ya TCAA, yaani mtu anayetafuta urais hawezi kuikwepa kawaida!
 
Back
Top Bottom