Uchaguzi 2020 Lissu adai kucheleweshwa KIA makusudi na TCAA

Uchaguzi 2020 Lissu adai kucheleweshwa KIA makusudi na TCAA

jamii forum siku hizi sio wenzetu na wala hupaswi kuwaamini pale unapotaka kutoa habari yenye kuisema serikali....hufuta nyuzi nyingi sana....huwezi jua makubaliano ya melo na SIRIKALI ndio maana siku hizi hawamsumbui.....me nahisi huu mzigo unaweza kuwa hata umebinafsishwa kwa WAZEE WA VIPENYO hivyo wanatuchora tu.....hujuulizi kwann twita ,fb,ista hazifanyi kazi ila jamii forum tu....'?
Tumeuzwa nakuambia. I used to trust this JF sio sasa hivi. Huyu max yupo tu kama picha
 
Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti

Sheria ya kuzuia kuruka kuja kwenye mkutano wake hiyo ni sheria au ni hujuma hivi wewe unaweza kitii hujuma za mpinzani wako. Acha hizo bwana kuna sheria gani ya kutii hapo ndo amekuja sasa tuone itakuwaje na kesho anachaguliwa
 
Sasa kibali hajapewa analazimisha kuruka,muhimu jeshi liwe makini akilazisha kurusha ipopolewe tu na kombora.
 
Unategemea nini, watu wanapewa kazi kindugu hakuna ueledi kabisa.

..wengine siyo ndugu, wako kwenye hizo nafasi on merit.

..tatizo mfumo wetu unalinda watu wa hovyo-hovyo badala ya kulinda watu waadilifu.
 
Mmmhhh ona hili Tope kichwan


Lumumba wengi wenu ni wakereketwa , sijaona mwanasiasa,

Yaan badili yakutoa Hoja , mnachangia mambo utadhan mmetumia makalio kuwaza.


Kwann msiwe na Hoja ambazo hata mtoto wa darasa lapili anaweza sikiliza??


Embu fikiria, hapo unamiaka zaidi ya 40 .... Alafu kichwan unamatope yanamna hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuandika haya yote..wewe umeweka nondo gani humo.. viongozi wamemaliza yote.. leo watu burudani tu.. kesho 💚💛💚💛💚. Hasira za kubanwa kutodokoa zimekujaaa.. on ulivyo.. nina miaka 90 juwa vizuri.. pokea 💉💉💉💉... ati umenisoma hujaumia niliyoandika halafu ukaandika yote hayo.. 🤣🤣🤣🤣🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳

Coco the Coco
Nipo na nazidi kupaaaaaaaa.. lia tu..
Maneno yangu humu.. hauwezi kujizuia kuyasoma...

Kachukue za 20K ufanye biashara..

💚💛💚💛💚💛💚
 
Huko aliko lala usidhani alikuwa fofofo. Think broadly

..I know.

..lakini mimi hii helikopta sikuipenda toka mwanzo.

..sema kufungiwa kampeni wiki moja kulilazimisha matumizi ya helikopta.

..anyway, leo kampeni zinahitimishwa, hivyo tuombee USHINDI.
 
ANAANDIKA MH.TUNDU LISSU

-------

Waheshimiwa viongozi salaam. Mimi na timu yangu ya kampeni tuko Kilimanjaro International Airport tangu saa nne asubuhi. Tulikuja kuweka mafuta kwenye chopper yetu ili tuweze kwenda Dar kwa ajili ya mkutano wetu wa kufunga kampeni unaotakiwa kuanzia Kawe saa tisa mchana.

Hata hivyo tumeshindwa kuondoka KIA kwa sababu hatujapatiwa kibali cha kutua Dar na Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA).

Huu ndio umekuwa utamaduni wa TCAA katika kampeni hizi tangu tuanze kutumia chopper. Wanatumiwa na CCM ili kuhujumu kampeni zetu na ndivyo walivyofanya wiki iliyopita Lindi na Mtwara.

Sasa itatulazimu tuondoke KIA kuelekea Dar bila kibali cha TCAA; wafanye lolote wanalotaka kufanya. Mimi na wenzangu hatutakubali kunyanyaswa namna hii tena. Dar jiandaeni, tuko njiani tunakuja!
Pascal Mayalla
Bia yetu
Etii wakuu nini tatizo hapo KIA
 
You fly without approved flight plan ? Utaongozwa na nani angani ? Ndege ya kwako au ya nani? bila approved flight plan, unasafiri bila insurance ya hiyo ndege. Na hata ukimaliza mkutano wako ndege inaenda nyumabani kwako? How can you fly in total violation of airspace rules? How Lissu hicho kiburi nikupitiliza, labda wajinga wachache sana watakubali uamuzi huo. Wenye akili wanawezaje kuunga mkono that mad decision ?.

UMEPEWA LESENI YA KURUKA WEWE, UNATU CHEMSHA VICHWA KUTENGENEZA CHUKI NA SERIKALI.

I hold valid private pilot licence.
 
Back
Top Bottom